Baba Rostam!

Siku ya Ijumaa tarehe 7/10/2011 mke wangu alijifungua mtoto wa kiume na tulikubaliana kuwa yeye ndo amchagulie jina mtoto. Sasa leo usiku narudi home toka kwenye mishemishe zangu, mke wangu ananiambia kampa mtoto jina la ROSTAM.

Nikadhani ananitania kumbe she's serious na yeye anajua vilivyo msimamo wangu dhidi ya mafisadi lakini yeye kasisitiza kuwa hajachagua jina hilo ili kunichokoza bali analipenda tu jina hilo licha ya kuwa mtu maarufu mwenye jina kama hilo hapa TZ anahusishwa na tuhuma za rushwa.

Kwa kuwa tulikubaliana awali kuwa yeye ndo atampa jina mtoto sina jinsi imebidi nikubali kuwa BABA ROSTAM kuanzia leo! Je ingekuwa wewe ungeamuaje?
duh!oa mkee mwingine
 
rostam atamtafuta soon utakuwa bilionea
subiri wakishagawana hizo hela za dowans
mwano atakumbukwa.huwezi jua ngekewa ya wife
kama zali la mentali vile, mama kaona mbali
 
Please you nid to think twice kabla mambo hayajahrbika mbeleni. Hivi mnataka watoto wenu waje kuwalaani sababu ya majina mliowapa wakati wadogo? Hilo jina linaweza kuja mcost huko mbeleni hasa katika mambo ya ajira. Anaweza fikiriwa fisadi ingw ni mtu mwema 2. Hy ni mwz yangu lkn.[/QUOTE
Ok, hilo laweza tokea iwapo unaaminii huko mbeleni watakuwa wanaajiri kwa kuzingatia majina badala ya qualifications!]
Duh Hii mama mmoja akiwaagiza watoto wake pale tandale,Wee Sadam mwambie Bush aache kupiga kelele Osama kalala!!!
 
Aisee! Jina jina 2 kwan akiwa fisadi mtoto c utafaidi... Na amin atakuja tegemewa na chama
 
Naamin Rostam Chumachakavu hata kuwa mtu mwenye kuyumbishwa, tena asiye penda haki, mtoto mwenye tamaa, mwenye kujilimbikizia mali
 
Nilikuwa najiuliza kumbe mkubwa ni MMAKONDE WA NEWALA jina hili halina tabu liko chart 2!
 
Jina ni kiainisho au ni kibainishi tu! kinachopambanua kitajwa.

Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya jina na kitjwa. Hivyo basi hata umwite jina la wanyama, miti, wadudu sio tatizo.
Tatizo ni sisi binadamu tunaohisi kuwa jina fulani ni zuri na jina fulani baya.
 
Piga chini hilo jina m2 wangu utakuja kumpa shida dogo kwa wenzake kwani wanaweza kuanza kumtania na kumkosesha raha.
 
Back
Top Bottom