Baba mkwe amekataa mahari yangu

(Mwenzenu nimeoa ndoa ya kanisani, licha bado tunaishi tofauti. hapa nafatilia maswala ya huakika cheti cha ndoa.)

Hayo maneno kwa mabano na bado ananiambia sijaelewa

Thanks Quote

Sio kila mtu ni mwandishi mzuri mkuu. na jinsi nilivyoandika siwez elezea hatua kwa hatua. so nimefanya story iwe fupi tu ili lengo langu la kutakana kusema baba mkwe amekataa mahari yangu kwasababu mchango wangu kwa mwanae na familia ni mkubwa.

Hilo basi
 
Hii labda ni mpya, Ina maana cheti changu hakitambulikani? Tumia Neno tofauti labda. Otherwise nakupongeza sana sana
 
Kanisa gani hilo Mkuu ambalo cheti cha ndoa unakifuata baada ya ndoa?
 
We utakua unaombwa buku buku zisizokoma kama mvua, Mzee kawekeza hiyo ibaki uko uko utakua unamlipa taratibu na riba juu.
 
Una deni la kulipia changamoto za mzee afikapo uzeeni
 
Kwa Makabila mengine asiyetolewa mahari ni mtoto wa mwisho kuzaliwa!
 
Kama ulimtoa mchango kwenye familia ya mke wako Kwa moyo wako wote na mlikuwa mmeshakubaliana swala la mahali wewe pamoja na mke wako na familia yake,KATOE MAHALI. Mwambie Baba mkwe ushatenga bajeti ya mahali na mahaili iko tayari.

Kama ulitoa mchango kwenye familia ya mke wako Kwa lengo badae usamehewe mahali,licha ya kuwa mke wako pamoja na familia yake mlikuwa mmeshakubaliana swala la kutoa mahali mpaka kiasi. ACHA KUTOA MAHALI.
 

Soma vizuri
 
Soma vizuri
Kumbuka!

Kama asingekuwa mke wako. Huo mchango sidhani kama ungeutoa kwenye familia yake.

Usiniambie nisome vizuri, ingali ushasema kwenye comment hauna unandishi mzuri.

Andika vizuri wewe kwanza. Nilicho comment ndicho nilicho soma.
 
Huyo baba mkwe ni kama mimi, nimeshapanga sitakuja kupokea mahari kwa mabinti zangu
Kuna wanaume hawafungi ndoa bila kutoa mahari. Mahari ni lazima kama unafahamu vizuri maana yake.
 
Mambo yakienda kombo watu wanadai mahari zao, na wengine wanakata mahari mkishindwana watoto wanakuwaa sio wako unawakosa.
 

Tambiko hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…