Baba na mwana ...! Kweli wakati si milele

Baba na mwana ...! Kweli wakati si milele

Huyu ni baba wa kijografia. Sijui kwanini blaza ako Mshana Jr hakutaka kuwataja wababa wa namna hii. Maana mama anapanda ndege mpk bara la Asia... watu wanamimina vimiminika kinenani... then anapanda ndege tena mpaka barani Afrika mtoto anaibuka...

Hii inaitwa made in Asia for Africa...

Nadhani nina kaugonjwa ka wivu kwakuwa sijawahi kupanda drimulaina
 
Huyu ni baba wa kijografia. Sijui kwanini blaza ako Mshana Jr hakutaka kuwataja wababa wa namna hii. Maana mama anapanda ndege mpk bara la Asia... watu wanamimina vimiminika kinenani... then anapanda ndege tena mpaka barani Afrika mtoto anaibuka...

Hii inaitwa made in Asia for Africa...

Nadhani nina kaugonjwa ka wivu kwakuwa sijawahi kupanda drimulaina
[emoji1][emoji1][emoji1] labda kwakuwa tuna mipango mtoto aje kuwa na kiasili cha uvimba macho na kuongea kama unanena kwa lugha!
 
Bashite kapendwa kuliko hata akina joseph na jesca!
Kuna jambo limenitafakarisha sana...mahusiano ya baba na mtoto...Kwenye Biblia takatifu kuna simulizi nyingi zinazowahusu baba na mwana...hata Mungu mwenye enzi yote yote anamtaja Yesu Kristo kama mwanae mpendwa
Baba kama mzazi ana nafasi kubwa kiroho kwa mtoto kutokana na kizalia DNA ....baba ana uwezo wa kutoa laana na ikashika na pia ana uwezo wa kubariki na mtoto akabarikiwa

Kwenye dhana nzima ya baba na mwana kuna
Baba halisi
Baba halali
Baba wa kufikia
Baba wa hiari
Baba wa kurithi
Ni katika aina zote hizo za ma baba ....inaweza ikatokea tu kiasili kabisa baba akajikuta anampenda sana mmojawapo wa watoto wake wengi alionao...na sometimes sio lazima awe wa kumzaa yeye....yani mtoto wa kufikia anaweza kupendwa zaidi kuliko mtoto halisi

Mtoto mpendwa kwa baba anapogundua kuwa yeye ndio kipenzi cha dingi kuliko wengine...kwa akili za kitoto huanza kuringa na kufanya mambo ya kijinga mengi akiamini kuwa baba hawezi kumfanya kitu ....kuna wakati anaweza hata kuzusha jambo ama kumsingizia mtu kitu kwa baba, na baba bila kutafakari marambili akamchukulia hatua mtu huyo bila kuangalia uhalisia wa tuhuma zenyewe
Mtoto akiona hivyo huota mapembe na kuvimba kichwa...lakini waswahili wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...na ngoma ikivuma sana hupasuka.....!!!.ni katika kilele cha upendo wa baba kwa mtoto ndio jambo baya sana hutokea na baba akili kuanza kumrudi taratibu
Ewe mtoto ukishaona baba hatoki tena kwenda na wewe popote iwe bar, kwenye harusi ama mialiko yoyote...ukiona baba hakuiti tena chumbani kwake muongee...ukiona baba hakuiti tena akutume hata dukani...tambua tu kuwa sasa baba upendo umepungua na hakupendi tena kama zamani...utajipendekeza na kujifanya umejutia makosa yako lakini wewe sio wake tena....na akimpata mgeni wa kumpa zawadi anaweza kukugawa bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1548][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna jambo limenitafakarisha sana...mahusiano ya baba na mtoto...Kwenye Biblia takatifu kuna simulizi nyingi zinazowahusu baba na mwana...hata Mungu mwenye enzi yote yote anamtaja Yesu Kristo kama mwanae mpendwa
Baba kama mzazi ana nafasi kubwa kiroho kwa mtoto kutokana na kizalia DNA ....baba ana uwezo wa kutoa laana na ikashika na pia ana uwezo wa kubariki na mtoto akabarikiwa

Kwenye dhana nzima ya baba na mwana kuna
Baba halisi
Baba halali
Baba wa kufikia
Baba wa hiari
Baba wa kurithi
Ni katika aina zote hizo za ma baba ....inaweza ikatokea tu kiasili kabisa baba akajikuta anampenda sana mmojawapo wa watoto wake wengi alionao...na sometimes sio lazima awe wa kumzaa yeye....yani mtoto wa kufikia anaweza kupendwa zaidi kuliko mtoto halisi

Mtoto mpendwa kwa baba anapogundua kuwa yeye ndio kipenzi cha dingi kuliko wengine...kwa akili za kitoto huanza kuringa na kufanya mambo ya kijinga mengi akiamini kuwa baba hawezi kumfanya kitu ....kuna wakati anaweza hata kuzusha jambo ama kumsingizia mtu kitu kwa baba, na baba bila kutafakari marambili akamchukulia hatua mtu huyo bila kuangalia uhalisia wa tuhuma zenyewe
Mtoto akiona hivyo huota mapembe na kuvimba kichwa...lakini waswahili wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...na ngoma ikivuma sana hupasuka.....!!!.ni katika kilele cha upendo wa baba kwa mtoto ndio jambo baya sana hutokea na baba akili kuanza kumrudi taratibu
Ewe mtoto ukishaona baba hatoki tena kwenda na wewe popote iwe bar, kwenye harusi ama mialiko yoyote...ukiona baba hakuiti tena chumbani kwake muongee...ukiona baba hakuiti tena akutume hata dukani...tambua tu kuwa sasa baba upendo umepungua na hakupendi tena kama zamani...utajipendekeza na kujifanya umejutia makosa yako lakini wewe sio wake tena....na akimpata mgeni wa kumpa zawadi anaweza kukugawa bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1548][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati naanza kuusoma huu uzi nliwaza kitoto toto, baadaye mawazo yakapaa anga za mbali mpaka Kolomije yakarudi kwa kasi mpaka mkoani kwangu ugenini. Nikasema hiiiiiii!, nika-log off fasta ili nisije onekana kwenye CCTV wakati natia maguu kukomesha ubuyu wa Zanzibar usiendelee kuharibu vijana wangu hapa mjini kwa unga wa Gwajima mkuu wa Ufufuo kunifuta kwenye siasa madhabahuni kwake....
 
Tutegemee mabadiliko ya RC mpya anytime soon...najua Mshana Jr umeona pia kuwa huu ukimya wa mkuu kutokana na makosa mfululizo ya mwanae mpendwa wa hiari,tena ya kipuuzi/kike kike,yatakuwa yanamkosesha usingizi,naamini kuna kitu kinafikiriwa juu yake,tukae tu mkao,standby mode activation!
ili ule msemo wa manung`uniko ya wengi laana,utimie tuheme!
 
Huyu ni baba wa kijografia. Sijui kwanini blaza ako Mshana Jr hakutaka kuwataja wababa wa namna hii. Maana mama anapanda ndege mpk bara la Asia... watu wanamimina vimiminika kinenani... then anapanda ndege tena mpaka barani Afrika mtoto anaibuka...

Hii inaitwa made in Asia for Africa...

Nadhani nina kaugonjwa ka wivu kwakuwa sijawahi kupanda drimulaina
😀😀😀😀
 
Huyu ndugu yetu huwa ananifurahisha kwenye nguo anazovaa tu,

Hivi kuna mtu yeyote huwa anamdanganya amependeza[emoji28][emoji28][emoji28]??
hahaaa shati kubwa kama limejazwa Upepo
 
Tutegemee mabadiliko ya RC mpya anytime soon...najua Mshana Jr umeona pia kuwa huu ukimya wa mkuu kutokana na makosa mfululizo ya mwanae mpendwa wa hiari,tena ya kipuuzi/kike kike,yatakuwa yanamkosesha usingizi,naamini kuna kitu kinafikiriwa juu yake,tukae tu mkao,standby mode activation!
ili ule msemo wa manung`uniko ya wengi laana,utimie tuheme!
Hahaa mtoto ana mzalilisha baba".. kiongozi mkubwa ana acha kufanya kazi iliyomuweka madarakani ana hangaika na Tafrija za party ya birthday".. mbaya zaidi akipewa nafasi ya kuongea anaongea utumbo kuliko hata kichaa mwenyewe
 
hata katika maandiko watoto pendwa wapooo sana ....ila wakati ulipotimia baba zao waliwatoa sadaka kwa namna moja ama nyingine ili mapenzi yake yatimiee
 
Back
Top Bottom