Baba Diamond Ashinda Njaa

Aione mzurimie hii
 
Umenena vema mkuu,hata sisi baba yetu hakutusomesha na pesa alikuwa nayo lakini mama alikomaa tukasoma na baba akafulia akawa home tu tulimjali sana mpaka akafariki akituombea baraka tele
 
aya magazeti ya udaku yanampa pesa kdogo huyu mzee ili afunguke, huku ukweli wakiujua kwamba hakumsadia mondi kwa lolote
 
Mama yake anamuongeza sumu azidi kumtenga babaake,kama mama ana mchango mkubwa kuongea na mwanae amsaidie babaake
 
Umenena vema mkuu,hata sisi baba yetu hakutusomesha na pesa alikuwa nayo lakini mama alikomaa tukasoma na baba akafulia akawa home tu tulimjali sana mpaka akafariki akituombea baraka tele
Malipo ya dhambi ni hapahapa duniani alikula ujana wake bila kufikiria ana familia sasa hivi mtoto kapata ananza kujpendekeza na wala sio kwa Diamond pekee mifano iko mingi kama Memphis Depay alikimbiwa na baba yake akiwa mdogo kwanini sasa hivi amsaidie??
 
kaka umetisha
 
Huyu mzee hata hio kuumwa miguu naona kama anaZuga ili apate huruma.
Hii ni mfano kwa wanaume wanaowakimbia watoto wao!!
Mkuu usimlamu huyo Mzee, hafu WW Ni Kidume pia, huwezi kujua nini kilitokea mkuu kwenye mahusiano Yao! Vp Kama Mama alikua Tatizo, vp Kama Mama D aliwasakizia mimba Wanaume wawili?
 
Memphis hataki kumsikia baba ake hata kidogo, wengine ni Charles taylor, paul ince , giggs , etc
 
Kinachomuumiza sio shida alizonazo bali ni kuona mama yake diamond anakula bata, tena amepanda ndege kabisa wakati walikuwa wakipigiana tambo nani mjanja baadae, hahaha, acha aisome namba.
 
hiyo hela akipewa ndani ya miezi miwili hana kitu
 
Kwenye issue Kama hizo Mama anafurahi Tu, tena anazidi kumwaga sumu za uongo! Huwezi kujua nini kilitokea wakati ule, busara ya kawaida ya Mwanaume, Diamond angemsaidia Baba yake!
 
Diamond amfungulie huyu mzee mashtaka ya kumtelekeza utotoni akale ugali wa bure jela kama shida ni njaa...
 
Yeye alitoka nduki sasa watoto nao wamemjibu kiukweli si mtu wa busara kama ni mbinu hii ya global kaisha itumia mara nyingi imemsaidia vp?kisha anaoneka hata anavyoongea ni mtu flan wa kunywesha sana.
 
sasa huyu mzee atajifunza nn ? yaani aitekeleze familia halafu aitwe aje kula bata kwa kuitelekeza hiyo family ?
 
yes, point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…