Baba mtoto mshirikina

Baba mtoto mshirikina

moonlightj12

Member
Joined
Dec 6, 2022
Posts
33
Reaction score
90
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.

Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana, nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo.

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari, nimepigwa na butwaa kubwa.

I think I'm loosing my mind!
 
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona
Naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia

Ni kijana mmoja very smart mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari nimepigwa na butwaa kubwa...

I think I'm loosing my mind
Ukishagundua inabidi utulie km haujamfahamu.
Unajua kinachotokea pindi majambazi wanapovamia sehemu halafu kumbe mhusika wa pale akamjua mmoja kati ya majambazi yale?
 
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona
Naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia

Ni kijana mmoja very smart mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari nimepigwa na butwaa kubwa...

I think I'm loosing my mind
Wanoko wamekujaza maneno, aliekuambia amejuaje?
 
Polee sana aisee ila karne hii wanaume wanaongoza kwa kuwa washirikinaa duh sijui shida iko wap
 
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.

Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana, nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo.

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari, nimepigwa na butwaa kubwa.

I think I'm loosing my mind!
Nobody is perfect! Lichukulie hilo kama changamoto itakayokupima hekima na ukomavu wa kusolve issues ndani ya familia
 
Ata wewe mumeo alipewa taarifa kuwa unatembea na baba yako mzazi ila mumeo akavunga
 
Huyo aliyekuletea habari ndio mshirikina mwenyewe, jiukize kwanza amejuaje wakati wewe mama mtoto upo nae na usijue?? Au kamzidi kete huko kwenye mambo yao anaona bora amwage mboga ajibebee na ugali kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.

Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana, nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo.

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari, nimepigwa na butwaa kubwa.

I think I'm loosing my mind!
Good move, watu huwa ni waongo sana na habari za watu usizifanyie kazi kabla ujathibitisha
 
Pole ,digest ukimaliza funga mafaili komaa na mambo yako ,huyo alokupa habari anasubiri mfarakane vizuri ili afurahi vizuri
 
Fiche aibu ya mmeo
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.

Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana, nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo.

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari, nimepigwa na butwaa kubwa.

I think I'm loosing my mind!
Kabila gani huyo?
 
Kuna ndoa inaenda kuvurugika mwakani na kuna mchungaji anaenda kuongeza muhumini mtiifu pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom