Baadhi ya wanawake wanadanganya wamefika kileleni

Baadhi ya wanawake wanadanganya wamefika kileleni

Demu wa hvo dawa yake ni kumnywea VIAGRA....ndo akome....ukikosa viagra mnywee konyagi bapa kubwa na bange uone ka haombi poo
 
Wasichana wasikuizi Wanafake tu Orgasm we
unaona wanalia kama Ndama mtoto
Unajua wanafaidi kumbe wanakutia tu moyo
umalize waende kuoga..
JINGA KABISA..!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hapo ndo ujue wanawake wa siku hizi ufaki ndo wameufanya original
 
Demu wa hvo dawa yake ni kumnywea VIAGRA....ndo akome....ukikosa viagra mnywee konyagi bapa kubwa na bange uone ka haombi poo
[emoji15] [emoji15] sasa ni ugomvi, vita au starehe? Hakika huyo dem wako shughuli pevu anayo ngoja nimpe pole yake[emoji22]
 
Siku hizi wanavuliwa kwa ahadi feki kibao, ndiyo maana nao wanabidi waigize... ndiyo maana ukimpeleke guest atalia kama kitanda cha guest... ukimpeleka hoteli ya nyota tano- atalia kama star- na misemo ya kizungu mixer kichina na kihindi humo humo...
 
Siku hizi wanavuliwa kwa ahadi feki kibao, ndiyo maana nao wanabidi waigize... ndiyo maana ukimpeleke guest atalia kama kitanda cha guest... ukimpeleka hoteli ya nyota tano- atalia kama star- na misemo ya kizungu mixer kichina na kihindi humo humo...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa kiasi kikubwa hizi ni nyakati za ubadia (fake era). Tunaanza wote kwa vyakula na vinywaji bandia. Wao wanaendelea: nywele bandia, kope bandia, kucha bandia, sauti bandia, makalio bandia, matiti bandia, mwendo bandia. Na sisi wanaume: uume bandia na nguvu (za kiume)bandia.

Halafu tunakutana tena kwenye mapenzi bandia na ndoa bandia. Watafanyaje sasa ili maisha mengine yaendelee kama kawaida? Hamna namna zaidi ya kilele bandia.

Nafikiri nyakati na maisha halisi vinawalazimisha walio wengi kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom