Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

Wewe una ujuzi kuliko waliotengeneza hiyo gearbox? Wewe unadhani hawajui hata maximum temperature ya gear box? Mkuu, elimu zenu zitumieni vizuri, msiwe kama wanaobadili jinsia, wanaona Mwenyezi MUNGU amekosea kuwaumba. Usiwe fundi mzuri anayewapotosha wateja kwenye mambo madogo wakati mambo mengi unatoa elimu nzuri

Kwa hiyo unataka kusemaje mkuu. Maana mimi sijakuelewa.
 
Mimi nimeambiwa leo hii gari nimerudisha nyumbani na nimeambiwa nibadili iwe manual dah
Dah....w mtu unamadin mengi sana, sidhan kama kuna gari itakuja kwako ikaondoka haijapona aiseee, ishu ni moja tu umbaali, Mungu akujalie mambo yako yaende sawa usogee huku Dar, watu wanahangaika sana aisee.

Mimi mwenyewe niliwahi kusikia fundi akisema gearbox haitengenezeki, ikizingua inabidi ukanunue nyingine.
 
Guys nmejaribu kufupisha maelezo ila nimeshindwa.
Uko vizuri Sana mkuu Ila Nani na tatizo kuna gari awali lilikuwa linawasha taa ya check engine tukaipuuzia matokeo take ikajaleta ikawaka nyekundu gari likazima kupeleka kwa fundi wakadai engine imekufa tukafungua ikanunuliwa mpya modern ileile ikafungwa haina hata wiki bado inaonesha tena check engine hapo tatizo linaweza kuwa ni nini? Msaada please
 
Uko vizuri Sana mkuu Ila Nani na tatizo kuna gari awali lilikuwa linawasha taa ya check engine tukaipuuzia matokeo take ikajaleta ikawaka nyekundu gari likazima kupeleka kwa fundi wakadai engine imekufa tukafungua ikanunuliwa mpya modern ileile ikafungwa haina hata wiki bado inaonesha tena check engine hapo tatizo linaweza kuwa ni nini? Msaada plz

Shukrani Mkuu.

Mkuu bado inakuwa ngumu kujua tatizo ikiwa taa ya check engine inawaka bila gari kuonesha tatizo lolote. Ndio maana inakuwa ni vizuri zaidi kama gari inaweza kufanyiwa diagnosis na mashine.

Halafu kitu ambacho huwa sielewi ni kwamba engine inakufaje wakati mechanical parts zake zote ni nzima?
 
Shukrani Mkuu.

Mkuu bado inakuwa ngumu kujua tatizo ikiwa taa ya check engine inawaka bila gari kuonesha tatizo lolote. Ndio maana inakuwa ni vizuri zaidi kama gari inaweza kufanyiwa diagnosis na mashine.

Halafu kitu ambacho huwa sielewi ni kwamba engine inakufaje wakati mechanical parts zake zote ni nzima?
Samahani kiongozi naomba kujua bei za OBD2 sannner ambazo zinapima full system za Nagari nahitaji kununua na pengine wapi tapata original?
 
[SUP]Mtaalam gari yng haibadili gear na ukiweka D inanguvu ndogo xan hata sehem inakamlima kadogo haipandi alafu ule mshale wa soeed unaishia kwenye 4 tu hata ukanyage exleta hadi mwisho tatizo nn[/SUP]
 
[SUP]Mtaalam gari yng haibadili gear na ukiweka D inanguvu ndogo xan hata sehem inakamlima kadogo haipandi alafu ule mshale wa soeed unaishia kwenye 4 tu hata ukanyage exleta hadi mwisho tatizo nn[/SUP]

Suala la mshale kushindwa kuvuka 4000rpm chochote katika mfumo wa kuingiza hewa, mafuta au cheche kinaweza kuwa na shida.

Pia gearbox inaweza kuwa inaslip. Ila kwa uhakika zaidi ni mpaka hilo tatizo la engine litatuliwe.
 
IMG_20200811_171641_168.jpg
 
Back
Top Bottom