Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,682
Kawaida sana labda kama we ni mgeni ndo utashangaa!
Inashangaza labida kwa vile tunakuwa tunawapa like nyingi mademu na kuwafata fatahahahaaaa!
sielewi kwa nini baadhi ya wanaume wanatumia id za kike
hv ukisema jinsia yako dhambi?
kwanza hii story ni ya uwongo, maana kama ni ya ukweli usingekuja kujianika hivyo kwa kujua mwenyewe akiona thread tu lazima atajua. Tukirudi kwenye somo, wewe una tabia za kike, mwanamume hawezi kuanza kuchungulia akaunti ya mtu mwingine ambayo haimhusu na kisha kupeleka thread kwenye jukwaa lilelile linalomhusu mhusika! hiyo akaunti inaweza isiwe ya huyo mtu labda kuna mtu alilogin kwa kutumia laptop yake, wewe unaconclude tu!!! krepu.
Nimeshamjua
unatetea ujinga sio
kwanza hii story ni ya uwongo, maana kama ni ya ukweli usingekuja kujianika hivyo kwa kujua mwenyewe akiona thread tu lazima atajua. Tukirudi kwenye somo, wewe una tabia za kike, mwanamume hawezi kuanza kuchungulia akaunti ya mtu mwingine ambayo haimhusu na kisha kupeleka thread kwenye jukwaa lilelile linalomhusu mhusika! hiyo akaunti inaweza isiwe ya huyo mtu labda kuna mtu alilogin kwa kutumia laptop yake, wewe unaconclude tu!!! krepu.
hivi kumbe kumtambua member wa Jf ni deal eeee.aisee sikulitambua hilo.ngoja nami nianze ufukunyuku wangu ili niwatambue japo watatu.
ni nani????
Kawaida sana labda kama we ni mgeni ndo utashangaa!
Kama kunamtu ambae ni mwanaume halafu anataka watu wamjue ni mwanamke huyo atakuwa ana uwalakini kwenye kufikiri kwake ......!!
Mmmmhhh hii haiwez likawa jambo la kushtua sana....kama majina tunayotumia ni fake ss ajabu nn hapo??
ni nani????
Miss neddy
Kambea wewe!
hahaha so utaendelea kunipigia misele au