manumba malecha
Member
- Apr 25, 2020
- 43
- 27
Mkuu kuna gari aina ya alteza imepoteza nguvu cjajua ttzo nn tumepeleka garage wakasema tatizo ni plug wakabadilisha plug lakini ttzo bado lile hata mlima mdogo halipandi naombeni msaada
Tatizo lilianza ghafla au lilianza taratibu..Kuna gari aina ya alteza imepoteza nguvu hata mlima mdogo halipandi cjajua ttzo nn tumepeleka garage wakasema libadilishwe plug, zikabadilishwa lakini ttzo bado lile naomba msaada mkuu
Lilianza taratibuTatizo lilianza ghafla au lilianza taratibu..
Kama lilianza taratibu anza kwa kuangaliaLilianza taratibu
Mkuu Gari yangu ina shida kubwa moja,Kuwa inakosa nguvu speed inaishia 40km/h haswa kwenye Mwinuko ila kuchanganya unakuwa poa tatizo hasa ni nini..Mafundi wanakula sana pesa yangu mara wanasema plug,coil sasa wanasema gearbox!
Suzuki swift old,nipo MwanzaGari yako ni aina gani? Na upo wapi?
Samahani Jitulamilaba minne naomba kujuzwa jinsi yakubadili lugha kwenye redio za gari aina ya Toyota IST
Mkuu JituMirabaMinne nikiwa kwenye mwendo pale gari inapobadili gear kama inashtuka hivi tatizo nini?
Suzuki swift old,nipo Mwanza
Fundi ameniambia inabidi nabadilisha gearbox,km una wakala huku nije kwako au niikute huko naona ni bora kuliko fundi sio waaminifu.Kama unaweza kupata mtu akakufanyia diagnosis itakuwa ni vizuri zaidi.
Lakini pia Crankshaft Position sensor kama ina shida inaweza kupelekea hilo tatizo.
Fundi ameniambia inabidi nabadilisha gearbox,km una wakala huku nije kwako au niikute huko naona ni bora kuliko fundi sio waaminifu.
Zamajukumu mkuu samahani kuna gari imepata shida gafra ukirudisha rivers hairudi kabisa tatizo haswa ni nini? Gari ni ist
Kaka habari je ulishahamia dar nna altezza 1gvvti inanitesa sana gear box rivas haipo na namba 3na kuendelea zinaingia kwa shida sanaAngalieni kwanza kama ATF level iko sawa.
Sometimes inaweza kuwa selector switch n.k.
Mkuu mie nikiweka reverse inatoa huo mshindo hata kama utakanyaga brake had mwisho. Wazoefu wananiambia ni kawasaki ya rav4 oldmodel kushtuka unapoweka reverse. Ni kweli?Mkuu Bavaria Kwanza kabisa unatakiwa kufahamu kwamba yote yanayotokea ndani ya Automatic gearbox yanakuwa controlled na pressure ya fluid inayokuwa ndani ya gearbox(ATF). Maana yake ubaposhift kutoka P kwenda N kuna valves zinaopen na fluid inakuwa pressurized kuingia baadhi ya maeneo.
Mambo yafuatayo yanaweza kupelekea mshituko(jerking) wakati wa kushift kutoka kwenye N kuja kwenye D.
1. Low level ya ATF
2. High line pressure ambayo inaweza kusababishwa na clog au kuharibika kwa shift solenoid.
3. ATF imeisha muda wake. Angalia rangi ya ATF inatakiwa kuwa pink, ukikuta ni brown inaweza kuwa inafanya kazi ila inahitaji kubadilishwa, Ukikuta imekuwa nyeusi kabadilishe haraka sana maana utakaanga gearbox siku si nyingi.
Kwa sehemu kubwa yanaweza kuwa hayo.