Kuachwa haijalishi umeolewa au hujaolewa,umefunga ndoa au hujafunga,maana wapo walioachika kwenye ndoa zao,shida kubwa naiona ipo kwa huyu dada kwenye selection za wanaume/wapenzi zake.
kuna vitu anaviangalia hajui kuchagua mume,anachagua vi boyfriend yani namfananisha na mwanaume unamtuma dukani akakuletee uzi wa rangi nyekundu yeye anakuletea uzi wa rangi ya maroon,wanawake huita wanaume (colour blind)
na katika hi ishu huyu dada ni (Husband Blind) yani hajui kbsa kuchagua mume,ushauri wakulea watoto peke ake n mzuri lakini bado hautoshi kwasababu itafika muda tena atahtaji MUME si kwa ajili ya kumpa watoto ila atamuhitaji MUME.
utakapofika huo wakati kama bado atakua (husband blind) bado ataingia kingi tena tu,kwahyo huyo dada kaa nae chini mwambie vigezo vya mume,muelekeze mwenzako mwanaume muoaji yukoje,mwanaume wa kuwa mume yukoje,anakuja vipi,anakaa vipi,ana behave vipi,nk nk
Akishakuelewa kwenye eneo hilo la "how to select a husband) sasa ndio mpe ushauri uliompa alee wanae mwenyewe maana wapo wanawake wanaolea watoto zao bila baba wa watoto zao.