Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,127
Baba wa Taifa Mwalim nyerere Akisisitiza jambo kuwaambia Wakuu wake wa Jeshi unakumbuka hii ilikuwa mwaka gani? na kwenye vita Gani? Meja General Mayunga na Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania General Abdallah Twalipo.