Ahaaa...hilo mbona swali rahisi sana kwa hii elimu yetu ya kata, mbuyu ulianza kama mchicha hivyo badili neno moja moja kwanza kisha inakua mbuyu mzima. Father/Dady, Me is your Child of how many??...hahahah...changanya na za kwako, naamini kwa mzungu asiye na makuu ya gramma ila ujumbe atakuelewa.