public uniform
Member
- Apr 8, 2018
- 10
- 4
Kwema?
Jamani wadau, naombeni mnisaidie kufanya maamuzi leo naogopa kufanya maamuzi yangu binafsi nisije nikakosa wa kumlaumu.
Nina mwaka wa 7 sasa nafanya biashara kwenye hiki kiosk nina changamoto kubwa ya kibiashara.
Nimepanga kumshtaki mwenye nyumba wangu kwa mkewe kwa kunikopa kondom zangu bila kunilipa.
Leo ndo kanichefua zaidi, maana alikua kalewa, akaja kuchukua kondom kwangu akaondoka kwenda "kupiga" mchepuko, alafu mimi ndo nikawa "Guardian angel" wake kwa mkewe aliporudi nikamkumbusha kuhusu malipo akatema makohozi "ya kulazimisha" kwenye meza yangu ya matunda!
Sasa kuna haja gani ya kuendelea kumlea mtu kama huyu naficha siri zake, kondom zangu anakopa alafu halipi hana fadhila ametema makohozi kwenye meza yangu.
Mnasemaje wadau? Nikazidai kondom zangu kwa mkewe?
Nawasilisha!
Jamani wadau, naombeni mnisaidie kufanya maamuzi leo naogopa kufanya maamuzi yangu binafsi nisije nikakosa wa kumlaumu.
Nina mwaka wa 7 sasa nafanya biashara kwenye hiki kiosk nina changamoto kubwa ya kibiashara.
Nimepanga kumshtaki mwenye nyumba wangu kwa mkewe kwa kunikopa kondom zangu bila kunilipa.
Leo ndo kanichefua zaidi, maana alikua kalewa, akaja kuchukua kondom kwangu akaondoka kwenda "kupiga" mchepuko, alafu mimi ndo nikawa "Guardian angel" wake kwa mkewe aliporudi nikamkumbusha kuhusu malipo akatema makohozi "ya kulazimisha" kwenye meza yangu ya matunda!
Sasa kuna haja gani ya kuendelea kumlea mtu kama huyu naficha siri zake, kondom zangu anakopa alafu halipi hana fadhila ametema makohozi kwenye meza yangu.
Mnasemaje wadau? Nikazidai kondom zangu kwa mkewe?
Nawasilisha!
