Tatizo letu na hizi lugha za watu ni kwamba, kwanza hiyo sentensi unaanza kuifikiria kwa kilugha chenu, halafu unai-tafsiri katika kiswahili; baada ya hapo ndo unaanza kuitafsiri kwa lugha ya watu. Mpaka hapo itakuwa ishapoteza hata maana iliyokuwa nayo!.