Baba Nakupenda

Pole mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba nakupenda sana japo ulikufa kabla sijaingia hata form four
 
Pole sana,jamii forum hakuna standard seven dah tumepiga hatua kwenye elimu

mvujajasho nguli
 
Ndo ukawafundishe wanao kumpensa baba yao sasa. Sio unawa brain wash kama mnavyofanya. Mwisho wa siku mtoto mapenz yote anahamishia kwako utadhani baba hana jambo la maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hili ndo linalomharibia Diamond na baba yake! Mtoto ukimsikiliza sana mama umepotea!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaanzaje kumchukia Mzee Mimi siji kuoa mtoto wa single mother au ile familia Mama ndio ana maamuzi juu ya Baba.

Baba inabidi unakuwa na Msimamo, Mzee enzi hizo ni mkali hadi unaona Mama ndio kila kitu lakini baada ya kuwa mtu mzima ndiposa unagundua nini maana ya kuwa kichwa cha familia. Nakumbuka siku moja Mother kazingua Mzee kamind sana mbele ya watoto(sisi) lakini
Mwisho wa siku katuambia nimefanya hivyo kwa sababu hizi na hizi.

Ni kitu ambacho hakikuwahi tokea hapo kabla, Lakini nimeona kupitia family friend ambayo Mama yupo top kweli ni shida kwenye Malezi hasa watoto wa kike kwani ni majanga tu na dharau kwa Baba yao. Long live mzee Onyango.
 

Jaluo modak e chuny luo.
 
Umemaliza!! bahati mbaya wengi wako hivyo. hata harusi nani anapewa zawadi ni mama!!
sana sana baba mtoto akikosa anaambniwa acha baba arudi. na ukirudi unaambiwa na mama mashtaka hhulizi unachukua bakora unachapa!! - sasa mbaya ni nani mama au baba? halafu mamaa anaanza kumbembeleza kukusema vibaya ulivyo mbaya huna huruma! visiting unatoa ada, pocket money , kila kitu na nauli ya mama!! na matumizi yake wewe huendi!! baba - kosa!! unajifanya uko busy!! halafu unataka upendwe!! - Imetosha!!!! akina baba mpo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…