Baba wa taifa akisisitiza jambo kuawambia wakuu wake wa jeshi hii ilikuwa kwenye vita gani?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,322
33,127
319680_2573662504642_1346688326_3108718_214286443_n.jpg










Baba wa Taifa Mwalim nyerere Akisisitiza jambo kuwaambia Wakuu wake wa Jeshi unakumbuka hii ilikuwa mwaka gani? na kwenye vita Gani? Meja General Mayunga na Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania General Abdallah Twalipo.
 
319680_2573662504642_1346688326_3108718_214286443_n.jpg
















Baba wa Taifa Mwalim nyerere Akisisitiza jambo kuwaambia Wakuu wake wa Jeshi unakumbuka hii ilikuwa mwaka gani? na kwenye vita Gani? Meja General Mayunga na Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania General Abdallah Twalipo.
Hii ilikuwa Mwaka 1978 na 1979 Vita ya kumuondowa Nduli idi Amin Dada wa Uganda Vita ya Kagera.










Hebu tujikumbushe ya nyuma jamani...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom