Baadhi ya Wazanzibari walio Bara ni wanafiki

Tuwasaidie Wazanzibari kuuvunja Muungano. Uvunjike mapema ili watoto wetu warithi utengano wetu badala ya kurithi harakati zetu za kijinga zinazochochewa na viongozi wetu wasiojitambua! Amin nawaambia harakati za kuuvunja muungano hazijaanza leo wala jana, zimeanza siku, miezi na miaka mingi hapo nyuma, wakati umefika na katu hakutakuwa na muafaka wala suluhu zaidi ya kuuvunja kwa amani.
 
we ni mzanzibari au mzanzibara kwa sababu ndugu zetu wa Kitanganyika waliozaliwa kule Zanzibar tunawaita wazanzibara,hapa katika ukumbi wa Great Thinker nimeshindwa kumpata mzanzibari halisi anaeweza kuleta longo longo kama zako ikiwa ww ni mndaki ndaki basi lazima Dada zako wote wamezalishwa na Wa Tanganyika na wamekuwa ni raia wa huku Tanganyika sasa...Ungelitusaidia sana mkuu kama ungelikwenda kule Zenji na kuwaweka sawa wa Zanzibari wenzako kuhusu muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar ili tuweze kuudumisha mileleeeee:israel:

Kwa kweli mwenyezi mungu anipishie mbali kwa hili suala ila nimejikuta nimekuwa na chuki na wazanzibar hadi kuna jirani yangu mzenji nimemchenjia kinomanoma. Alitaka kuleta mambo yake ya udini na uzenji wake, sasa hivi binafsi nawachukia sana na hii ni stage ya kwanza sijui tunakoenda. Dadangu yupo zanzibar anafanya kazi kule, wamemdhalilisha sana wa.p.um.bavu kule eti kwa nini hajavaa kile kilemba chao sitaki kukiita jina, yeye ni mkristo hayo ya kujifunika yanatoka wapi? Sio vema kuingilia uhuru wa mtu mwingine, kama we unataka kufuga ndevu kama beberu na kuvaa vi-dontouch vaa usiwahukumu wengine. Kama ni huo muungano ufe, na hakuna mzanzibar kurandaranda mitaa ya bara tutawafanya mbaya sana wote wakiume na wa kike! Nasi tumewachoka muanze kuondoka tena muwahi kabla tajiri wenu wa zanzibar hajasitisha safari za boat zake mtaogelea nawaambieni. Tumechoka kuwabeba! Maji, umeme, chakula, kodi ndogo, tumewapa na bado hamna shukrani, wabara tupo zaidi ya milioni 40 ukikusanya kodi yetu na yenu nyie milioni 2 sijui uwiano upoje? Tunawabeba sana ila mlizaliwa hamna shukrani.
 
we ni mzanzibari au mzanzibara kwa sababu ndugu zetu wa Kitanganyika waliozaliwa kule Zanzibar tunawaita wazanzibara,hapa katika ukumbi wa Great Thinker nimeshindwa kumpata mzanzibari halisi anaeweza kuleta longo longo kama zako ikiwa ww ni mndaki ndaki basi lazima Dada zako wote wamezalishwa na Wa Tanganyika na wamekuwa ni raia wa huku Tanganyika sasa...Ungelitusaidia sana mkuu kama ungelikwenda kule Zenji na kuwaweka sawa wa Zanzibari wenzako kuhusu muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar ili tuweze kuudumisha mileleeeee:israel:

Mkuu mimi ni mzanzibari wa kuzaliwa zanzibar kabisa, na sina dada wala kaka ambae ameoa Tanganyika! Hakuna haja ya kuuficha ukweli, kuukata ukweli mi naona ni ujinga tu. tatizo wale wazanzibari wanaolilia kuvunjika kwa muungano wana shida na chuki nyingi zilizopabdikizwa na viongozi wao wanafik! Mimi nimekataa kuendeshwa zamani, sifati chama wala jumuiya, mie labda kuna Jihad ndo ntapigana tena mpaka iwe qualified Jihad, sio aje mtu tu akwambie ukajitoe mhanga wakati dini ishasema wazi kuwa ukijiua motoni tu, lakini majuha bado wajitoa mhanga!
Kwaiyo mkuu wewe ndo ujue basi kama mzanzibari nimo humu ntasema yale nnayoyaona ni kweli na sawa, bila kupinga!
 
hamna mtu mbaya kama Maalim Seif anawuatumia tu yeye full kiyoyozi kwenye benz hivi si alishinda uchaguzi 2010 kilichomfanya akaubaliane na maombi ya CCM nini hv mnadhani hatujui!!!!!!!!!!!!! Muwe makani na baadhi waarabu

Wakati Hamad rashid alipofukuzwa CUF alienda Jimboni kwake kuhutubia, naskia alitumbua jipu na kusema kuwa Seif amehongwa ili akubali matokeo bila ya kuanzisha vurugu
 
Ndio maana nikataka ushahidi maana nilijua unaongea jambo usilolijua

1) Hakuna na halijawahi kutolea pendekezo la kufukuzwa wabara kazi znz, hoja iliyotolewa kwenye baraza la wawakilishi ni kuona kama kuna uwezekano wa kuweka upendeleo kwa wazawa(wazanzibar) katika mfumo wa ajila kuliko wageni (watanganyika,wakenya,rwanda n.k), hili sio tatizo kabisa katika kulinda ajira za wananchi, nenda nchi nyingi tu utakuta sera kama hizi.

2) swala la kuchomewa biashara zao una maana gani? na biashara gani hizo? maana wazanzibar wanaimport bidhaa nyingi sana itakuwaje wazichome zifikapo zanzibar? nakuomba uilete hii hoja kiuhalisia ni biashara ipi ilichomwa ndio ntakujibu.

3) Ni uongo wa aina yake, sheria ya dini ya kiislam hamlazimishi mtu kufunga na hakuna sio mkristo(hata hao waislam) wanaolzimishwa kufunga. huu ni UZUSHI WA AINA YAKE kuwahi kuusikia na hauna ithibati.

Pole kwa hoja LEGE LEGE


We Mpemba usikatae ukweli
 
Una maana gani kuwa wasisumbuliwe? Mbona Watanganyika walio visiwani wanasumbuliwa? kama wenzetu ndugu zetu kule wanasumbuliwa ni lazima, na ninakuambia tena lazima huku watakiuona cha mtoto muda si mrefu... si mnatuona sisi machogo wajinga eeh? soon you will know kilichomnyoa kanga manyoya!!


Hatuwezi kuwa na akili kama za kwao.
 
Hawawezi kuchangia chochote maana mtawaita wasaliti. Hawa kubaliani na kinacho endelea zenj.
 
Hili lipo wazi kabisa. Inajulikana sasa kuwa baadhi ya Wazanzibari wanaitaka Zanzibar yao kwa hali na mali. Wako wahafidhina toka kada mbalimbali huko visiwani walio wazi na walio ufichoni ambao, katika siasa, uchumi, n.k. wakitaka kujitenga na Tanganyika. Hili linathibitishwa na kauli za kina Jussa na wengine, na hii ni baada ya kuona kuwa Zanzibar ina rasilimali kadhaa ikiwa ni mafuta na gesi.

Baadhi ya Wazanzibari walioko visiwani hawasiti kuonyesha hisia zao juu ya nia hii ya kujitenga. Wazanzibari walioko Tanganyika hawaonyeshi dalili yoyote ya wazi ya kupingana na ndugu zao wa visiwani, kama kwa njia ya makongamano na hata taarifa rasmi kwa umma. Hili suala wanaachiwa tu viongozi kulisemea wakati walengwa wakuu ni wananchi wa kawaida. Baadhi ya Wazanzibari walio Bara wanafaidika sana na utulivu, amani na uelewa wa watu wa Bara. Watanganyika walioko visiwani hawana amani kama hawa wazanzibari wa Bara.

Enyi wazanzibari mlioko Bara toeni tamko kulaani manyanyaso wayapatayo wa Bara huko visiwani, la tunajua lenu moja. Mnachuma Bara kama waasia wanavyochuma Tanzania. Toeni tamko sasa.

Hapo kwenye nyekundu ngoja nifafanue kidogo:

Lugha na porojo za mtaani zinaponza watu wengi sana. Issue ya mafuta na gesi inahitaji utafiti wa kina.

Kabla ya kufikiria kama kuna mafuta au gas kuna studies zinafanywa, kwa kitaalam ni SEISMIC studies/surveys.

Kwa mgawanyo wa blocks baharini ambazo zinapatikana TPDC, block 8 ni mojawapo ya blocks zilizopo opp Zanzibar kwa upande wa baharini mashariki.

Hizi SEISMIC surveys zimeganyika katika makundi ya 2D na 3D.

Kwa sasa hiyo block 8 kama wiki iliyopita hivi ndio wameanza kufanya 2D SEISMIC survey(hizi data ziko TPDC), then wakianalyze data kutoka hapo ndio wanaweza kufanya 3D survey.

3D survey ndio inatoa mwanga wa kuamua kama kutachimbwa au la. Exploration(utafiti/kuchimba) ndio kunaconfirm kile ambacho wanajiolojia wanakuwa wameweza kutambua through 2D, 3D simulation ya computer.

Exploration pia kwa rekodi probability huwa ni 0.2 au maana yake ni visima viwili katika kumi utakavyochimba ndio unaweza kuwa success.

Kwa mantiki hiyo nasisitiza kabisa watu wanaosema au kueneza kuwa Zanzibar kuna mafuta/gesi wanapotosha maana surveys bado hazijatoka.
 
Hebu leta ushahidi wa hayo manyanyaso!
Mfano ni kitendo cha kuwashambulia wabara walioko Zanzibar hivi karibuni na kuwatolea vitisho kwamba waondoke visiwani humo. Pia kama mtu wa bara huwezi kumiliki ardhi wala nyumba Pemba, na jina lako ukiwa uko ni kafiri. Naamini mfano huu unakutosha.
 
Hili lipo wazi kabisa. Inajulikana sasa kuwa baadhi ya Wazanzibari wanaitaka Zanzibar yao kwa hali na mali. Wako wahafidhina toka kada mbalimbali huko visiwani walio wazi na walio ufichoni ambao, katika siasa, uchumi, n.k. wakitaka kujitenga na Tanganyika. Hili linathibitishwa na kauli za kina Jussa na wengine, na hii ni baada ya kuona kuwa Zanzibar ina rasilimali kadhaa ikiwa ni mafuta na gesi.

Baadhi ya Wazanzibari walioko visiwani hawasiti kuonyesha hisia zao juu ya nia hii ya kujitenga. Wazanzibari walioko Tanganyika hawaonyeshi dalili yoyote ya wazi ya kupingana na ndugu zao wa visiwani, kama kwa njia ya makongamano na hata taarifa rasmi kwa umma. Hili suala wanaachiwa tu viongozi kulisemea wakati walengwa wakuu ni wananchi wa kawaida. Baadhi ya Wazanzibari walio Bara wanafaidika sana na utulivu, amani na uelewa wa watu wa Bara. Watanganyika walioko visiwani hawana amani kama hawa wazanzibari wa Bara.

Enyi wazanzibari mlioko Bara toeni tamko kulaani manyanyaso wayapatayo wa Bara huko visiwani, la tunajua lenu moja. Mnachuma Bara kama waasia wanavyochuma Tanzania. Toeni tamko sasa.
Pumbavuu sana nani kakwambia kwamba Wadanganyika wananyanyaswa huko zanzibar??? wewe hujui jeshi la wabongo pamoja na mapolisi ndio wameua watu huko katika chaguzi zilizopita..wewe hujui wazanzibar wameuliwa kwa kupinga muungano? wewe hujui hujuma imefanywa na watanganyika? wewe hujui kuna wa bongo kibao wanafanya kazi SMZ ? wengine wakurugenzi?
wacha ushamba wa na uzezeta wa akili ati na Wa asia? khaaa uchafu kabisa....una akili mbovu , ya kivivu, iliyo choka..na huku unataka wewe uwe juu ya wengine wanao fanya kazi nz kutumia bongo zao!!1
wewe huji kwamba serikali ya tanganyika ni 100 % ya wabongo..wazanzibar walioko huku hata wakisoma mpaka mwishi wa dunia hujui kwamba hawapati kazi katika serikali ya Tanganyika hata kama vijana wao wamezaliwa hapa? labda iwe mtoto wa mkubwa wa CCM..

WEWE hujui kwamba hakuna mu ASIA aneajiriwa serikalini ? ni ubaguzi upo hata nyerere aliweka wa asia na waarabu serikalini ..lakini sasa makaburu kama wewe...muko wengi...
wazanzibar walipo hapa tanganyika ni wakimbizi kwa taarifa yako hawana haki hata ya kununua nyumba au kiwanja kama wewe...kwani huwezi kununua nyumba ama kiwanja zanzibar bila ya kitambulisho chao..na serikali ya CCM ZA TANGANYIKA NA ZANZIBAR WAMEFANYA MAKUSUDI KUINYIMA ZANZIBAR ..YAANI KUWAZUIA WALE WALIPO HAPA WASI INVEST KWAO...
WAJENGE HAPA TU ....NI SIASA ILIYO RIDHIWA NA SERIKALI ZOTE MBILI ZA CCM ...JEE WEWE UKIENDA ZANZIBAR KUISHI NA UKAFUNGUA HOTEL YA KITALIII FAIDA YAKO HUWEZI KUIPEKLEKA MOSHI AMA MBEYA KUJENGA ? HAO HAO CCM WANAKURUHUSU LAKINI SIO KWA WAZANZIBAR..WAO WAKIWA HAPA HAWANA SHERIA KUJENGA KWAO KWANI HAWANA VITAMBULISHO VYA UZANZIBARI AMBAVO WANANYIMWA

HIVYO JIBU NI KWAMBA TANGANYIKA INAOKALIA ZANZIBATR AKAMA KOLONI...KUNA MBINYO KILA MAHALAI....ACHANA NA YALE YA UAMSHO...
 
Majibuyako nayaona legelege zaidi.

1. Jusa alipoambiwa kuwa kuwachukulia watanganjika kama wageni wengine italeta shida kwa wazanzibari waliopo bara wanaofaidika na ajira huko alijibu kuwa... shauriyao hao watanganjika. Kilichopigiwa kura ni kutaka watanganyika (kwakuwa ndio wengi mahotelini) wasipate ajira zanzibar.

2. mwakajana, huko vijijini (mnapaita shamba) maduka na mabanda yanayomilikiwa na wabara yalichomwa moto. Mabaa mengi pia yalichomwa moto, waliokamatwa wamechukuliwa hatua gani mpaka leo?

3. Usijifanye unasahau kuwa hairuhusiwi hata kutembea ukinjwa maji mitaani zanzibar mwezi wa ramadhani. Usijisahaulishe pia tamko la serikali yako juu ya adhabu ya mtu atakayekamatwa anakula au anakunjwa mchana. Na kufunga hoteli zote na mikahawa mwezi huo ilhali kuna watu wengi wenye uhitaji wa huduma zao ni haki?
 
Hili lipo wazi kabisa. Inajulikana sasa kuwa baadhi ya Wazanzibari wanaitaka Zanzibar yao kwa hali na mali. Wako wahafidhina toka kada mbalimbali huko visiwani walio wazi na walio ufichoni ambao, katika siasa, uchumi, n.k. wakitaka kujitenga na Tanganyika. Hili linathibitishwa na kauli za kina Jussa na wengine, na hii ni baada ya kuona kuwa Zanzibar ina rasilimali kadhaa ikiwa ni mafuta na gesi.

Baadhi ya Wazanzibari walioko visiwani hawasiti kuonyesha hisia zao juu ya nia hii ya kujitenga. Wazanzibari walioko Tanganyika hawaonyeshi dalili yoyote ya wazi ya kupingana na ndugu zao wa visiwani, kama kwa njia ya makongamano na hata taarifa rasmi kwa umma. Hili suala wanaachiwa tu viongozi kulisemea wakati walengwa wakuu ni wananchi wa kawaida. Baadhi ya Wazanzibari walio Bara wanafaidika sana na utulivu, amani na uelewa wa watu wa Bara. Watanganyika walioko visiwani hawana amani kama hawa wazanzibari wa Bara.

Enyi wazanzibari mlioko Bara toeni tamko kulaani manyanyaso wayapatayo wa Bara huko visiwani, la tunajua lenu moja. Mnachuma Bara kama waasia wanavyochuma Tanzania. Toeni tamko sasa.
Iam afraid ni wote... il akuna wa kutenda na kuna wa kuwapooza wabara.Soon itabidi tuwaamini wanapozikwa tuu.
 
Sisi hapa mtaani tumeshagawana nyumba na viwanja vya Wazanzibari, tunasubiri tu wavunje muungano tujimilikishe rasmi

Kama fikra zenyewe ndio hizi basi hata kije chama kutoka juu mbinguni there is no hope for it.
 
Back
Top Bottom