PostGE2025 Baba Levo aagiza Halmashauri kuacha kuanzisha kodi mpya, adai “Zinawaumiza Wananchi”

PostGE2025 Baba Levo aagiza Halmashauri kuacha kuanzisha kodi mpya, adai “Zinawaumiza Wananchi”

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus Chipando, maarufu Baba Levo aagiza Halmashauri kuacha kuanzisha kodi mpya kwani “Zinawaumiza Wananchi” bali watengeneze vyanzo vipya vya mapato ambapo amesema yeye pamoja na madiwani washirikiane kupunguza baadhi ya tozo zilizopo kwa Wananchi na siyo kuongeza.

 
Hana mamlaka ya kuagiza yeye anaweza kushauri au kupendekeza tu asijipe mamlaka asiyokuwa nayo.
 
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus Chipando, maarufu Baba Levo aagiza Halmashauri kuacha kuanzisha kodi mpya kwani “Zinawaumiza Wananchi” bali watengeneze vyanzo vipya vya mapato ambapo amesema yeye pamoja na madiwani washirikiane kupunguza baadhi ya tozo zilizopo kwa Wananchi na siyo kuongeza.

Hawa ndio eti viongozi wa wananchi
 
alipewa job description?
 
alipewa job description?
Nadhani hakupewa na ndio maana anaamini kwamba ana mamlaka ya kuzuia kodi hizo
Nchi imegeuka kuwa kituko kuliko kituko chenyewe
 
Mpaka sasa huyu ndiye Mbunge pekee aligusa maisha ya wananchi mojakwa moja
 
Back
Top Bottom