MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
- Thread starter
- #21
Nilicholeta hapa sio theory bali ni ukweli halisi! Tofautisha ukweli halisi na theory!Huwezi kuja na theory moja tu bila kufikilia theory nyingine unapozungumzia Jambo flan, au unapotaka tatua Jambo flan
Wenda pia bwana yule kaombwa ushirikiano baada ya kuona hawezekaniki, kutokana na uwezo wake mkubwa, chin ya jua Kuna Mambo mengi, BWANA yule mtandao wake Sio wa dunia hii,ila pia kipaji na uwezo wake binafsi ukiangalia sio wa kawaida