Baba mkwe amekataa mahari yangu

hiyo para ya meisho umeandika nini?
 
Namuunga mkono kabisa. Sikupokea magari ya binti yangu na vijana wangu nimewambia hakuna kupokea mahari kwa mabinti zao. Kifupi mwanangu aishi kwa furaha na asisimangiwe mahari. Na ukweli mkwe wangu ananiheshimisha kwa mambo ya hapa na pale bila hata kumuomba maana najitosheleza. Yapo mengi amefanya kwa familia kirafiki kuzidi hata mahari. Hivyo Tuwaone vijana wanaokuja kuoa mabinti zetu kama sehemu ya maisha ya familia kuliko waoaji. Tena ninamuita kwa jina lake la mwanzo kabisa. Kuna kipindi alitupeleka family vacation ya kibabe kabisa kutoka mfukoni kwao na binti yangu. Yaani tulilazwa 5 star hotel nje ya Tanzania. By the way mabinti zetu worth more than the pride price. They can't have real valued price tag.
 
Hili la kutotoa mahari ndio linawafurahisha sana vijana wa sasa wapenda kitonga...
 
Hili la kutotoa mahari ndio linawafurahisha sana vijana wa sasa wapenda kitonga...

Mimi niliandaa mahari na niliomba tuambie mahari, hapo kweli tunapenda vitonga?
 
Huyo Mzee ni Mtibeli.
Watibeli ndio tupo hivyo. Hatuwezi uza Binti zetu kama watumwa.
Ni Binti zetu, Binti wa Tibeli ni Binti huru.
Mtibeli kashadandia uzi na hakuna kitu mleta uzi unaweza kumfanya🤣🤣😇.. Nakubali sana pigo za Mtibeli by the way.💪💪💪
 
Kitendo cha kutoa kulipa mahari mwnamke atakuja kukudharau sna siku atasema unaninyanyaza wkt hujalipa mahari

Embu kalipe mahari

Soma vizuri utaelewa kwanini sijatoa mahari
 
Afu ulipaswa ujiongeze,nunua blangeti la bibi na baba na mama na,Kanga na vitenge vya mashabgazi muulize mwenzio atakupa idadi ya wanaostahili kupata hivyo na mazaga mengine mwambie mkwe umeleta zawadi.Mama mkwe wako na shangazi watajua anagawaje hivyo kwa watu wana.

Usisahau shangazi ni baba,Shangazi apewe kitenge kizuri na shati la mumewe.

Ukimaliza kuja kunishukuru.
 

Umetisha sana mkue
 
Hongera mkuu.
Kuna nyinyi mnasamehewa mahari ,kuna wale wanapewa mahari na watoto wa kike halafu kuna kina sisi wa mahari mtajijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…