Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Na mimi nilitaka kuchangia kama wewe.

Nina gari la nissan lilikufa pump...uzuri magari ya Japan yanaingiliana pump tofauti ni housing..

Basi kuna vipump huko dukani wanauza elfu 30, kuna nyingine za elfu 60 wauzaji wanakuambia hizi ndiyo genuine....hakuna kitu kama hicho.

Hizi ni pump za kukusogeza miezi miwili ili ujipange kununua pump genuine...pump genuine haipungui LAKI 3.... haijalishi ni ya Toyota au Nissan.

Mimi namshauri sijui yupo mkoa gani ila kwa Arusha pump genuine nenda duka lipo upande wa kusini mashariki mwa uwanja wa sheikh amri Abeid...duka linaitwa DENSO ,hapo hapo Jirani kuna lingine linaitwa kwa SAKA..huyu saka anadeal na NISSAN ZAIDI....pia waweza kwenda Industrial area kule ARUSHA ART hapa unapata NISSAN,BENZ,VW na magari mengine yote unayojua spea zake ni adimu.

Ila ukienda kwenye haya maduka ya warombo na wakibosho, ndiyo unauziwa please pump 60, 000/- unaambiwa ni genuine kisa tu box lake limeandikwa TOYOTA TOYOTA....kuna spacio ilikuwa inasumbua sana pump, wakiweka za bei rahisi miezi miwili tatizo lipo pale pale....jamaa akafunga roho akanunua pump 350,000/-...ana miaka miwili sasa tatizo limebaki historia...
Msije kuwa mnafunga pump za 20,000/= halafu mseme mmefunga pump genuine.

Maana kwa mbali ndo ninachokiona hapa.

Mwisho angalieni nyaya zinazoingia kwenye tank la mafuta zinapeleka volt ngapi. Kama ni zaidi ya 9.37V basi shida itakuwa hapo.
 
Msije kuwa mnafunga pump za 20,000/= halafu mseme mmefunga pump genuine.

Maana kwa mbali ndo ninachokiona hapa.

Mwisho angalieni nyaya zinazoingia kwenye tank la mafuta zinapeleka volt ngapi. Kama ni zaidi ya 9.37V basi shida itakuwa hapo.
Nashukuru Sana Kwa msaada wako samahani je una garage? Na kama unayo kama nikitaka kuja kujifunza zaidi kwako garama ya Ada ni shilingi ngapi?
 
Yaani kuna siku niliumia kweli.

Kuna ndugu yangu aliamka siku hiyo kila akiwasha gari engine haipokei. Wakaja mafundi wakaja mafundi wakacheck pale wakasema shida ni pump na relay. Pump kweli ilikufa sababu niliwaona wakati wanajaribu, ila ile relay waliondoka nayo halafu wakarudi nayo ileile wakiwa wameipiga rangi halafu wakasema wamebadilisha.

Sasa njoo kwenye pampu, Bei ya pampu wakasema ni 100,000/= genuine kabisa ya toyota. Kuja kufuatilia ile pampu siyo genuine na bei yake madukani ni around 60k tu.

Ilimchukua kama miezi 6 tu kabla hajaenda kununua pampu nyingine.

Na mimi nilitaka kuchangia kama wewe...
Nina gari la nissan lilikufa pump...uzuri magari ya Japan yanaingiliana pump tofauti ni housing
 
Yaani kuna siku niliumia kweli.

Kuna ndugu yangu aliamka siku hiyo kila akiwasha gari engine haipokei. Wakaja mafundi wakaja mafundi wakacheck pale wakasema shida ni pump na relay. Pump kweli ilikufa sababu niliwaona wakati wanajaribu, ila ile relay waliondoka nayo halafu wakarudi nayo ileile wakiwa wameipiga rangi halafu wakasema wamebadilisha...
Mafundi wasio waaminifu sometimes wanachangia kuua magari ya watu na kuwapa watu gharama ambayo si ya msingi..

Mimi kwangu ni mwiko kuletewa spea na fundi...ni afadhali nikanunue spea feki peke yangu lakini nitakuwa nimeridhika kuwa nafunga feki inisogeze siku mbili tatu..

Yale mambo ya fundi kusema lete pesa nikalete spea kwangu marufuku...naenda mwenyewe fundi ale pesa yake ya ufundi...Ova
 
Mkuu Bavaria Kwanza kabisa unatakiwa kufahamu kwamba yote yanayotokea ndani ya Automatic gearbox yanakuwa controlled na pressure ya fluid inayokuwa ndani ya gearbox(ATF). Maana yake ubaposhift kutoka P kwenda N kuna valves zinaopen na fluid inakuwa pressurized kuingia baadhi ya maeneo...
Mkuu, kiutaalam unatakiwa kubadili giabox fluid kila baada ya km ngapi au mda gani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah ati bora ununue spea feki wewe mwenyewe kuliko akununulie fundi.
Ni kweli mkuu kwa sababu nitakuwa nimedhamiria na ninajua itanisogeza siku mbili tatu..

Kuna siku nilikuwa garage huku Arusha akaja mzee mmoja na karina inagonga kwenye miguu ya mbele...fundi akakagua ikagundulika ball joint imechoka...

Mzee akatoa pesa za ball joint 30000/- kishq akasema anaenda kati kati ya mji kufanya shughuli mbili tatu ili fundi aendelew kutengeneza gari..

Mzee alipoondoka fundi akafungua ball join akaiweka kwenye bomba flani la chuma akaigonga na nyundo ikakaza...akairudishia kisha akaweka 30 k kwenye wallet...

Mafundi wengi wana tamaa...ball joint hiyo hiyo mbovu, tena ya Kichina ikarudishiwa kwenye Karina......ndiyo maana unapiga kashimo kadogo tu, ball joint inachomoka...

Nilisikitika sana jamaa akaniambia vunga ndivyo tunavyoishi mjini...sikuwa na la kufanya ila nilisema sitakaa nimpe fundi pesa akanunie spea..

Nitanunua mwenyewe..

Baadhi ya mafundi ni kama WAJUMBE tu....
Na mafundi wa namna hii hawanaga mafanikio kwa sababu wanakula laana...kiyu cha msingi wanachoweza kumiliki ni smart phone..shubamiti...
 
Sawa kiongozi mi Nina ideal ya magari na napenda Sana kujua kwaundani zaidi kuhusu elimu ya engine na gearbox nifanyaje?

Dah mkuu sijui utasaidikaje.

Ukihudhuria garage na youtube na kusoma sehemu zingine unaweza kujikuta umepata unachokitafuta.

Me nalipia $8.99 kila mwezi Scribd ili tu nipate access ya pdf ambazo wamechambua model mbalimbali za automatic gearboxes...
 
Mkuu samahan, eti ni kwann rav4 old model na Escudo zinakuwaga na ugonjwa wa kiduku na kwann gari nyingine za 4wd hazinaga ugonjwa huu? Na huwa kinasababishwa na nn?

Kwa wasiojua kiduku ni ugonjwa flani ukiweka gia kuna mlio flan unasikika

Huo mlio unakuwepo muda wote gari inapokuwa kwenye gear au unapoweka tu gear unakuja na kupotea?
 
Back
Top Bottom