TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
- Thread starter
- #41
Naamimi Kumsaidia Mvivu Ni Ujinga, Ila utamaduni wa magharibi ni mchafu, hasa Marekani. Nina rafiki mmoja ambaye anaishi maisha ya taabu, lakini mwanaye wa kumzaa ni kocha wa mpira analipwa 2.5 mil kwa mwaka na hamsaidii lolote baba yake Upuuzi kani huu kutomtunza baba yako aliyekulea huku ukiogelea katika utajiri. Faida yake nini? Umesikia Obama alipoambiwa gharama za Mazishi za "shangazi" ni $ 12,000 akauma njaru.Ni kweli kaka yake Obama ni kama anaonekana kuwa na mashaka na biological father wa Obama, lakini I'm pretty sure kama Obama angekuwa karibu na wana ndugu walioko Kenya na kuwafanyia vitu vya kueleweka, usingemsikia huyo Malik akiwa na mashaka juu ya Baba wa Obama zaidi ya kumsifia kwa hali ya juu. Huu ni unafiki tu wa kiafrika kwamba kama ndugu anacho basi kiwe chetu sote. Hatupendi kuweka jitihada zetu wenyewe!
Hebu Ona huyu Kijana anayesemekana ni Mdogo wake Kweli hii sio Aibu, Jamani.
Mimi Nafikiri Utamaduni wetu wa Kuinuana kimaisha ni wa Kimungu!