Baba mdogo alipoteza ajira yake, akapata kesi, kafungwa jela kwa kukosa faini milioni 40 tu, huku ana watoto wakubwa aliowasomesha India na UK

Baba mdogo alipoteza ajira yake, akapata kesi, kafungwa jela kwa kukosa faini milioni 40 tu, huku ana watoto wakubwa aliowasomesha India na UK

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,481
Reaction score
8,582
Habari wadau.

NIna baba yangu mdogo alikuwa bosi kwenye wizara moja serikalini. Alikuwa na cheo cha kamishna kwenye taasisi moja inayosimamiwa na wizara yake.

Mwaka 2021 Bahati mbaya baba mdogo alipata matatizo kazini. Matatizo hayo yalimfanya apoteze ajira yake na kupata kesi mahakamani.

Ilichukua miaka miwili mahakama kutoa hukumu ya kesi hiyo. Ambapo ilimuamuru aende jela miaka 8 ama alipe faini milioni 40.

Ikabid familia ikae vikao. Ila milioni 40 hiyo haikupatikana ndani ya muda wa kulipwa uliopangwa . Baba mdogo akahukumiwa kwenda jela.

Kilichoniumiza hiyo hela ni ndogo kuliko uwekezaji alioufanya baba mdogo kwa watoto wake kielimu.

Baba mdogo ana mtoto wa kiume above 30 yrs wakati anahukumiwa. Mtoto huyo alisomeshwa chuo uingereza na shule alisomeshwa shule maarufu za mama lwakatare. Ila alishindwa msaidia baba yake sababu hana ajira ya kueleweka.

PIa baba mdogo ana mabinti wawili wote walikuwa above 27 wakati baba mdogo anahukumiwa. Na hao mabinti chuo mmoja alisomeshwa india na mwingine malaysia.. ila na wao walishindwa kupata hela ya kumchangia baba yao.

Baba mdogo alikuwa mtoaji mzuri kwenye kanisa lake alilokuwa anasali. Ambalo ni kanisa la dhehebu maarufu kwa sheria kali kwa waumini wake. Kanisa lake pia lilishindwa kufanikisha kupatikana hiyo hela ya faini.

Baba mdogo ana nyumba nzuri ya kuishi ya ghorofa moja ambayo yeye na familia yake walikuwa wanaishi. Nyumba bado ipo familia yake inaishi, hakuiuuza ili alipe faini maana familia haina nyumba nyingine ya kuishi.

Binafsi najiuliza hivi ni sahihi mzee wa miaka 60 kukubali kwenda jela sababu familia yako itakosa nyumba nzuri ya kuishi ?

Pia najiuliza nini faida ya kusomesha watoto shule za gharama ama nje ya nchi kama ajira yao hujawaandalia unategemea waje kuajiriwa na watu wengine? Hela za ada alizotumia baba mdogo angejengea nyumba nyingi, nahisi zingemsaidia kukwepa kwenda jela.

Pia najiuliza, je wanaume ni magreda kazi yetu kuchonga barabara tu. Tumekuja duniani kujali mke na watoto na sio kujijali wenyewe ?
 
Somo kubwa hapo lipo kwako mkuu..

Fanya kila kitu kwa wengi ila haimaanishi kila unapopanda utavuna. Kwa hiyo ubinafsi sio mbaya muda wote, kujifikiria wewe kwanza sio mbaya.

Na kingine mkuu, wewe unahukumu kwa upande wa nje na thread yako ingeleta maana kama ungesema hao watoto wamemtelekeza lakini kama walikuwa kwenye mapambano yawezekana mambo yalishindikana. Na kwa mtu wa level yake hata marafiki wazito na ndugu kama wewe wenye uwezo lazma anao ila hadi nyote na marafiki zake mmekaa pembeni kama haliwahusu maana si familia yake, bhasi mambo yalishindikana
 
Habari wadau.

NIna baba yangu mdogo alikuwa bosi kwenye wizara moja serikalini. Alikuwa na cheo cha kamishna kwenye taasisi moja inayosimamiwa na wizara yake.

Mwaka 2021 Bahati mbaya baba mdogo alipata matatizo kazini. Matatizo hayo yalimfanya apoteze ajira yake na kupata kesi mahakamani.

Ilichukua miaka miwili mahakama kutoa hukumu ya kesi hiyo. Ambapo ilimuamuru aende jela miaka 8 ama alipe faini milioni 40.

Ikabid familia ikae vikao. Ila milioni 40 hiyo haikupatikana ndani ya muda wa kulipwa uliopangwa . Baba mdogo akahukumiwa kwenda jela.

Kilichoniumiza hiyo hela ni ndogo kuliko uwekezaji alioufanya baba mdogo kwa watoto wake kielimu.

Baba mdogo ana mtoto wa kiume above 30 yrs wakati anahukumiwa. Mtoto huyo alisomeshwa chuo uingereza na shule alisomeshwa shule maarufu za mama lwakatare. Ila alishindwa msaidia baba yake sababu hana ajira ya kueleweka.

PIa baba mdogo ana mabinti wawili wote walikuwa above 27 wakati baba mdogo anahukumiwa. Na hao mabinti chuo mmoja alisomeshwa india na mwingine malaysia.. ila na wao walishindwa kupata hela ya kumchangia baba yao.

Baba mdogo alikuwa mtoaji mzuri kwenye kanisa lake alilokuwa anasali. Ambalo ni kanisa la dhehebu maarufu kwa sheria kali kwa waumini wake. Kanisa lake pia lilishindwa kufanikisha kupatikana hiyo hela ya faini.

Baba mdogo ana nyumba nzuri ya kuishi ya ghorofa moja ambayo yeye na familia yake walikuwa wanaishi. Nyumba bado ipo familia yake inaishi, hakuiuuza ili alipe faini maana familia haina nyumba nyingine ya kuishi.

Binafsi najiuliza hivi ni sahihi mzee wa miaka 60 kukubali kwenda jela sababu familia yako itakosa nyumba nzuri ya kuishi ?

Pia najiuliza nini faida ya kusomesha watoto shule za gharama ama nje ya nchi kama ajira yao hujawaandalia unategemea waje kuajiriwa na watu wengine? Hela za ada alizotumia baba mdogo angejengea nyumba nyingi, nahisi zingemsaidia kukwepa kwenda jela.

Pia najiuliza, je wanaume ni magreda kazi yetu kuchonga barabara tu. Tumekuja duniani kujall mke na watoto na sio kujijali wenyewe ?
Liwe funzo kwako hasa kwa watu tunao amini sana kwenye elimu na kazi za kuajiriwa hapo ndio kuna changamoto hata mtoa mada kama hauta wekeza kwenye ujasiliamali na biashara kupata hiyo pesa gafla ni ngumu sana bora ufungwe tu maana kifungo kinaisha ila kujenga una miaka 60 ni uongo ni uamuzi wa busara kama hawakufanikiwa kuipata la kujifunza ni kuwekeza nje na ajira ndio somo.
 
Habari wadau.

NIna baba yangu mdogo alikuwa bosi kwenye wizara moja serikalini. Alikuwa na cheo cha kamishna kwenye taasisi moja inayosimamiwa na wizara yake.

Mwaka 2021 Bahati mbaya baba mdogo alipata matatizo kazini. Matatizo hayo yalimfanya apoteze ajira yake na kupata kesi mahakamani.

Ilichukua miaka miwili mahakama kutoa hukumu ya kesi hiyo. Ambapo ilimuamuru aende jela miaka 8 ama alipe faini milioni 40.

Ikabid familia ikae vikao. Ila milioni 40 hiyo haikupatikana ndani ya muda wa kulipwa uliopangwa . Baba mdogo akahukumiwa kwenda jela.

Kilichoniumiza hiyo hela ni ndogo kuliko uwekezaji alioufanya baba mdogo kwa watoto wake kielimu.

Baba mdogo ana mtoto wa kiume above 30 yrs wakati anahukumiwa. Mtoto huyo alisomeshwa chuo uingereza na shule alisomeshwa shule maarufu za mama lwakatare. Ila alishindwa msaidia baba yake sababu hana ajira ya kueleweka.

PIa baba mdogo ana mabinti wawili wote walikuwa above 27 wakati baba mdogo anahukumiwa. Na hao mabinti chuo mmoja alisomeshwa india na mwingine malaysia.. ila na wao walishindwa kupata hela ya kumchangia baba yao.

Baba mdogo alikuwa mtoaji mzuri kwenye kanisa lake alilokuwa anasali. Ambalo ni kanisa la dhehebu maarufu kwa sheria kali kwa waumini wake. Kanisa lake pia lilishindwa kufanikisha kupatikana hiyo hela ya faini.

Baba mdogo ana nyumba nzuri ya kuishi ya ghorofa moja ambayo yeye na familia yake walikuwa wanaishi. Nyumba bado ipo familia yake inaishi, hakuiuuza ili alipe faini maana familia haina nyumba nyingine ya kuishi.

Binafsi najiuliza hivi ni sahihi mzee wa miaka 60 kukubali kwenda jela sababu familia yako itakosa nyumba nzuri ya kuishi ?

Pia najiuliza nini faida ya kusomesha watoto shule za gharama ama nje ya nchi kama ajira yao hujawaandalia unategemea waje kuajiriwa na watu wengine? Hela za ada alizotumia baba mdogo angejengea nyumba nyingi, nahisi zingemsaidia kukwepa kwenda jela.

Pia najiuliza, je wanaume ni magreda kazi yetu kuchonga barabara tu. Tumekuja duniani kujall mke na watoto na sio kujijali wenyewe ?
Unajitoa kuwalea na kuwasomesha mpaka wanajipata... Lakini wao kwa umoja wao wanaweza kushindwa kukudumia.. Uzazi kazi
 
Habari wadau.

NIna baba yangu mdogo alikuwa bosi kwenye wizara moja serikalini. Alikuwa na cheo cha kamishna kwenye taasisi moja inayosimamiwa na wizara yake.

Mwaka 2021 Bahati mbaya baba mdogo alipata matatizo kazini. Matatizo hayo yalimfanya apoteze ajira yake na kupata kesi mahakamani.

Ilichukua miaka miwili mahakama kutoa hukumu ya kesi hiyo. Ambapo ilimuamuru aende jela miaka 8 ama alipe faini milioni 40.

Ikabid familia ikae vikao. Ila milioni 40 hiyo haikupatikana ndani ya muda wa kulipwa uliopangwa . Baba mdogo akahukumiwa kwenda jela.

Kilichoniumiza hiyo hela ni ndogo kuliko uwekezaji alioufanya baba mdogo kwa watoto wake kielimu.

Baba mdogo ana mtoto wa kiume above 30 yrs wakati anahukumiwa. Mtoto huyo alisomeshwa chuo uingereza na shule alisomeshwa shule maarufu za mama lwakatare. Ila alishindwa msaidia baba yake sababu hana ajira ya kueleweka.

PIa baba mdogo ana mabinti wawili wote walikuwa above 27 wakati baba mdogo anahukumiwa. Na hao mabinti chuo mmoja alisomeshwa india na mwingine malaysia.. ila na wao walishindwa kupata hela ya kumchangia baba yao.

Baba mdogo alikuwa mtoaji mzuri kwenye kanisa lake alilokuwa anasali. Ambalo ni kanisa la dhehebu maarufu kwa sheria kali kwa waumini wake. Kanisa lake pia lilishindwa kufanikisha kupatikana hiyo hela ya faini.

Baba mdogo ana nyumba nzuri ya kuishi ya ghorofa moja ambayo yeye na familia yake walikuwa wanaishi. Nyumba bado ipo familia yake inaishi, hakuiuuza ili alipe faini maana familia haina nyumba nyingine ya kuishi.

Binafsi najiuliza hivi ni sahihi mzee wa miaka 60 kukubali kwenda jela sababu familia yako itakosa nyumba nzuri ya kuishi ?

Pia najiuliza nini faida ya kusomesha watoto shule za gharama ama nje ya nchi kama ajira yao hujawaandalia unategemea waje kuajiriwa na watu wengine? Hela za ada alizotumia baba mdogo angejengea nyumba nyingi, nahisi zingemsaidia kukwepa kwenda jela.

Pia najiuliza, je wanaume ni magreda kazi yetu kuchonga barabara tu. Tumekuja duniani kujall mke na watoto na sio kujijali wenyewe ?
Kwa nafasi aliyokuwa nayo baba yako mdogo ilimpasa awe na vitega uchumi vilivyosimama na vinavyoingiza mapato makubwa tu achilia mbali investment ya elimu juu ya watoto wake. Ni ajabu kwa nafasi aliyokuwa kukosa marafiki na workmates wazito wenzake kushindwa kumchangia hiko kiasi cha pesa na kumnasua kwenye hilo jambo. Labda alihusika kweli kwenye iyo issue na watu wakaamua wakae pembeni wasije nao kunuswa wakanukia.....
 
Baba mdogo miaka yote ya utumishi wa umma tena kwa level ya ukamishna wizarani alishindwaje kulipa faini ya mil 40/ USD 15000 ? Inafikirisha.

Alifukuzwa kazi. Mafao hakupata, Na kesi imechukua miaka kazaa mpaka hukumu imetoka. Aliuza hadi magari yake katika kupigania kesi yake, kabla ya hukumu , Na pia kulisha familia yake kipindi hana kazi
 
Kwa nafasi aliyokuwa nayo baba yako mdogo ilimpasa awe na vinegar uchumi vilivyosimama na vinavyoingiza mapato makubwa tu achilia mbali investment ya elimu juu ya watoto wake. Ni ajabu kwa nafasi aliyokuwa kukosa marafiki na workmates wazito wenzake kushindwa kumchangia hiko kiasi cha pesa na kumnasua kwenye hilo jambo. Labda alihusika kweli kwenye iyo issue na watu wakaamua wakae pembeni wasije nao kunuswa wakanukia.....

Ni wale Wazee wa zamani wanaoamini elimu bora kwa watoto ndio uwekezaji sahihi..

Bila kusahau alikuwa anasomesha na ndugu pia
 
Liwe funzo kwako hasa kwa watu tunao amini sana kwenye elimu na kazi za kuajiriwa hapo ndio kuna changamoto hata mtoa mada kama hauta wekeza kwenye ujasiliamali na biashara kupata hiyo pesa gafla ni ngumu sana bora ufungwe tu maana kifungo kinaisha ila kujenga una miaka 60 ni uongo ni uamuzi wa busara kama hawakufanikiwa kuipata la kujifunza ni kuwekeza nje na ajira ndio somo.
Somo limefika.
 
They could have sold the house and bought a smaller one to save the dad, anyways

Msiwaseme sana wazazi waliosomesha expensively, sio wajinga, they wanted the best for their kids and did what they thought was right at the time.

Times are changing. Ambao sasa Wanasomesha watoto secondary ndio wanaweza kufanya maamuzi tofauti baada ya kuona the current worldwide job crisis.

Btw, it was prophecied: towards the end there will be a worldwide economic crisis. The Richer will get richer, and the Poor more poor. We're heading there.

"And I heard a voice from among the four living beings say, “A loaf of wheat bread or three loaves of barley will cost a day’s pay. And don’t waste the olive oil and wine."
Revelation.6.5-6.NLT
 
Kwa nafasi aliyokuwa nayo baba yako mdogo ilimpasa awe na vinegar uchumi vilivyosimama na vinavyoingiza mapato makubwa tu achilia mbali investment ya elimu juu ya watoto wake. Ni ajabu kwa nafasi aliyokuwa kukosa marafiki na workmates wazito wenzake kushindwa kumchangia hiko kiasi cha pesa na kumnasua kwenye hilo jambo. Labda alihusika kweli kwenye iyo issue na watu wakaamua wakae pembeni wasije nao kunuswa wakanukia.....
Vitega uchumi sio rahisi ,ni stori za kusadikika kabisa .. Biashara sio simple hata uwe na mil 100 ,unaweza kupteza yote .

Mimi nawajua wanajeshi wawili ,wamestaafu kama miaka 9 nyuma ila ni walinzi leo , mshahara hata laki 3 haufiki ni wazee sana
.Mmoja ana lundo la watoto kama saba.
 
Habari wadau.

NIna baba yangu mdogo alikuwa bosi kwenye wizara moja serikalini. Alikuwa na cheo cha kamishna kwenye taasisi moja inayosimamiwa na wizara yake.

Mwaka 2021 Bahati mbaya baba mdogo alipata matatizo kazini. Matatizo hayo yalimfanya apoteze ajira yake na kupata kesi mahakamani.

Ilichukua miaka miwili mahakama kutoa hukumu ya kesi hiyo. Ambapo ilimuamuru aende jela miaka 8 ama alipe faini milioni 40.

Ikabid familia ikae vikao. Ila milioni 40 hiyo haikupatikana ndani ya muda wa kulipwa uliopangwa . Baba mdogo akahukumiwa kwenda jela.

Kilichoniumiza hiyo hela ni ndogo kuliko uwekezaji alioufanya baba mdogo kwa watoto wake kielimu.

Baba mdogo ana mtoto wa kiume above 30 yrs wakati anahukumiwa. Mtoto huyo alisomeshwa chuo uingereza na shule alisomeshwa shule maarufu za mama lwakatare. Ila alishindwa msaidia baba yake sababu hana ajira ya kueleweka.

PIa baba mdogo ana mabinti wawili wote walikuwa above 27 wakati baba mdogo anahukumiwa. Na hao mabinti chuo mmoja alisomeshwa india na mwingine malaysia.. ila na wao walishindwa kupata hela ya kumchangia baba yao.

Baba mdogo alikuwa mtoaji mzuri kwenye kanisa lake alilokuwa anasali. Ambalo ni kanisa la dhehebu maarufu kwa sheria kali kwa waumini wake. Kanisa lake pia lilishindwa kufanikisha kupatikana hiyo hela ya faini.

Baba mdogo ana nyumba nzuri ya kuishi ya ghorofa moja ambayo yeye na familia yake walikuwa wanaishi. Nyumba bado ipo familia yake inaishi, hakuiuuza ili alipe faini maana familia haina nyumba nyingine ya kuishi.

Binafsi najiuliza hivi ni sahihi mzee wa miaka 60 kukubali kwenda jela sababu familia yako itakosa nyumba nzuri ya kuishi ?

Pia najiuliza nini faida ya kusomesha watoto shule za gharama ama nje ya nchi kama ajira yao hujawaandalia unategemea waje kuajiriwa na watu wengine? Hela za ada alizotumia baba mdogo angejengea nyumba nyingi, nahisi zingemsaidia kukwepa kwenda jela.

Pia najiuliza, je wanaume ni magreda kazi yetu kuchonga barabara tu. Tumekuja duniani kujall mke na watoto na sio kujijali wenyewe ?
Haya masuala ya kusomesha watoto shule za gharama yana mambo. Namfahamu engineer mmoja alisomesha watoto wake wa kiume wawili UK lakini hakuna hata mmoja ambaye alifanikiwa huko na maisha baadaye yakawa magumu wakarudi tz. Mmoja ni dereva mwingine yuko kijijini anaishi kwenye nyumba ya urithi na ni mlevi wa gongo.
Mzee alifariki nyumba zake zote za mjini waliuza.
 
Making Kayumba Schools Great Again Campaign ( MAKAGA Campaign)

Hiyo hela Bora angefanya real investment ingemsaidia. Watoto angewasomesha Kayumba na kuwasimamia.

Haya sasa twende kazi, kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya EMS warudishe Kayumba.

Thank me later

🙏🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom