Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
- Thread starter
- #41
Kumbuka mwanao anaweza kuja kuwa mwanasiasa. Hebu fikiri baada ya miaka kumi mbele aje mtu agombee uraisi anaitwa JK we utampa kura yk?
ikiwa kwa kipindi hicho itakuwa ni busara kuchagua kiongozi kwa kigezo cha jina lake na si uwezo au sifa zake basi naweza kufanya hivyo!