baba hawezi kuondoka na kuiacha nyumba haijatulia

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Jul 21, 2015
2,567
416
juzi katibu mkuu kiongozi ombeni sefue alisema rais magu ,hawezi kufanya safari za nje kabla hajaiweka nchi katika mstari ulionyoka. nadhani hii ni maana halisi ya BABA KICHWA CHA NYUMBA. baba hawezi kufanya safari zake wakati nyumbani panayumba yumba wanafamilia hawajatulia.
 
juzi katibu mkuu kiongozi ombeni sefue alisema rais magu ,hawezi kufanya safari za nje kabla hajaiweka nchi katika mstari ulionyoka. nadhani hii ni maana halisi ya BABA KICHWA CHA NYUMBA. baba hawezi kufanya safari zake wakati nyumbani panayumba yumba wanafamilia hawajatulia.
Yaani nimeipenda. Halafu si lazimauende nje ndio ujulikane/ ukubalike. Mh. Magufuli yuko nchini pake lakini mpaka China wanamuandika tena in a positiove way. Siku moja nafungua Yahoo dah naona wamemuandika Go Magufuli Go!
 
Back
Top Bottom