Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Hana akili huyo
Sasa huku ndo Kuna Saka saaafiSijakataa mkuu mimi ni mshabiki wa simba kimataifa huko kwenye vikombe vya mbuzi hutoniona kamwe.
Tunahama timu za taifa itakuwa vilabu kaka?😂😂Yanga yatinga fainali shirikisho kwa kuhamahama sasa wapo Morocco
Hatuna muda wa kubishana na vichaa. Akafie mbele huko.Mtangazaji wa Wasafi FM, BabaLevo aweka ahadi kama Simba wakishinda Kombe la Shirikisho Afrika, mashabiki wa klabu hiyo waende kuvunja ghorofa lake.
Credit: Wasafi FM
Hata Mimi ntaweka ahadi ya gari langu Land cruiser v8 View attachment 3320451
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Marumo na Rivers united walikuwa na historia gani?
simba hatuhangaiki na wagonjwa wa akiliMtangazaji wa Wasafi FM, BabaLevo aweka ahadi kama Simba wakishinda Kombe la Shirikisho Afrika, mashabiki wa klabu hiyo waende kuvunja ghorofa lake.
Credit: Wasafi FM
Hata Mimi ntaweka ahadi ya gari langu Land cruiser v8 View attachment 3320451
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kichaa asingeaminiwa pale usafiniHatuna muda wa kubishana na vichaa. Akafie mbele huko.
Zile timu zilitikisa sana SA enzi hizoMarumo na Rivers united walikuwa na historia gani?
Ndo kina nani sasasimba hatuhangaiki na wagonjwa wa akili
Yule ni fighterAna ghorofa kumbe siku hizi? Uchawa umewalipa Kwa kweli
Uchawa ni asilimia 70 ya mafanikio yake
Atoe jicho basi
Hapana..ni balozi wa makampuniUchawa ni asilimia 70 ya mafanikio yake
aweke kwenye maandishi.
tusije tukasumbuana na serikali.


