Baba mtoto mshirikina

Baba mtoto mshirikina

Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.

Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana, nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo.

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari, nimepigwa na butwaa kubwa.

I think I'm loosing my mind!
Kama ulivyoshauriwa, chunguza kwanza. Kama anafanya kazi na anafukuzia cheo pia wengi huenda kwa waganga, biashara hivyohivyo
 
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.

Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana, nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo.

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari, nimepigwa na butwaa kubwa.

I think I'm loosing my mind!
Inaonesha una matatizo

 
sasa si ungefanya uchunguzi wako alafu ndo ulete uzi,hivi mwenzenu mi nikoje jamani sijawahi kupata mtu wa kuniletea umbea hata kidogo kuhusu familia yangu au nakuwa serious sana?
 
Ungesubiria ukipata taarifa kamilii ndio uje kuomba ushauri humu!
Anyways

Don't trust hearsays kiivooo Fanya ucgunguzi mwenyewe!!
 
Nobody is perfect! Lichukulie hilo kama changamoto itakayokupima hekima na ukomavu wa kusolve issues ndani ya familia
Tatizo ni athari, kumchukulia mtu inaweza isiwe tatizo, changamoto ni anaweza kufanya kitu gani kitakachoathiri familia yake

Mfano,
kuwatoa kafara zamu ikifika
Au kuwazindika
Au kumfundisha mtoto vitendo hivyo

Bahati nzuri wewe una uelewa mkubwa kwenye hayo maswala

Linachukulika kweli, hasa pindi atakapothibitisha ni kweli?
 
Niliambiwa kua uyaone basi mim mwenzenu nimeyaona, naandika huku natetemeka sikuwahi waza kama baba mtoto wangu anaweza kua mshilikina kupindukia.

Ni kijana mmoja very smart, mstaarabu wa sura ila roho yake nimeshangaa sana, nahisi alieniletea izi habari anaweza kua muongo.

Ntakuja na Uzi kamili bado najarbu kudigest habari, nimepigwa na butwaa kubwa.

I think I'm loosing my mind!
Mchunguze vizuri aliyekuletea hizo taarifa
 
Sikuu hizi akileta nyama choma usizile usije lishwa wafu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom