From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,827
Nina miezi kadhaa sipo Dar kwa sababu ya majukumu ya kikazi.
Niliporudi, juzi kati tulienda sehemu na mama watoto, nikawa natoa hela kwenye mtandao. Kuna wazee walikuwa wamekaa pembeni kama kawaida nikawasabahi na nikaendelea na yangu.
Baada ya kutoka pale mama watoto akaniuliza. Hivi watu siku hizi wakoje? Nikamuuliza kwani vipi? Akaniambia wale wazee walikuwa wanatuzungumzia sisi. Nikamuuliza kivipi? Akasema walikuwa wanaulizana kama sisi ni mke na mume kwa sababu wanaona tunafanana. Nikamuuliza uliwasikia kweli? Akajibu ndiyo.
Dah nikamwambia wife siku hizi watu hawakuteti nyuma ya nyumba kama zamani siku hizi watu wanakuteta huku unasikia ili ujibu mapigo wapate sababu.
Wiki hii nipo Dar. Leo nikawa nimeenda sehemu katika kuongea na simu nikawa nafuatilia issue moja ya kikazi. Kumbuka kwa sasa nipo mkoani kwa hivyo nilivyokuwa naongea na jamaa nikamweleza mimi ni fulani kutoka mkoa fulani ili anielewe. Basi tukaongea tukamaliza.
Wakati naondoka yule dereva pembeni yangu ambaye alikuwa amebeba wanawake kwenye gari akawa anawauliza kama kweli nafanya kazi mkoa niliotaja kwenye simu, kwa sababu nilimsikia nikamtizama kama dakika tatu hivi lakini akawa amekauka kama sio yeye aliyewauliza wale akina dada.
Dah nilimumaind sana yule jamaa. Sana sana tu. Ila nikasema moyoni shetani hawezi kunishauri cha kufanya.
Nikaondoka kwa sababu sihitaji kumdhibitishia mtu kwamba nasema ukweli. Na wakati mwingine maneno huwa hayatoshi kufikisha ujumbe. Na ziada ya maneno ni vitendo na gharama yake ni kubwa ukizingatia muda utakaopoteza.
Ni swali tu kwa baadhi ya wanaume wa Dar. Nini kimewakuta. Mbona mnakuwa kama wanawake. Kuna wanaume wengine humu JF wanaadika " wewe muongo" lakini wao hawana ukweli. Hawana data.
Amua tu kuwa dume au jike mbona operation zipo. Kama unahamu ya kuhamia upande mwingine amua tu na kama huwezi tuliza hizo pu*** zako zisizo z**.
Dume zima unaafuatilia mambo ya watu. Nikiongeza matatizo yangu kwako utaweza wewe?
Tutafute maendeleo. Achana na mambo ya watu.
Niliporudi, juzi kati tulienda sehemu na mama watoto, nikawa natoa hela kwenye mtandao. Kuna wazee walikuwa wamekaa pembeni kama kawaida nikawasabahi na nikaendelea na yangu.
Baada ya kutoka pale mama watoto akaniuliza. Hivi watu siku hizi wakoje? Nikamuuliza kwani vipi? Akaniambia wale wazee walikuwa wanatuzungumzia sisi. Nikamuuliza kivipi? Akasema walikuwa wanaulizana kama sisi ni mke na mume kwa sababu wanaona tunafanana. Nikamuuliza uliwasikia kweli? Akajibu ndiyo.
Dah nikamwambia wife siku hizi watu hawakuteti nyuma ya nyumba kama zamani siku hizi watu wanakuteta huku unasikia ili ujibu mapigo wapate sababu.
Wiki hii nipo Dar. Leo nikawa nimeenda sehemu katika kuongea na simu nikawa nafuatilia issue moja ya kikazi. Kumbuka kwa sasa nipo mkoani kwa hivyo nilivyokuwa naongea na jamaa nikamweleza mimi ni fulani kutoka mkoa fulani ili anielewe. Basi tukaongea tukamaliza.
Wakati naondoka yule dereva pembeni yangu ambaye alikuwa amebeba wanawake kwenye gari akawa anawauliza kama kweli nafanya kazi mkoa niliotaja kwenye simu, kwa sababu nilimsikia nikamtizama kama dakika tatu hivi lakini akawa amekauka kama sio yeye aliyewauliza wale akina dada.
Dah nilimumaind sana yule jamaa. Sana sana tu. Ila nikasema moyoni shetani hawezi kunishauri cha kufanya.
Nikaondoka kwa sababu sihitaji kumdhibitishia mtu kwamba nasema ukweli. Na wakati mwingine maneno huwa hayatoshi kufikisha ujumbe. Na ziada ya maneno ni vitendo na gharama yake ni kubwa ukizingatia muda utakaopoteza.
Ni swali tu kwa baadhi ya wanaume wa Dar. Nini kimewakuta. Mbona mnakuwa kama wanawake. Kuna wanaume wengine humu JF wanaadika " wewe muongo" lakini wao hawana ukweli. Hawana data.
Amua tu kuwa dume au jike mbona operation zipo. Kama unahamu ya kuhamia upande mwingine amua tu na kama huwezi tuliza hizo pu*** zako zisizo z**.
Dume zima unaafuatilia mambo ya watu. Nikiongeza matatizo yangu kwako utaweza wewe?
Tutafute maendeleo. Achana na mambo ya watu.