Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Yani hawa walikamatwa na nani? Maana ukisikiliza maelezo ya huyu mzee anadai kwamba walikamatwa ila ndio hatujui ni wakina nani?
Je, ni kuna dili walilicheza ambalo walikwenda kinyume cha makubaliano kwahiyo wenzao wameamua kuwamaliza?
Maana wakati mwingine nao ndugu zetu bodaboda wanajiingiza kwenye madili ya hatari sana
Haya tusubiri huo uchunguzi
==================
Baba wa mmoja wa vijana wanne ambao miili yao iliokotwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani, Juma Mmombo amesimulia namna mwanaye alivyokamatwa na baadaye mwili wake kupatikana ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali.
Soma Pia: Miili ya vijana wanne waliouawa yaokotwa barabara ya Mapinga kuelekea Kibaha
Je, ni kuna dili walilicheza ambalo walikwenda kinyume cha makubaliano kwahiyo wenzao wameamua kuwamaliza?
Maana wakati mwingine nao ndugu zetu bodaboda wanajiingiza kwenye madili ya hatari sana
Haya tusubiri huo uchunguzi
==================
Baba wa mmoja wa vijana wanne ambao miili yao iliokotwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani, Juma Mmombo amesimulia namna mwanaye alivyokamatwa na baadaye mwili wake kupatikana ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali.
Soma Pia: Miili ya vijana wanne waliouawa yaokotwa barabara ya Mapinga kuelekea Kibaha