ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Umetoka shule umekuja nyumbani kwa likizo unamkuta baba yako hayupo unamuuliza mama yako kuhusu baba yako anakuambia baba yako yupo kazini.
Unakaa hapo nyumbani kwenu mwezi mzima Muda wote upo na mama yako Mara likizo imeisha baba yako anakukuta uko chumbani kwako unapanga mabegi anakupatia shilingi Laki nane ya ada Unamuomba ela ya matumizi anakupatia shilingi 80,000 unamwambia haitoshi anakuambia maisha ni magumu unatoka hapo umenuna unakwenda sebuleni Mama yako anakuuliza kwa nini umenuna? Unamwambia Baba kanipa ela haitoshi mama anatoa shilingi 30,000 anakupatia unafurahi unaingia facebook unaandika
"NANI KAMA MAMA? MAMA NI MUNGU WA PILI WA DUNIANI"
Unajua kama baba yako baada ya kukulipia ada anakwenda kazini kwa miguu kwa sababu maisha ni magumu? Unajua kama hiyo shilingi 30,000 aliyokupatia Mama yako amepewa na Baba yako? Unajua kama umesoma kutoka Chekechea mpaka hapo ulipo kwa jasho la Baba yako.
ACHENI UBAGUZI WA WAZAZI HUU UBAGUZI WA WAZAZI SIJUI UTAISHA LINI?
Kwa ufupi hii ndio siri ya Wababa kufa haraka.
Unakaa hapo nyumbani kwenu mwezi mzima Muda wote upo na mama yako Mara likizo imeisha baba yako anakukuta uko chumbani kwako unapanga mabegi anakupatia shilingi Laki nane ya ada Unamuomba ela ya matumizi anakupatia shilingi 80,000 unamwambia haitoshi anakuambia maisha ni magumu unatoka hapo umenuna unakwenda sebuleni Mama yako anakuuliza kwa nini umenuna? Unamwambia Baba kanipa ela haitoshi mama anatoa shilingi 30,000 anakupatia unafurahi unaingia facebook unaandika
"NANI KAMA MAMA? MAMA NI MUNGU WA PILI WA DUNIANI"
Unajua kama baba yako baada ya kukulipia ada anakwenda kazini kwa miguu kwa sababu maisha ni magumu? Unajua kama hiyo shilingi 30,000 aliyokupatia Mama yako amepewa na Baba yako? Unajua kama umesoma kutoka Chekechea mpaka hapo ulipo kwa jasho la Baba yako.
ACHENI UBAGUZI WA WAZAZI HUU UBAGUZI WA WAZAZI SIJUI UTAISHA LINI?
Kwa ufupi hii ndio siri ya Wababa kufa haraka.