michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,927
Ni kama msosi mezani tu, kinachokupa shibe ni ugali ila kinachodetermine kufurahia chakula ni mboga au viambata vingine vidogo vidogo.
Kwenye majukumu ya familia (zilizo nyingi) ni baba ndo awajibike, baba utalipa ADA za wanao kisha mama atawaita jikoni (mafichoni) na kuwashikisha kiasi kidogo cha ziada kwa siri (kwa sharti la kutomwambia mzee)..... hiki kiasi cha ziada ndo hubeba furaha ya mtoto kuliko ada ambayo ni JUKUMU lako.
Usile Mbegu.
Kwenye majukumu ya familia (zilizo nyingi) ni baba ndo awajibike, baba utalipa ADA za wanao kisha mama atawaita jikoni (mafichoni) na kuwashikisha kiasi kidogo cha ziada kwa siri (kwa sharti la kutomwambia mzee)..... hiki kiasi cha ziada ndo hubeba furaha ya mtoto kuliko ada ambayo ni JUKUMU lako.
Usile Mbegu.