Baadhi ya Wazanzibari walio Bara ni wanafiki

'MUUNGANO FEKI USHATUCHOSHA WAZANZIBARI
HATUUTAKI'

Hiyo ni link kwenye u tube inayoashiria ni kiasi gani vuguvugu la wazanzibari kuitaka Zanzibar yao lilivyo juu. Just type hayo maandishi kwenye youtube.

Viongozi wa kitaifa hawawezi kuwa wawazi juu ya kile wananchi wao wanachokiamini. Kauli ya wananchi ni kauli ya viongozi, sema katika uongozi wa kisiasa ukweli huwekwa kando hadi pale utakapopata ufa wenyewe na kuamua kuvujia nje. Tusijidanganye kuwa hakuna tatizo.




Unamaaana hii hapa

Nimependa hapo kwenye Tang'ng' ng'ng'nnnnnnnnnn!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Raia Fulani,
Jisikie aibu kuongea uongo ulio dhahiri tena mbele ya hadhara!! Uongo wa namna hii haupendezi hata kidogo!!

Ndugu yangu wa damu kawepo Zanzibar kipindi cha mfungo. Mji mzima utakula wapi? Utanunua kitu cha kula wapi? Alibembeleza kununua maji ya kunywa kwa mwenye duka mmoja na hadi alipokubaliwa akaambiwa atafute chombo awekewe maji. chakula utapata hoteli za kitalii tena kwa tsh elf 15 kupaa, kisa mfungo! Halafu tunadanganywa kuwa wakati wa mwezi wa ramadhani hata wakristo hufunga kuwaunga waislam mkono. Kufunga kwa kulazimishwa?
 
Hili lipo wazi kabisa. Inajulikana sasa kuwa Wazanzibari wanaitaka Zanzibar yao kwa hali na mali. Wako wahafidhina toka kada mbalimbali huko visiwani walio wazi na walio ufichoni ambao, katika siasa, uchumi, n.k. wakitaka kujitenga na Tanganyika. Hili linathibitishwa na kauli za kina Jussa na wengine, na hii ni baada ya kuona kuwa Zanzibar ina rasilimali kadhaa ikiwa ni mafuta na gesi.

Wazanzibar walioko visiwani hawasiti kuonyesha hisia zao juu ya nia hii ya kujitenga. Wazanzibari walioko Tanganyika hawaonyeshi dalili yoyote ya wazi ya kupingana na ndugu zao wa visiwani, kama kwa njia ya makongamano na hata taarifa rasmi kwa umma. Hili suala wanaachiwa tu viongozi kulisemea wakati walengwa wakuu ni wananchi wa kawaida. Wazanzibari walio Bara wanafaidika sana na utulivu, amani na uelewa wa watu wa Bara. Watanganyika walioko vosiwani hawana amani kama hawa wazanzibari wa Bara.

Enyi wazanzibari mlioko Bara toeni tamko kulaani manyanyaso wayapatayo wa Bara huko visiwani, la tunajua lenu moja. Mnachuma Bara kama waasia wanavyochuma Tanzania. Toeni tamko sasa.

Jamani hawa watu mnawabembeleza wa nini? Waacheni tu wajitenge.

Hebu someni hii blog muone tunavyotukanwa:

FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI
 
Hebu leta ushahidi wa hayo manyanyaso!

  • Uchomaji wa nyumba za wafanyabiashara uliotokea kaskazin unguja kwa kigezo ni walevi au wahuni lakini kila siku waitaliano wanatembea uchi na wanauza pombe ovyo lakini hawafanywi chochote
  • Kuingiliwa kwa uhuru wa kuabudu,wa bara wamekuwa wakisilimishwa kwa nguvu.
  • wa bara hawaruhusiwi kununua ARDHI znz lakini waznz wanaruhusiwa kununua popote tanzania
  • huduma za kijamii kama passport.mabara haruhusiwi kupewa mapaka aje huku bara
  • Yanaendelea mengi tu.........................................................
 
Sasa tutoe tamko gani..? lol

Kila ntu alikuja duniani ntupu kutoka tumboni mwa mamaye na hivohivo atafight maisha weeeeeeeeeeeeeeee na siku ya umauti atarejea hivohivo ntupu na peke yake.

Sina la kusema zaidi.
 
Na sasa kama wazanzibar wanaongelea tumboni tu na hawana kiburi cha kuhitimisha Muungano, basi na waache chokochoko wanazowafanyia watanganyika walioko visiwani. Nao wanatafuta kama wapemba na waunguja wanavyotafuta huku Bara. Period!
 
Nime-note kitu kimoja toka zamani kwenye chokochoko hii ya kutaka kujitenga.. Kwamba Wapemba wengi na Waunguja wachache wenye asili ya kiarabu ndo wanaonekana kuwa mstari wa mbele kutaka muungano uvunjike.. Waunguja wengi (na haswa weusi) wanaonekana wasiopenda suala la muungano kuvunjika.. Jee inawezekana kuna kikundi cha watu wachache wenye ajenda yao iliojificha..? Kwamba wanataka muungano uvunjike ili iwe rahici kuuvunja na uzanzibari..? Maana nimeshamsikia mpemba mmoja (na ni rafiki yangu na anapata riziki zake hapa bara) akidai angependa Pemba iwe Jamhuri na Maalim awe ni raisi wao.. Wako wangapi hawa (wapemba) wenye mawazo kama haya..?
 
Nime-note kitu kimoja toka zamani kwenye chokochoko hii ya kutaka kujitenga.. Kwamba Wapemba wengi na Waunguja wachache wenye asili ya kiarabu ndo wanaonekana kuwa mstari wa mbele kutaka muungano uvunjike.. Waunguja wengi (na haswa weusi) wanaonekana wasiopenda suala la muungano kuvunjika.. Jee inawezekana kuna kikundi cha watu wachache wenye ajenda yao iliojificha..? Kwamba wanataka muungano uvunjike ili iwe rahici kuuvunja na uzanzibari..? Maana nimeshamsikia mpemba mmoja (na ni rafiki yangu na anapata riziki zake hapa bara) akidai angependa Pemba iwe Jamhuri na Maalim awe ni raisi wao.. Wako wangapi hawa (wapemba) wenye mawazo kama haya..?

Yalishatabiriwa hayo. Muungano ukivunjika haitaishia hapo. Hawa wapemba na hawa waunguja. Na hawa wenye asili ya kiarabu ndio wenye chokochoko zaidi
 
Hata kwenye kumiliki ardhi watu wa bara wanatozwa kodi ya ardhi kama wageni,hauoni kama hii nayo ni manyanyaso?
 
Ndugu yangu wa damu kawepo Zanzibar kipindi cha mfungo. Mji mzima utakula wapi? Utanunua kitu cha kula wapi? Alibembeleza kununua maji ya kunywa kwa mwenye duka mmoja na hadi alipokubaliwa akaambiwa atafute chombo awekewe maji. chakula utapata hoteli za kitalii tena kwa tsh elf 15 kupaa, kisa mfungo! Halafu tunadanganywa kuwa wakati wa mwezi wa ramadhani hata wakristo hufunga kuwaunga waislam mkono. Kufunga kwa kulazimishwa?

Ikiwa umefika nchi ya watu wakiwa na dini yao, mila zao na utmaduni wao unatakiwa ufuate sheria sio ulalamike, kwani ulilazimishwa kwenda huko Znzbar si ulijipeleka mwenyewe.
Pole sana mkuu hujui kama Znz ni nchi nyengine na sio Tanzania.
 
Yalishatabiriwa hayo. Muungano ukivunjika haitaishia hapo. Hawa wapemba na hawa waunguja. Na hawa wenye asili ya kiarabu ndio wenye chokochoko zaidi

Tuwache kueneza propaganda zisizo na ukweli, mimi nilikuwepo Zenji karibu miezi 4 hv na hiyo mikutano na mihadhara inaendeshwa na Waznzbari weusi na wala sio waarabu kama tunavojisemea uongo tukiwa huko Tanganyika na kiongozi wa hiyo mihadhara ni jamaa yake Shamhuna wa damu anaitwa SHEIKH MSELEM ALI ambae ndie mwenyekiti wa hiyo Jumuia ya UAMSHO (jamaa huyu anashahada ya mambo ya anga na anapoongea wewe mwenyewe unahisi kama huyu jamaa kichwa chake kinatuma na ni mtaalamu mambo ya kiislam), hebu Watanganyika wenzangu tusiwe wavivu kufuatilia haya mambo huku Zenji ikiwa tunataka kuwaelewa hawa jamaa tusikurupuke na kutoa pumba zetu za kitoto.

Na ktk jumuia hiyo wapo baadhi ya viongozi wenye asili ya kiarabu kama AZAN na FARID, na hii ndio hali ya visiwa vyote ulimwenguni, sio ZNZ tu.
Na ukweli uko pale pale WAznzbari takriban 78% hawautaki huu muungano na naamini kura ikipigwa leo hii basi wenye kutaka muungano hawatozidi 15%.
Hili ninalisema kwa ushahidi nilioupata hapo Zenji na huko kwa Wapemba ndio kabisaaa mambo hayasemeki.

TUSISIKILIZE PUMBA ZA HAPA JF NA NYINYI NENDENI MKAJIONEEE WENYEWEE
 
Na sasa kama wazanzibar wanaongelea tumboni tu na hawana kiburi cha kuhitimisha Muungano, basi na waache chokochoko wanazowafanyia watanganyika walioko visiwani. Nao wanatafuta kama wapemba na waunguja wanavyotafuta huku Bara. Period!

Mimi naona unajipa tabu tuuu, hiyo ndio sera ya serikali ya kitaifa "uzanzibari kwanza", kilichopo na sisi tuwasindikize viongozi wetu tuukatae muungano ili hawa jamaa waondoke hapa Tz.
 
Ikiwa umefika nchi ya watu wakiwa na dini yao, mila zao na utmaduni wao unatakiwa ufuate sheria sio ulalamike, kwani ulilazimishwa kwenda huko Znzbar si ulijipeleka mwenyewe.
Pole sana mkuu hujui kama Znz ni nchi nyengine na sio Tanzania.
Angalizo tuu:Sema Dini Zao (kuna dini nyingine)+kujipeleka??Hii haimaanishi kunaoondoa haki ya msingi ya kikatiba
 
Duh jamaa wana hasira.But ni tabia ya watu wanaoteseka nakuishi kwa kupewa fikra za kilaghai napotofu.Ni ngumu kuamini yeyote. May be serikali ijayo ijiandae kuwa na uwezo wa kupata options 2.kuvunja muungano au kuimarisha.Serikali ya CCM ililala sana kiasi ch akushindwa dilute Zanzibar,sijui walizubaa wapi wakashindwa brain wash(reset minds za) hawa jamaa .Leo tusingejikuta ktk hizi hofu kuwa hawa tutagombania vipi bahari, tuakuweje salama sama hawa jamaa wakiishi kwa style zao.

Its Obvious viongozi uchwara wa zenz wamekuwa na sura mbili na sasa hawajui cha kufanya mbele ya watu ambao sasa wanawaona kuwa irrelevant. SASA EVERYTHING IS BOILING DOWN NA JUMUIA ZA KIMATAIFA ZINAANGALIA KWA MACHO MAKALI. ZIMA MOTO A MIAKA YA NYUMA HAIWEZEKANI.

Haiwezekani mlazimisha mzanzibari kumeza kitu alichoambiwa miaka yote kuwa haramu,tena na viongozi tunaokaa nao mezani tukidhnia wenzetu.Hapa serikali imetupeleka mahali tusipokuwa na option ya kushindwa.
Ni hatari kwa zanzibar na bara muungano kuvunjika.Huu muungano si wa starehe na ziada,bali ni out of necessity.Zanziabr wakiupoteza muungano wengi watakuwa mahouseboy wa Waarabu, na wazungu watakao survive.Ardhi yote waliyokuwa wakiwanyima wabara itakuwa na mmiliki na itakuwa haifikiki.Hapo walipo hawawezi hata kulima au kutumia rdhi kwa lolote.Baadaye hata kuipata itakuwa shida.dar tuu mikocheni hapo njia za beach zimefunikwa raia wa kawaida wa kipato cha kati hawawezi fikia beach bila kupitia ktk sehemu ya malipo.
Im worried itakuwa too late kwa wazanzibar ,na wenye pesa wataamua kuwapa elimu specific ili wapotelea ktk ulimwengu wao.Wahamishie huzuni na hasira zao ktk vitu tofauti na kusahau hali halisi.

Wale viongozi wa sheia Zenji si wagumu wapiga rushwa, ilimradi tuu hali ikileta shida wakae pembeni wawaachie wajanja wadeal na uongozi wa juu na polisi.
zenji matajiri 10 wa kizungu na Kiarabu wanaweza inunua yote,kuitia kwa mawakala tofauti na baaday iunganisha.Viongozi wa kiserikali kuwapooza kwa kuwakaribisha karibu na wanene kabla na wao hawajatolewa mara tuu wakistaafu na kutoka ktk uongozi.Kuwatoa ni rahisi tuu km jinsi ingeweza kuwa rahisi kummaliza Mkapa kupitia Kikwete.Kumhadaa viongozi km wa Seriakli ya Umoja wa kitaifa ni rahisi.
-Kuwa mwekezaji, waambie wakusaidia kupata eneo kubwa zaidi na zaidi ili kuwekeza zaidi n akuongeza ajira. nao wapate kura(ndoto za ajira m2 teh teh)
- Wape ardhi na kuwajengea kahoteli km rushwa watakayoirudisha in few years.
-Waambie wakupe lease ili hela yako iwe salama na uweze kopa hela nyingi nje pamoja na kupata bima.
-Wasainishishe mikataba ya kimataifa ili bunge lao lisiweze badili chochote.
-Wakaribishe viongozi wajinga karibu na ngome imara na wajengee kitegauchumi na Nyumba ya kujisahau .Iwe km rushwa watakayoirudisha later.
- wekeza kwa uongozi mpya unaopingana nao,nao wakija wawe karibu na meza ya mwana harusi.
- subiri nafasi ili wale uliwakaribisha wakalewa uwaondoe km walevi wasije najis meza kuu.Hapa ni kutumia uongozi mpya.Then its over.Mahusiano mengine na wanasiasa ni ili wakupe jeshi,au wakupe deal.
MUULIZE MKAPA KAMA ANAWEZA ONDOA YEYOTE KT YA WAWEKEZAJI ALIOWALETA AU KM HATA WAMANAMJUA.Karaha aliyopata Meru ilikuwa inamaanisha hili.Keshauza ardhi na si yeye wala Kikwete anaytegemea kwenda ongea naye

This is how to catch a monkey and later on could be how to fix zanzibaris.
Mungu saidia.
 
Ikiwa umefika nchi ya watu wakiwa na dini yao, mila zao na utmaduni wao unatakiwa ufuate sheria sio ulalamike, kwani ulilazimishwa kwenda huko Znzbar si ulijipeleka mwenyewe.
Pole sana mkuu hujui kama Znz ni nchi nyengine na sio Tanzania.

unakosea sana. Mkristo anapompa mwislam kuku wake amchinje kwani kashindwa? Anaheshimu uislam wake na pia angependa kumpa japo kipapatio. Unaposema imani za watu unajenga matabaka na chuki kama hao jamaa walivyojenga dhidi ya wabara, na hususani wakristo
 
Tuwache kueneza propaganda zisizo na ukweli, mimi nilikuwepo Zenji karibu miezi 4 hv na hiyo mikutano na mihadhara inaendeshwa na Waznzbari weusi na wala sio waarabu kama tunavojisemea uongo tukiwa huko Tanganyika na kiongozi wa hiyo mihadhara ni jamaa yake Shamhuna wa damu anaitwa SHEIKH MSELEM ALI ambae ndie mwenyekiti wa hiyo Jumuia ya UAMSHO (jamaa huyu anashahada ya mambo ya anga na anapoongea wewe mwenyewe unahisi kama huyu jamaa kichwa chake kinatuma na ni mtaalamu mambo ya kiislam), hebu Watanganyika wenzangu tusiwe wavivu kufuatilia haya mambo huku Zenji ikiwa tunataka kuwaelewa hawa jamaa tusikurupuke na kutoa pumba zetu za kitoto.

Na ktk jumuia hiyo wapo baadhi ya viongozi wenye asili ya kiarabu kama AZAN na FARID, na hii ndio hali ya visiwa vyote ulimwenguni, sio ZNZ tu.
Na ukweli uko pale pale WAznzbari takriban 78% hawautaki huu muungano na naamini kura ikipigwa leo hii basi wenye kutaka muungano hawatozidi 15%.
Hili ninalisema kwa ushahidi nilioupata hapo Zenji na huko kwa Wapemba ndio kabisaaa mambo hayasemeki.

TUSISIKILIZE PUMBA ZA HAPA JF NA NYINYI NENDENI MKAJIONEEE WENYEWEE

Zanzibar ni mojawapo ya most complex societies in the Colonized world.Unless utapenda poteza consistency, na ukaamua chukua very few factors huwezi jihakikishia kuwa unawaelewa. Maamuzi wanayofanya leo si lazima yakawa yalibase ktk pattern fulani ambayo ina define culture yao.Wao wenyewe wanaweza kuwa wanaamini kuwa wana culture fulani ila ukweli ni kwamba hawana wel defined and stable culture.Almost everything there isnt real and commonly aggreeable. Uliza watu 10 wasomi na wazee kuhusu historia ya zanzibar(ukoloni,mapinduzi, priorities, elimu achilia mbali muungano) halafu waite waulize ktk tofauti za maelezo nani ni mkweli(authenticity), nadhani utaishia waachia ugonvi mkubwa?Wengi wanafanya maamuzi yanayobase ktk feelings na affiliation ila wanajiaminisha ktk mambo tofauti
 
Back
Top Bottom