Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Hizi shida tunapata sababu tuko mkoani, kuna passo hapa model ya 2005, mara ya mwisho iliwekwa atf ya toyota t-iv sikumbuki mwaka, lakini juzi kati ilibadilishwa injini odo yake inazaidi ya 200,000 huko hapo likazuka jambo, o/d ina flash ukiweka R au D kutokea P ina jerk then inatoka kama haiko gia namba moja, inatoka kwa tabu, nikaenda diagnosis nikapata majibu haya
IMG_20220426_160415_388.jpg

Nikaambiwa ni solenoid bas sample ya gear box ikafunguliwa solenoid kama mbili zikatolewa zikatestiwa zikapiga zikarudishiwa, filter ikabadilishwa na atf hii ikawekwa
IMG_20220703_175248_466.jpg


Baada ya kutembea km 10 ile hali ikarudi, lakini haikudumu sana ikapotea baada ya wiki hivi baada ya mwezi zaidi ikarudi ukiwasha tu gari na kuweka D au R o/d ina blink na jerk zikarudi, hapa hata sijui nifanyaje, nibadili gear box, ni calibrate TCM, nikabadili solenoid zote au nifanyaje JituMirabaMinne nakutegemea, engine ni 1kr-fe niko TA.
 
Mkuu mie nikiweka reverse inatoa huo mshindo hata kama utakanyaga brake had mwisho. Wazoefu wananiambia ni kawasaki ya rav4 oldmodel kushtuka unapoweka reverse. Ni kweli?
Yes hii ishu ni common sana kwenye hilo toleo la Rav 4. Wanasema ilikuwa fault kutoka kiwandani.

Labda kama mshituko wako ni mkubwa kuliko kawaida.
 
Nanikiweka D nikiachia pedo haitembei mpaka n accelarate..yawezekana clutchplate Inaniaga na ndio inayoleta tatizo la kustuka unapowek reverse ?
Fluid kidogo au huenda gearbox ndio inakuaga.
 
Hizi shida tunapata sababu tuko mkoani, kuna passo hapa model ya 2005, mara ya mwisho iliwekwa atf ya toyota t-iv sikumbuki mwaka, lakini juzi kati ilibadilishwa injini odo yake inazaidi ya 200,000 huko hapo likazuka jambo, o/d ina flash ukiweka R au D kutokea P ina jerk then inatoka kama haiko gia namba moja, inatoka kwa tabu, nikaenda diagnosis nikapata majibu hayaView attachment 2280023
Nikaambiwa ni solenoid bas sample ya gear box ikafunguliwa solenoid kama mbili zikatolewa zikatestiwa zikapiga zikarudishiwa, filter ikabadilishwa na atf hii ikawekwaView attachment 2280025

Baada ya kutembea km 10 ile hali ikarudi, lakini haikudumu sana ikapotea baada ya wiki hivi baada ya mwezi zaidi ikarudi ukiwasha tu gari na kuweka D au R o/d ina blink na jerk zikarudi, hapa hata sijui nifanyaje, nibadili gear box, ni calibrate TCM, nikabadili solenoid zote au nifanyaje JituMirabaMinne nakutegemea, engine ni 1kr-fe niko TA.
Nitafutie kibati kinachofanana na hivi viwili kwenye gari yako.

v161vin.jpg



3357311_big_148ea40a.jpg
 
Gari aina gani?
Passo Racy piston 4.
Engine ni K3-VE cc 1290
Hili tatizo inaweza kuwa nini...? Fundi wangu alisemaga eti ni sample ilikua imepinda, akaitoa akaiponda ponda akairudisha. Lakini bado.

Yani iko hivi, nikiwasha gari wakati wa kuondoka. Nikitoa P kwenda D (au R kwenda D) ile mara ya kwanza kabisa, inashtuka. Lakin baada ya hapo haishtuki tena.

Namaanisha ikisha-shtuka, nikairudisha tena P halafu niende tena D haishtuki tena.

Mpaka labda niizime halafu ipoe labda nusu saa hivi. Nikiwasha gari halafu nikafanya kuhama kwenda D niondoke, kwanza inachelewa kuingia gear. Halafu unasikia mshindo "Kpuh" ndio gear ya D inaingia.

JituMirabaMinne nisaidie mwenzio. Nateseka. Shida itakua nini, solenoid? Kisahani?

ATF (tena ile ya TOYOTA IV) nishamwaga na kuweka mpya mara kibao.
 
Passo Racy piston 4.
Engine ni K3-VE cc 1290
Hili tatizo inaweza kuwa nini...? Fundi wangu alisemaga eti ni sample ilikua imepinda, akaitoa akaiponda ponda akairudisha. Lakini bado.

Yani iko hivi, nikiwasha gari wakati wa kuondoka. Nikitoa P kwenda D (au R kwenda D) ile mara ya kwanza kabisa, inashtuka. Lakin baada ya hapo haishtuki tena.

Namaanisha ikishatuka, nikaipeleka tena P halafu kurudi D haishtuki tena. Mpaka labda niizime halafu ipoe labda nusu saa hivi. Nikiwasha tena kuhama kwenda D niondoke kwanza inachelewa kuingia gear. Halafu unasikia mshindo "Kpuh" ndio gear ya D inaingia.

JituMirabaMinne nisaidie mwenzio. Nateseka. Shida itakua nini, solenoid? Kisahani?

ATF (tena ile ya TOYOTA IV) nishamwaga na kuweka mpya mara kibao.
Mbona kwa maelezo yako inaonekana kama oil haiko level sawa?

N.B.

Level ya Oil huangaliwa gari ikiwa inaunguruma, umeipaki sehemu ambayo iko level na yafaa zaidi ukiwa umetoka kutembea[engine imeshapata joto].
 
Mbona kwa maelezo yako inaonekana kama oil haiko level sawa?

N.B.

Level ya Oil huangaliwa gari ikiwa inaunguruma, umeipaki sehemu ambayo iko level na yafaa zaidi ukiwa umetoka kutembea[engine imeshapata joto].
Hii elimu hatuna kabisa, sie tunapima ikiwa imezima na imepoa kabisa eti wanasema oil imerudi kwenye sample, naomba ucheki post namba 178 pls
 
Back
Top Bottom