Walikosea sana kushiriki uchaguzi,CCM sio chama cha kufanya biashara ya siasa,hawaaminiki,ni wajanja wajanja,hawana nia ya dhati ya kubadili mfumo wa siasa kuwa level moja; watakushawishi in favor kwao baada ya kufanya makubaliano wana kuacha. Kipindi kijacho wanaweza kufanya maridhiano ya ulaghai 2028 ili wawazuge lakini target yao ni 2030. Ref ipo kile chama cha ubwabwa,walikitumia chama hicho kutaka kuipasua CDM wakashindwa na sasa Chauma kimeshapotea. Afisa Kipenyo Salim Mwalim soon anarudi zake CCM