Baba anatuchonganisha?

Baba anatuchonganisha?

Jaman baba ameshakuwa mzee, tumsameheni. Tutafute baba mwingine ambaye sio mpumbavu...
 
Baba huyu ni mwanasiasa anayetaka kutoboza kwa hali yoyote ile.... Si umeona alivyowaparanganyua watoto wake wa kuzaa wa timu ya mtandao wa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya..? Mliambiwa na babu yenu hajakomaa asioe mkamlipia mpaka mahari akaoa, tena mkasema ni chaguo la Mungu, tena mkasema mzuri sana wa sura...mnasahau mapema hivyo? Uzuri wenyewe ana mwaka mmoja tu ahame kijiji...ila tahadhari, akija mwingine wa aina hiyo, au mbovu kuliko yeye tumekwisha..hiyo ni hofu ya ukweli na lazima tumwombe Mungu atusaidie.
 
Naskia kaibuka mtoto mmoja leo, kaweka ngumu anasema lazima waototo wote wawekewe kwenye orodha kwanza, haya sasa tusubitri mapambazuko ya kesho, Baba atasemaje, je atamchapa huyu mtoto na kumfunga mdomo ili kura iwahi ndani ya siku 84 au atasoma upepo kwanza?
Kuna jamaa yangu kaniambie leo wasira ameonekana ofisi za nec. Sijui anashawishi nini tusubiri tutayajua tu
Baba Muombe MUNGU sana, una kipindi kigumu. MUNGU akutangulie[/QUOTE]
 
Naskia kaibuka mtoto mmoja leo, kaweka ngumu anasema lazima waototo wote wawekewe kwenye orodha kwanza, haya sasa tusubitri mapambazuko ya kesho, Baba atasemaje, je atamchapa huyu mtoto na kumfunga mdomo ili kura iwahi ndani ya siku 84 au atasoma upepo kwanza?
Kuna jamaa yangu kaniambie leo wasira ameonekana ofisi za nec. Sijui anashawishi nini tusubiri tutayajua tu
Baba Muombe MUNGU sana, una kipindi kigumu. MUNGU akutangulie
[/QUOTE]

Kijiji kinateketea ujue. Eti Mpwa wangu lusungo na Simiyu Yetu pamoja na.binti yangu Hot Lady pamoja na Chabruma sijaona maoni yenu hapa jamvini
 
Last edited by a moderator:
Kumbe bado kijana mbichi weye mimi nishakuwa mzee wa makamo, dunia yenu hii nimebaki kigogoyo.

Mdogo wangu mie ni mdada ninayekaribia kuustaafu.Ujana umeshaisha mdogo wangu.Nawaonea huruma vijana wangu hawa baba wakambowasije watoa macho yenu maana wanahasira sana.Achoke na yale mahekalu wajomba watajengaje? Binamu, zetu na wapwa wamepelekwa nje kusoma wanahitaji tuition fees.Acha mdogo wangu hawezi kuacha.
 
Tetty ukiona baba anahongwa na wageni saa, suti etc ili wageni walale na mama yetu huku baba akisifia ufundi kwa kusema .... Ukitaka kula lazima na wewe uliwe, ujue huyo baba ana walakini, na hajui wajibu wake kama baba wa familia

Umeyaona maneno ya Baba mkubwa kabisa alivyotuambia? Tukizitafakari nukuu tatu unaweza usilale leo hasa ya mzee mchonga
 
Baba yetu kilaza, mambo madogo anakimbilia ulaya, sijui huko ndo wanamsaidia??
 
Naskia kaibuka mtoto mmoja leo, kaweka ngumu anasema lazima waototo wote wawekewe kwenye orodha kwanza, haya sasa tusubitri mapambazuko ya kesho, Baba atilhalsemaje, je atamchapa huyu mtoto na kumfunga mdomo ili kura iwahi ndani ya siku 84 au atasoma upepo kwanza?
Kuna jamaa yangu kaniambie leo wasira ameonekana ofisi za nec. Sijui anashawishi nini tusubiri tutayajua tu
Baba Muombe MUNGU sana, una kipindi kigumu. MUNGU akutangulie
[/QUOTE]

Na mtoto mwingine ameibuka jioni akisema hakuingia kwenye kikao cha wazee na wala hajapiga kura ya kukamilisha minutes za kikao ha wazee.Sasa sielewi Mjomba alipataje kura yake Ilhali aligoma na hakuwepo kwenye kikao cha kukamilisha mambo.
 

Na mtoto mwingine ameibuka jioni akisema hakuingia kwenye kikao cha wazee na wala hajapiga kura ya kukamilisha minutes za kikao ha wazee.Sasa sielewi Mjomba alipataje kura yake Ilhali aligoma na hakuwepo kwenye kikao cha kukamilisha mambo.[/QUOTE]

Huyu ndio kanichosha kabisa aiseee. Kwahio Chenga na Sizi wamechakachua?
 

Kijiji kinateketea ujue. Eti Mpwa wangu lusungo na Simiyu Yetu pamoja na.binti yangu Hot Lady pamoja na Chabruma sijaona maoni yenu hapa jamvini[/QUOTE]

Kwanini ninewaita hawataki Kuja?
 
Last edited by a moderator:
Na mtoto mwingine ameibuka jioni akisema hakuingia kwenye kikao cha wazee na wala hajapiga kura ya kukamilisha minutes za kikao ha wazee.Sasa sielewi Mjomba alipataje kura yake Ilhali aligoma na hakuwepo kwenye kikao cha kukamilisha mambo.

Huyu ndio kanichosha kabisa aiseee. Kwahio Chenga na Sizi wamechakachua?[/QUOTE]

Hapo napo ni shughuli pevu si ndogo.Nani tumuamini?
 
Back
Top Bottom