Baadhi ya Wazanzibari walio Bara ni wanafiki

Hili lipo wazi kabisa. Inajulikana sasa kuwa baadhi ya Wazanzibari wanaitaka Zanzibar yao kwa hali na mali. Wako wahafidhina toka kada mbalimbali huko visiwani walio wazi na walio ufichoni ambao, katika siasa, uchumi, n.k. wakitaka kujitenga na Tanganyika. Hili linathibitishwa na kauli za kina Jussa na wengine, na hii ni baada ya kuona kuwa Zanzibar ina rasilimali kadhaa ikiwa ni mafuta na gesi.

Baadhi ya Wazanzibari walioko visiwani hawasiti kuonyesha hisia zao juu ya nia hii ya kujitenga. Wazanzibari walioko Tanganyika hawaonyeshi dalili yoyote ya wazi ya kupingana na ndugu zao wa visiwani, kama kwa njia ya makongamano na hata taarifa rasmi kwa umma. Hili suala wanaachiwa tu viongozi kulisemea wakati walengwa wakuu ni wananchi wa kawaida. Baadhi ya Wazanzibari walio Bara wanafaidika sana na utulivu, amani na uelewa wa watu wa Bara. Watanganyika walioko visiwani hawana amani kama hawa wazanzibari wa Bara.

Enyi wazanzibari mlioko Bara toeni tamko kulaani manyanyaso wayapatayo wa Bara huko visiwani, la tunajua lenu moja. Mnachuma Bara kama waasia wanavyochuma Tanzania. Toeni tamko sasa.

@Raia Fulani
Ndugu yangu hebu kuwa mwadilifu,sasa unasema sisi Wa-zanzibar tuishio Bara tutoe tamko,mimi kwa kweli sikuelewi,tutoe tamko gani?sisi wazee wetu wapo hapa tangu enzi hizo,tumezaliwa huku bara,tumesoma huku bara na hatuja wahi kusikia wabara wakitubagua kwa chochote kikubwa ni kutuita wapemba,na hicho ni kitu cha kawaida wala hakituudhi,hio ni kama LAKAB yetu,cha msingi ni kua hao ndugu zetu huko nyumbani znz wasilete choko choko na kutugombanisha wenyewe kwa wenyewe.sisi wote ni wamoja,kama ni makosa basi walioyafanya ni hao wanaoitwa waasisi,vp tuhukumiwe sisi kwa makosa walioyafanya wao?
 
@Raia Fulani
Ndugu yangu hebu kuwa mwadilifu,sasa unasema sisi Wa-zanzibar tuishio Bara tutoe tamko,mimi kwa kweli sikuelewi,tutoe tamko gani?sisi wazee wetu wapo hapa tangu enzi hizo,tumezaliwa huku bara,tumesoma huku bara na hatuja wahi kusikia wabara wakitubagua kwa chochote kikubwa ni kutuita wapemba,na hicho ni kitu cha kawaida wala hakituudhi,hio ni kama LAKAB yetu,cha msingi ni kua hao ndugu zetu huko nyumbani znz wasilete choko choko na kutugombanisha wenyewe kwa wenyewe.sisi wote ni wamoja,kama ni makosa basi walioyafanya ni hao wanaoitwa waasisi,vp tuhukumiwe sisi kwa makosa walioyafanya wao?

Ndugu umeongea kwa hekima sana. Hoja yangu naona umeiweka kwenye post yako, kwamba wenzenu wa visiwani waache unazi wao. Umesema vyema kuwa huku bara hatuna chokochoko nanyi zaidi ya kuwatania na lafudhi zenu. Hatujawahi kumdhuru mzanzibar yoyote. Tunanunua vitu kwenye magenge na maduka yao na viosk vyao na tunanyoa kwenye saluni zao. Kwa nini tusikie kuwa wabara walioko visiwani wananyanyaswa? Wanachomewa makanisa na biashara zao. Ajira zao zinatishiwa na kina Jussa. Hawaruhusiwi kuhodhi ardhi wala kuchagua kiongozi huko. Kwa makisio tu yawezekana uwiano ulioko kati ya wazanzibari walioko Bara na wabara walioko Zanzibar ni 3:1. Leo tukisema wazanzibari wote warudi kwao na wabara warudi kwao ni upande upi utaathirika?

Ndio maana nikasema kwa kile wazanzibari wanachokiishi huku Bara na yale wanayosikia na pengine kuyaona huko visiwani, wangefanya busara ya kukaa na kupingana na wenzao kwa Tamko Rasmi kuwa kwa kuwa Tanzania ni moja, sisi wazanzibari tunaoishi Bara tunalaani madhila wayapatayo watanzania wenzetu watokao Bara na kutafuta riziki visiwani.
 
Mimi bado niko na hawa wazanzibari walioko Bara. Kama hawana unafiki watumie umoja wao kutoa tamko la kulaani yanayoendela visiwani. Kinachiinekana hapa ni internecine violence. Wazanzibari wameshindwa kupambana na Dola wakaamua kumalizia hasira zao kwa wakristu.
 
Ndio maana nikataka ushahidi maana nilijua unaongea jambo usilolijua

1) Hakuna na halijawahi kutolea pendekezo la kufukuzwa wabara kazi znz, hoja iliyotolewa kwenye baraza la wawakilishi ni kuona kama kuna uwezekano wa kuweka upendeleo kwa wazawa(wazanzibar) katika mfumo wa ajila kuliko wageni (watanganyika,wakenya,rwanda n.k), hili sio tatizo kabisa katika kulinda ajira za wananchi, nenda nchi nyingi tu utakuta sera kama hizi.

2) swala la kuchomewa biashara zao una maana gani? na biashara gani hizo? maana wazanzibar wanaimport bidhaa nyingi sana itakuwaje wazichome zifikapo zanzibar? nakuomba uilete hii hoja kiuhalisia ni biashara ipi ilichomwa ndio ntakujibu.

3) Ni uongo wa aina yake, sheria ya dini ya kiislam hamlazimishi mtu kufunga na hakuna sio mkristo(hata hao waislam) wanaolzimishwa kufunga. huu ni UZUSHI WA AINA YAKE kuwahi kuusikia na hauna ithibati.

Pole kwa hoja LEGE LEGE
Pombe hizi
 
..wa-ZNZ walioko huku Tanganyika wasisumbuliwe hata kama muungano utavunjika.

..wenye matatizo na muungano ni wanasiasa kama Maalim Seif,Ismael Jussa, na wenzao ndani ya CUF.

Una maana gani kuwa wasisumbuliwe? Mbona Watanganyika walio visiwani wanasumbuliwa? kama wenzetu ndugu zetu kule wanasumbuliwa ni lazima, na ninakuambia tena lazima huku watakiuona cha mtoto muda si mrefu... si mnatuona sisi machogo wajinga eeh? soon you will know kilichomnyoa kanga manyoya!!
 
Nime-note kitu kimoja toka zamani kwenye chokochoko hii ya kutaka kujitenga.. Kwamba Wapemba wengi na Waunguja wachache wenye asili ya kiarabu ndo wanaonekana kuwa mstari wa mbele kutaka muungano uvunjike.. Waunguja wengi (na haswa weusi) wanaonekana wasiopenda suala la muungano kuvunjika.. Jee inawezekana kuna kikundi cha watu wachache wenye ajenda yao iliojificha..? Kwamba wanataka muungano uvunjike ili iwe rahici kuuvunja na uzanzibari..? Maana nimeshamsikia mpemba mmoja (na ni rafiki yangu na anapata riziki zake hapa bara) akidai angependa Pemba iwe Jamhuri na Maalim awe ni raisi wao.. Wako wangapi hawa (wapemba) wenye mawazo kama haya..?

wew muongo,mnafik
mim kwe2 unguja %kubwa ha2tak muungano,
c mweuc wala mweupe ha2tak muungano
mkitaka kuhakikisha km kweli nyinyi wanaume pelekeni kura ya maoni mtajua,
mcsambaze chuk na fitna,
 
Ikiwa umefika nchi ya watu wakiwa na dini yao, mila zao na utmaduni wao unatakiwa ufuate sheria sio ulalamike, kwani ulilazimishwa kwenda huko Znzbar si ulijipeleka mwenyewe.
Pole sana mkuu hujui kama Znz ni nchi nyengine na sio Tanzania.

Mkianza kuuana mnamlilia mmarekani Mkristo awasaidie
 
Sisi hapa mtaani tumeshagawana nyumba na viwanja vya Wazanzibari, tunasubiri tu wavunje muungano tujimilikishe rasmi

Tuko pamoja kaka mie kuna kagorofa nimekapenda pale kariakoo, ila tugawane kiungwana kwa sababu. Yumba za wapemba ni nyingi sana Huku bara, tufanye kama idd amin
 
Wazanzibari walioko Dar wakakaa kimya kuhusu suala la Muungano sio wanafik, bali ningewaita wasomi (hata kama hawajenda shule) na wenye kuona mbali. Tatizo la wazanzibari wanakuwa wakaidi na ni watu wa kuendeshwa. Mimi binafsi ni mzenji, lakini ukweli siubanii, bara maisha yapo kuliko visiwani, nishayaona . Hebu tukae tupige hesabu watu wanaokataa Muungano ni watu gani, tutizame maendeleo yao ya kimaisha na usomi pamoja na uelewa! Na huyo Jussa hanaga ubaga, ni miongoni mwa wanafik tu wenye elimi lakini mazumbukuku tu!
Vuguvugu la muungano limeanza juzi tu baada ya kusikia kama zanzibar kuna mafuta! Na hata mtoa mada umelisema ilo kuhusu mafuta na gesi! Kwaiyo kama havipo wangetaka muungano ubaki!

Hao wapinga muungano hawana Akili asilimia kubwa zaidi, na hao viongozi wao wanawatumia ili kufikia malengo yao tu!

Kipindi cha nyuma, mheshimiwa Pinda alisema zanzibar sio nchi, waznz wakaanza kufoka kama Cocacola vile, wakisema zanzibar nchi, hapa ndo nkawaona kama ni wajinga! Hawajui TANZANIA imepatikana vipi!
Wakawa wanalalimika kuwa eti mwisho wa siku pesa zote zinaenda BOT bara, kwa ujuja wao wakukataa kusoma na kuendekeza ubishololo, hawajii kama pesa mwisho wa siku zinalazwa CENTRAL BANK!
Wenyewe wakiambiwa kuwa zanzibar itakuwa kama DUBAI huwa wanafuraaahi na kujiona ndo wao, lakini hawakai wakazingatia Factors za kuwa kama DUBAI, wanafikiri labda mafuta yatatosha kwa kujenga nchi wakati afrika mafuta ndo chanzo cha mifarakano!
Mwanasheria mkuu wa znz alisema hana mkataba wa muungano, raia nao wakaona wamepata la kusema kumbe wamepatikana, ni AIBU KUBWA SANA kwa mwanasheria mkuu kusema maneno yale kisha akawa hana alifanyalo. Mi kwa uwelewa wangu mdogo na sijui sheria basi logically alikuwa aishitaki JMT! Ama aanze kuhoji uwepo wa huo mkataba, lakini mpaka siku anasema hivo hana alolifanya!

Zanzibar itakuwaje kama dubai kama ina viongozi walafi? Ni mabilioni mangapi yanakisanywa zanzibar pamoja na misaada ya nje inayoletwa, tunashindwa kiwa na mradi wa kuzalishia umeme! Hivi sasa bei ya mchele ni khatari, hakuna kinachonunulika kwa bei nafuu!! Muungano apo umechangia vipi katika kuzorota maisha zanzibar?

Kitu chengine, zanzibar wanataka wapewe 50% ya misaada inayokuja TZ. Sasa ikiwa tanganyika ina watu 40 mil. Na znz ina 1 mil kisha umeletwa msaada wa vipolo vya mchele 41 milioni, zanzibar wanataka wapewe vipolo atleast 20 milioni, hivo ndo wanavotaka! Kuna mambo hayawezi kuwa 50% bali tanganyika inalazimika kupata mgao mkubwa. Jengine la kushangaza nimemsikia mtu analalamika juzi, eti umeletwa msaada kutoka WB TZ wanataka kujenga daraja la kigamboni, share ya znz iko wapi? Hapa ndo nkajua kama ndugu zangu hawana kitu kichwani. Yaani msaada ushakuja kwa lengo la kujenga daraja kigamboni tena zanzibar inataka share ya nini hapo? Wakati daraja liko bara?

Zanzibar is normally treated as mkoa tu, and it is kamkoa kimataifa, so itabidi mikoa mengine ilalamike iseme kwanini dar es salaam imeendelea zaidi na maisha mazuri kuliko kwengine!

Wazanzibar amkeni, jengeni tabia ya kuhoji! Tundu Lisu aliwatetea mkamtukana! Ujuha tu!
 
..wenye matatizo na muungano ni wanasiasa kama Maalim Seif,Ismael Jussa...
Wenye matatizo na Muungano tupo wananchi, sio wanasiasa tu.

Msituongelee, jamani mbona mnataka kutulazimisha vitu hatuvitaki? Lini mmefanya referendum mkakuta "wanasiasa ndio wenye matatizo na muungano"?
 
Alafu mi sikupendezwa na tabia ya watu huku bara... jana kwenye dalala walimtukana sana my baby sis wakidhani ni mzanzibar karudi home analia .... sio kila aliyechanganya damu ni mzenji bana ... Mtaani kwenu nyumba yetu waita nyumba ya wapemba kwa ajili ya kiswahili chetu kizuri cha kitanga ... acheni hizo .. sio wabara wote weusi ubaguzi tu! ..
 
Wazanzibari walioko Dar wakakaa kimya kuhusu suala la Muungano sio wanafik, bali ningewaita wasomi (hata kama hawajenda shule) na wenye kuona mbali. Tatizo la wazanzibari wanakuwa wakaidi na ni watu wa kuendeshwa. Mimi binafsi ni mzenji, lakini ukweli siubanii, bara maisha yapo kuliko visiwani, nishayaona . Hebu tukae tupige hesabu watu wanaokataa Muungano ni watu gani, tutizame maendeleo yao ya kimaisha na usomi pamoja na uelewa! Na huyo Jussa hanaga ubaga, ni miongoni mwa wanafik tu wenye elimi lakini mazumbukuku tu!
Vuguvugu la muungano limeanza juzi tu baada ya kusikia kama zanzibar kuna mafuta! Na hata mtoa mada umelisema ilo kuhusu mafuta na gesi! Kwaiyo kama havipo wangetaka muungano ubaki!

Hao wapinga muungano hawana Akili asilimia kubwa zaidi, na hao viongozi wao wanawatumia ili kufikia malengo yao tu!

Kipindi cha nyuma, mheshimiwa Pinda alisema zanzibar sio nchi, waznz wakaanza kufoka kama Cocacola vile, wakisema zanzibar nchi, hapa ndo nkawaona kama ni wajinga! Hawajui TANZANIA imepatikana vipi!
Wakawa wanalalimika kuwa eti mwisho wa siku pesa zote zinaenda BOT bara, kwa ujuja wao wakukataa kusoma na kuendekeza ubishololo, hawajii kama pesa mwisho wa siku zinalazwa CENTRAL BANK!
Wenyewe wakiambiwa kuwa zanzibar itakuwa kama DUBAI huwa wanafuraaahi na kujiona ndo wao, lakini hawakai wakazingatia Factors za kuwa kama DUBAI, wanafikiri labda mafuta yatatosha kwa kujenga nchi wakati afrika mafuta ndo chanzo cha mifarakano!
Mwanasheria mkuu wa znz alisema hana mkataba wa muungano, raia nao wakaona wamepata la kusema kumbe wamepatikana, ni AIBU KUBWA SANA kwa mwanasheria mkuu kusema maneno yale kisha akawa hana alifanyalo. Mi kwa uwelewa wangu mdogo na sijui sheria basi logically alikuwa aishitaki JMT! Ama aanze kuhoji uwepo wa huo mkataba, lakini mpaka siku anasema hivo hana alolifanya!

Zanzibar itakuwaje kama dubai kama ina viongozi walafi? Ni mabilioni mangapi yanakisanywa zanzibar pamoja na misaada ya nje inayoletwa, tunashindwa kiwa na mradi wa kuzalishia umeme! Hivi sasa bei ya mchele ni khatari, hakuna kinachonunulika kwa bei nafuu!! Muungano apo umechangia vipi katika kuzorota maisha zanzibar?

Kitu chengine, zanzibar wanataka wapewe 50% ya misaada inayokuja TZ. Sasa ikiwa tanganyika ina watu 40 mil. Na znz ina 1 mil kisha umeletwa msaada wa vipolo vya mchele 41 milioni, zanzibar wanataka wapewe vipolo atleast 20 milioni, hivo ndo wanavotaka! Kuna mambo hayawezi kuwa 50% bali tanganyika inalazimika kupata mgao mkubwa. Jengine la kushangaza nimemsikia mtu analalamika juzi, eti umeletwa msaada kutoka WB TZ wanataka kujenga daraja la kigamboni, share ya znz iko wapi? Hapa ndo nkajua kama ndugu zangu hawana kitu kichwani. Yaani msaada ushakuja kwa lengo la kujenga daraja kigamboni tena zanzibar inataka share ya nini hapo? Wakati daraja liko bara?

Zanzibar is normally treated as mkoa tu, and it is kamkoa kimataifa, so itabidi mikoa mengine ilalamike iseme kwanini dar es salaam imeendelea zaidi na maisha mazuri kuliko kwengine!

Wazanzibar amkeni, jengeni tabia ya kuhoji! Tundu Lisu aliwatetea mkamtukana! Ujuha tu!

Mkuu uchambuzi umetulia. Umesema hao wazenj hawatumii akili kufanya maamuzi yao. Kuna wazanzibar wenye akili sana wanaowatumia wenzao kupitia JUMIKI kufikia malengo yao. Huku pia hawatakosekana japo wenye hekima kuweza kukemea huu uhuni. Hali ikiendelea hivi hata wabara watawachoka wazanzibari. Sanasana kitakachochelewesha ni kwa kuwa ni 'wenzetu' katika Allah. Bado napenda kuwa na imani nao kuwa wataamua kutoa tamko Rasmi kukemea haya. La sivyo ni wanafiki na dawa ya mnafiki ni kumfundisha ustaarabu.
 
..wa-ZNZ walioko huku Tanganyika wasisumbuliwe hata kama muungano utavunjika.

..wenye matatizo na muungano ni wanasiasa kama Maalim Seif,Ismael Jussa, na wenzao ndani ya CUF.

Alaa, kumbe mnaogopa,!! huku Tanganyika Wazanzibari hawabughudhiwi hata kidogo na wala hatuna tabia ya kulipiza kisasi, usiogope, kuna wamataifa mengi tu huku.

Kwa kuvunja muungano mnajikaanga wenyewe. kiburi chenu kimeanza baada ya kugunduliwa mafuta na gesi, itakwisha hiyo, hata hivyo hamtanufaika nayo maana uwezo wa kuyachimba hakuna, mpaka investors warudishe gharama zao ni lini?
 
Wazanzibari walioko Dar wakakaa kimya kuhusu suala la Muungano sio wanafik, bali ningewaita wasomi (hata kama hawajenda shule) na wenye kuona mbali. Tatizo la wazanzibari wanakuwa wakaidi na ni watu wa kuendeshwa. Mimi binafsi ni mzenji, lakini ukweli siubanii, bara maisha yapo kuliko visiwani, nishayaona . Hebu tukae tupige hesabu watu wanaokataa Muungano ni watu gani, tutizame maendeleo yao ya kimaisha na usomi pamoja na uelewa! Na huyo Jussa hanaga ubaga, ni miongoni mwa wanafik tu wenye elimi lakini mazumbukuku tu!
Vuguvugu la muungano limeanza juzi tu baada ya kusikia kama zanzibar kuna mafuta! Na hata mtoa mada umelisema ilo kuhusu mafuta na gesi! Kwaiyo kama havipo wangetaka muungano ubaki!

Hao wapinga muungano hawana Akili asilimia kubwa zaidi, na hao viongozi wao wanawatumia ili kufikia malengo yao tu!

Kipindi cha nyuma, mheshimiwa Pinda alisema zanzibar sio nchi, waznz wakaanza kufoka kama Cocacola vile, wakisema zanzibar nchi, hapa ndo nkawaona kama ni wajinga! Hawajui TANZANIA imepatikana vipi!
Wakawa wanalalimika kuwa eti mwisho wa siku pesa zote zinaenda BOT bara, kwa ujuja wao wakukataa kusoma na kuendekeza ubishololo, hawajii kama pesa mwisho wa siku zinalazwa CENTRAL BANK!
Wenyewe wakiambiwa kuwa zanzibar itakuwa kama DUBAI huwa wanafuraaahi na kujiona ndo wao, lakini hawakai wakazingatia Factors za kuwa kama DUBAI, wanafikiri labda mafuta yatatosha kwa kujenga nchi wakati afrika mafuta ndo chanzo cha mifarakano!
Mwanasheria mkuu wa znz alisema hana mkataba wa muungano, raia nao wakaona wamepata la kusema kumbe wamepatikana, ni AIBU KUBWA SANA kwa mwanasheria mkuu kusema maneno yale kisha akawa hana alifanyalo. Mi kwa uwelewa wangu mdogo na sijui sheria basi logically alikuwa aishitaki JMT! Ama aanze kuhoji uwepo wa huo mkataba, lakini mpaka siku anasema hivo hana alolifanya!

Zanzibar itakuwaje kama dubai kama ina viongozi walafi? Ni mabilioni mangapi yanakisanywa zanzibar pamoja na misaada ya nje inayoletwa, tunashindwa kiwa na mradi wa kuzalishia umeme! Hivi sasa bei ya mchele ni khatari, hakuna kinachonunulika kwa bei nafuu!! Muungano apo umechangia vipi katika kuzorota maisha zanzibar?

Kitu chengine, zanzibar wanataka wapewe 50% ya misaada inayokuja TZ. Sasa ikiwa tanganyika ina watu 40 mil. Na znz ina 1 mil kisha umeletwa msaada wa vipolo vya mchele 41 milioni, zanzibar wanataka wapewe vipolo atleast 20 milioni, hivo ndo wanavotaka! Kuna mambo hayawezi kuwa 50% bali tanganyika inalazimika kupata mgao mkubwa. Jengine la kushangaza nimemsikia mtu analalamika juzi, eti umeletwa msaada kutoka WB TZ wanataka kujenga daraja la kigamboni, share ya znz iko wapi? Hapa ndo nkajua kama ndugu zangu hawana kitu kichwani. Yaani msaada ushakuja kwa lengo la kujenga daraja kigamboni tena zanzibar inataka share ya nini hapo? Wakati daraja liko bara?

Zanzibar is normally treated as mkoa tu, and it is kamkoa kimataifa, so itabidi mikoa mengine ilalamike iseme kwanini dar es salaam imeendelea zaidi na maisha mazuri kuliko kwengine!

Wazanzibar amkeni, jengeni tabia ya kuhoji! Tundu Lisu aliwatetea mkamtukana! Ujuha tu!
we ni mzanzibari au mzanzibara kwa sababu ndugu zetu wa Kitanganyika waliozaliwa kule Zanzibar tunawaita wazanzibara,hapa katika ukumbi wa Great Thinker nimeshindwa kumpata mzanzibari halisi anaeweza kuleta longo longo kama zako ikiwa ww ni mndaki ndaki basi lazima Dada zako wote wamezalishwa na Wa Tanganyika na wamekuwa ni raia wa huku Tanganyika sasa...Ungelitusaidia sana mkuu kama ungelikwenda kule Zenji na kuwaweka sawa wa Zanzibari wenzako kuhusu muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar ili tuweze kuudumisha mileleeeee:israel:
 
Ikiwa umefika nchi ya watu wakiwa na dini yao, mila zao na utmaduni wao unatakiwa ufuate sheria sio ulalamike, kwani ulilazimishwa kwenda huko Znzbar si ulijipeleka mwenyewe.
Pole sana mkuu hujui kama Znz ni nchi nyengine na sio Tanzania.

Kama ni watu wenye dini yao na wakati wa mfungo hakuna kuuza chakula, vipi kiuzwe kwenye hotel za kitalii? Au mfungo ni kwa wengine lakini hiyo sheria ya kutouza chakula haiwahusu watalii.
 
Ikiwa umefika nchi ya watu wakiwa na dini yao, mila zao na utmaduni wao unatakiwa ufuate sheria sio ulalamike, kwani ulilazimishwa kwenda huko Znzbar si ulijipeleka mwenyewe.
Pole sana mkuu hujui kama Znz ni nchi nyengine na sio Tanzania.


Kama ni watu wenye dini yao na wakati wa mfungo hakuna kuuza chakula, vipi kiuzwe kwenye hotel za kitalii? Au mfungo ni kwa wengine lakini hiyo sheria ya kutouza chakula haiwahusu watalii.
 
Ndio maana nikataka ushahidi maana nilijua unaongea jambo usilolijua

1) Hakuna na halijawahi kutolea pendekezo la kufukuzwa wabara kazi znz, hoja iliyotolewa kwenye baraza la wawakilishi ni kuona kama kuna uwezekano wa kuweka upendeleo kwa wazawa(wazanzibar) katika mfumo wa ajila kuliko wageni (watanganyika,wakenya,rwanda n.k), hili sio tatizo kabisa katika kulinda ajira za wananchi, nenda nchi nyingi tu utakuta sera kama hizi.

2) swala la kuchomewa biashara zao una maana gani? na biashara gani hizo? maana wazanzibar wanaimport bidhaa nyingi sana itakuwaje wazichome zifikapo zanzibar? nakuomba uilete hii hoja kiuhalisia ni biashara ipi ilichomwa ndio ntakujibu.

3) Ni uongo wa aina yake, sheria ya dini ya kiislam hamlazimishi mtu kufunga na hakuna sio mkristo(hata hao waislam) wanaolzimishwa kufunga. huu ni UZUSHI WA AINA YAKE kuwahi kuusikia na hauna ithibati.

Pole kwa hoja LEGE LEGE

Kwenye kipengele cha 1) umeongelea Zanzibar kama Nchi, eti "( ...kulinda ajira za wananch,nenda nchi nyingine tu...)" Hapo kuna tatizo la uelewa. Kipengele cha 2) Baa na Migahawa ya wabara ilichomwa moto mwaka jana, labda uliwa ughaibuni kipindi hicho-Oman
Kipengele cah 3) Ni kweli sheria za dini hazilazimishi watu kufunga, lakini Kipindi cha ramdhani watu wote ZNZ wanakatazwa kula au kuuza vyakula vilivyopikwa hadharani , sijui kama hii ni kukataza au la.
 
hamna mtu mbaya kama Maalim Seif anawuatumia tu yeye full kiyoyozi kwenye benz hivi si alishinda uchaguzi 2010 kilichomfanya akaubaliane na maombi ya CCM nini hv mnadhani hatujui!!!!!!!!!!!!! Muwe makani na baadhi waarabu
 
Back
Top Bottom