GE2025 Baba Levo: Zitto akitaka kulinda kura tutampa zake azishike mkononi

GE2025 Baba Levo: Zitto akitaka kulinda kura tutampa zake azishike mkononi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kwa ninanvyowajua watz na hasa watu wa kigoma zito hatoboi kwa huyu jamaa ni atapigiwa gwaride la hatari mwisho anarudi kuongoza act
 
Kwa utovu wa nidhamu uliouonyesha kwa kumpora karatasi mtangaza matokeo vipi kama ukiteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya hutakuwa kiongozi wa kuchapa watu bakora?
 
Dah aisee...maisha yanaenda Kasi...eti huyu mhuni leo anamtupia maneno mwamba jemedari la siasa @ZittoKabwe
 
Kwa utovu wa nidhamu uliouonyesha kwa kumpora karatasi mtangaza matokeo vipi kama ukiteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya hutakuwa kiongozi wa kuchapa watu bakora?
Mkuu nikuhakikishie hapo hakuna kitu kichwa kimejaa Moshi wa bangi, madawa, UMBEYA kama mwanamke, huyu sio ndio alisema anaweza hata kumzalia diamond ...Sasa Kuna mtu humo., yan wewe mwanaume ulietahiriwa mwenye mavuzi na makende unatamani umbebee mimba mwanaume mwenzako....ndio mbunge huyo eti anapambana na zito...naamin Wana ccm wa kigoma watampa kura zitto tu ..
 
TZ ni Chanel ya vichekesho ulimwenguni, baba Levo akawe mbunge? Tobaaaah!!
 
Watu hawajamfatilia baba Levo kwenye kampeni za CCM . Alikuwa na influence Sana. Wangemrudisha yule jamaa mwingine Zitto angeshinda asubuhi.
 
Back
Top Bottom