Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
Ilitokea katika darasa moja la shule ya msingi mwalimu alipomuuliza Nevig:-
Mwalimu: Ikiwa baba yako kakopa 10,000 dukani na akaambiwa alipe kila siku kwa muda wa siku tano je kila siku atakuwa analipa shilingi ngapi?
Nevig:Ivi mwalimu baba yangu unamjua unamsikia tu??HALIPI NG'O!Hata apewe miezi mia tisa!
Mwalimu: Ikiwa baba yako kakopa 10,000 dukani na akaambiwa alipe kila siku kwa muda wa siku tano je kila siku atakuwa analipa shilingi ngapi?
Nevig:Ivi mwalimu baba yangu unamjua unamsikia tu??HALIPI NG'O!Hata apewe miezi mia tisa!