Baba Nakupenda

Baba Nakupenda

Mshua wewe ndiyo kila kitu, nakupenda sana

Repent *4 cause we're two steps away from a real disaster, think there is a boss but a who are the master?life set a pace, everything's much faster need to slow down and pray, forgive them
 
Na ambao baba zetu walitukataa na hawakujali hata tulikua tukilala njaa na kuvaa chupi zenye matobo na wao wanakula bata mjini tunacoment neno gani
Sijawahi kumpenda na sitompenda japo simchukii ila sitaki ukaribu nae maana alinambia kwa kinywa chake nisitumie hata ubini wake ila leo ananitafuta eti nimpe matumizi
Nampa kama navoweza kuwapa ombaomba ila si kwa heahima ya ubaba
Nakupenda mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Haibadilishi maana ya yeye kuwa baba..hayo mengine ni ya ziada tu,

Repent *4 cause we're two steps away from a real disaster, think there is a boss but a who are the master?life set a pace, everything's much faster need to slow down and pray, forgive them
 
Mzee pamoja na fimbo ulizokua unanitandika kwa kweli nimenyoka mzee ahsante kwa kuwa mwalimu wangu mzuri kabla ya walimwengu kuninyosha

Repent *4 cause we're two steps away from a real disaster, think there is a boss but a who are the master?life set a pace, everything's much faster need to slow down and pray, forgive them
 
Na ambao baba zetu walitukataa na hawakujali hata tulikua tukilala njaa na kuvaa chupi zenye matobo na wao wanakula bata mjini tunacoment neno gani
Sijawahi kumpenda na sitompenda japo simchukii ila sitaki ukaribu nae maana alinambia kwa kinywa chake nisitumie hata ubini wake ila leo ananitafuta eti nimpe matumizi
Nampa kama navoweza kuwapa ombaomba ila si kwa heahima ya ubaba
Nakupenda mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmmmmmmmmh!
 
Dah hizi mada za wazazi bana, anyway, yupo jamaa yangu yeye hakusomeshwa shule, mzee wake alimwambia wewe buree kabisa, acha nisomeshe hawa ndugu zako watakuja wakufae akili zikikuingia,yeye ni wapili kuzaliwa kati ya watoto watano.
Huku na kule, ndugu zake wote waliishia form 4 na kufanya mishe za kutafuta ugali na mlenda.
Yeye na elimu yake ya la nne aliloishia, miaka ya nyuma la nne kulikuwa na pepa, ukifeli unarudia, alipofeli, mzee wake akamwambia ishia hapohapo.
Jamaa alijichanganya mgodini, miaka 12 baadae, jamaa aliibuka na kitu ya maana. Bila kinyongo akarudi nyumbani na kumrekebishia mzee wake nyumba aliyokuwa akiishi na ndugu zake, akawanunulia na coaster yenye thamani ya milioni 45.
Huku na kule, yule mzee akasikika vijiweni akisema mtoto yule angekuwa na akili kama wale wenzake walioenda shule, angefanya mambo ya maana sana. Sasa ananinunulia basi la abiria nilifanyie nn mimi?
Mzee akaliuza kwa milioni 19, na kuwanunulia bodaboda wale watoto walioenda shule ili wapige kazi.
Jamaa kusikia hivyo, kakata mguu, mawasiliano na connections zote na nduguze.
Tukubaliane kutokukubaliana kuwa kuna wazazi na baazazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom