Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
wasaalam ,
Hakuna mwanadamu mungu alimrudhuku vipawa vingi kama mwanasayansi Leornardo Da Vinci yule mchoraji nguli sana wa mchoro Tata wa mwanadada monalisa.
Mungu alimpa vipawa vingi sana binadamu huyu hata baadhi ya michoro yake ambayo Yeye mwenyewe alijichora inaonyesha dhahiri mwanadamu huyu pia mwenyezimungu alimjalia sura ya busara ,uangavu na ushupavu.
Msingi wa maendeleo mengi ya sayansi , ya sasa basi daVinci ana mchango wake mkubwa mno
Hata kwenye rank za watu wenye IQ za juu sana kuwahi kuishi dunia hii wakamuweka Leornardo DaVinci katika ngazi za juu.... Hayo ni majawabu ya kazi zake, na kila sifa aliyopata hakusingiziwa.....Binafsi natamani angekuwepo zama hizi walau apate shuhudia mchango wa matumizi ya ubongo wake katika dunia ya sasa.
Kama angelilala usiku basi angeliota ndoto zenye kiu na angetamani kufanya chochote , kila aamkapo hakuacha kuishangaza dunia na dunia haikuacha kumuamini hadi muda Anaicha.
Binafsi kwangu ni Mwanasayansi namba moja na bora wa muda wote tangu dunia inaanza mpaka kuisha kwake.....ukiwatoa wateule wa mungu kama Mtume Muhammad , Yesu (issa), baba yetu Ibrahimu, Mussa wa zama za mfalme wa misri mkaidi firauni na wateule wengine wengi.
Mungu hakuacha kumimina neema katika ardhi kadri zama zilivyozidi kujongea ....mwanadamu akarusha ndege, mwanadamu akatengeza magari yenye kasi zaidi ya farasi waliotumika katika vita vya UHUD kule arabuni., mwanadamu akatengeneza bunduki , akatengeneza meli na manowari za kivita, akatengeneza simu na baadae simu janja ..kadri zama zilivyosonga navyo mwanadamu hakuacha kushangaza kwa gunduzi na maboresho mengi ya teknolojia na sayansi Duniani.
THE DA'VINCI SURGICAL SYSTEM.
Labda nigusie hapa kwasababu itafungua milango ya ufahamu wako kwenye nyanja zingine tofauti tofauti.......miaka ya nyuma nyuma wazee walifanya matibabu kwa njia tofauti tofauti kwa dawa za kienyeji na mitishamba na kwa kudra zake mwenyezimungu ziliwapa manufaa nadhani wengi wetu tuna thibati ya tiba hizo ....walipiga chuku, na kutumia vyakula vya asili,vyenye rutba tele kuboresha afya zao.... teknolijia ilipozidi kupamba moto madawa ya kisasa ya viwandani kupitia malighafi asilia... yakatengenezwa kupitia mitishamba ileile ya wazee wetu........lakini katika hizo hizo tiba kuna tiba katika mwili wa mwanadamu zinahitaji upasuaji ili kuungia mwili wa mwanadamu na kuuganga ili kuweza kutatua tatizo.....tumeshuhudia madaktari bingwa wa kupasua sehemu mbalimbali na kutibu sehemu hizo za miili ya wanaadamu
Ngoja tutie sukari kwenye chai zetu sasa
KAMPUNI moja ya amerika ilileta mbinu moja ambayo itapunguza uhitaji wa madaktari wapasuaji. inaitwa INTUTIVE SURGICAL...walileta mbinu ya upasuaji ambayo inashirikisha Maroboti katika kazi nzima na mchakato wa upasuaji... hii ilithibitishwa na kupitishwa kama moja ya tiba na FDA( food and drug administration) mwaka 2000.
Na ilibuniwa ili kuwezesha na kurahisisha upasuaji tiba pasi na kudhuru zaidi. na kuleta athari kubwa za kibinadamu.
Mfumo huo ulipewa jina la Da Vinci
naam!! DAVINCI mwanasayansi nguli kabisa wa muda wote,, somo lake la Human anatomy ambayo inahusishwa mfumo wa mwili na ufanyaji kazi ulipelekea kuundwa kwa roboti mwanzoni kabisa kabisa.
Hapo tumeona kwa uchache mfumo ulivyo , sasa kuwa ile THEORY ya TIME TRAVELLIN ambayo mpaka sasa inadaiwa haiwezekani kutokana na mambo kadhaa kama TIME machine....(kuna maelezo yake tele hapo waliodiriki kuipitia nadhani wanailewa)
Binafsi ninaamini time travelin inaweza kuwezekana lakini pia siamini kwasababu hakuna uthibitisho za kisayansi niko 50/50...
Lakini angefanya vyovyote awezavyo mzungu kudokeza kuhusu kusafiri kwa wakati tumeona kwenye movie kama ya The flash, Avengers Endgame na siries nyingi kama HEROES,inawewezekanaje au ndio hoax ambazo wamezoea kutuchezea kila wapendavyo
Hilo tuliache lisije leta mzozo mpana hapa nikashindwa kuleta uthibitisho.....(maana bado wengi wetu hawaliamini kwa sababu halina ithibati ya kisayansi)
ALEXANDER SMITH THE TIME TRAVELLER
Alexander Smith analipata kusema kwamba alikuwa amesafiri kwa muda (time travellin) mwaka wa 1981 na alikuwa ameona yajayo hadi miaka ya 2118.
ALEXANDER SMITH
Alifanya mahojiano na Apex Tv kama ilivyoripotiwa , alisema kwamba ilikuwa kwenye mamlaka za siri za CIA na akaongeza kuwa CIA inamtafuta na yuko maficho
Alisema zaidi kuwa aliitembelea mwaka 2118 kama sehemu ya mission ya siri ya CIA. Na akasema anaamini ilikuwa moja ya safari ya kwanza ya muda iliyokuwa imekwenda vyema na kufanikiwa zaidi.
"Nilikwenda safari ya siku zijazo kisha nikarudi zamani zaidi. Hii yote ilitokea mnamo mwaka 1981" alisema bwana smith
Bwana Smith alidai katika siku zijazo ubinadamu utakwisha, miji itajazwa majengo marefu yaliyojaa teknolojia ya ajabu, watu watakuwa na mahusiano na, kutakuwa na roboti za ujasusi, na magari ya kuruka kama ndege.
Naam kama ilikuwa kweli au ni shere bayo tumechezewa kuhusu Smith hatuwezi kufahamu kifupi ni madokezeo ambayo tumepata kuhusu roboti ni dhahiri dunia yetu inakokwenda MAMLAKA nyingi zitashikiliwa na maroboti na KOMPYUTA
Nimekuwekea picha hii huenda ikaongeza tafakuri zaidi
WHO KNOWS ??
UPGRADE YOURSELF
Hakuna mwanadamu mungu alimrudhuku vipawa vingi kama mwanasayansi Leornardo Da Vinci yule mchoraji nguli sana wa mchoro Tata wa mwanadada monalisa.
Mungu alimpa vipawa vingi sana binadamu huyu hata baadhi ya michoro yake ambayo Yeye mwenyewe alijichora inaonyesha dhahiri mwanadamu huyu pia mwenyezimungu alimjalia sura ya busara ,uangavu na ushupavu.
Msingi wa maendeleo mengi ya sayansi , ya sasa basi daVinci ana mchango wake mkubwa mno
Hata kwenye rank za watu wenye IQ za juu sana kuwahi kuishi dunia hii wakamuweka Leornardo DaVinci katika ngazi za juu.... Hayo ni majawabu ya kazi zake, na kila sifa aliyopata hakusingiziwa.....Binafsi natamani angekuwepo zama hizi walau apate shuhudia mchango wa matumizi ya ubongo wake katika dunia ya sasa.
Kama angelilala usiku basi angeliota ndoto zenye kiu na angetamani kufanya chochote , kila aamkapo hakuacha kuishangaza dunia na dunia haikuacha kumuamini hadi muda Anaicha.
Binafsi kwangu ni Mwanasayansi namba moja na bora wa muda wote tangu dunia inaanza mpaka kuisha kwake.....ukiwatoa wateule wa mungu kama Mtume Muhammad , Yesu (issa), baba yetu Ibrahimu, Mussa wa zama za mfalme wa misri mkaidi firauni na wateule wengine wengi.
Mungu hakuacha kumimina neema katika ardhi kadri zama zilivyozidi kujongea ....mwanadamu akarusha ndege, mwanadamu akatengeza magari yenye kasi zaidi ya farasi waliotumika katika vita vya UHUD kule arabuni., mwanadamu akatengeneza bunduki , akatengeneza meli na manowari za kivita, akatengeneza simu na baadae simu janja ..kadri zama zilivyosonga navyo mwanadamu hakuacha kushangaza kwa gunduzi na maboresho mengi ya teknolojia na sayansi Duniani.
THE DA'VINCI SURGICAL SYSTEM.
Labda nigusie hapa kwasababu itafungua milango ya ufahamu wako kwenye nyanja zingine tofauti tofauti.......miaka ya nyuma nyuma wazee walifanya matibabu kwa njia tofauti tofauti kwa dawa za kienyeji na mitishamba na kwa kudra zake mwenyezimungu ziliwapa manufaa nadhani wengi wetu tuna thibati ya tiba hizo ....walipiga chuku, na kutumia vyakula vya asili,vyenye rutba tele kuboresha afya zao.... teknolijia ilipozidi kupamba moto madawa ya kisasa ya viwandani kupitia malighafi asilia... yakatengenezwa kupitia mitishamba ileile ya wazee wetu........lakini katika hizo hizo tiba kuna tiba katika mwili wa mwanadamu zinahitaji upasuaji ili kuungia mwili wa mwanadamu na kuuganga ili kuweza kutatua tatizo.....tumeshuhudia madaktari bingwa wa kupasua sehemu mbalimbali na kutibu sehemu hizo za miili ya wanaadamu
Ngoja tutie sukari kwenye chai zetu sasa
KAMPUNI moja ya amerika ilileta mbinu moja ambayo itapunguza uhitaji wa madaktari wapasuaji. inaitwa INTUTIVE SURGICAL...walileta mbinu ya upasuaji ambayo inashirikisha Maroboti katika kazi nzima na mchakato wa upasuaji... hii ilithibitishwa na kupitishwa kama moja ya tiba na FDA( food and drug administration) mwaka 2000.
Na ilibuniwa ili kuwezesha na kurahisisha upasuaji tiba pasi na kudhuru zaidi. na kuleta athari kubwa za kibinadamu.
Mfumo huo ulipewa jina la Da Vinci
naam!! DAVINCI mwanasayansi nguli kabisa wa muda wote,, somo lake la Human anatomy ambayo inahusishwa mfumo wa mwili na ufanyaji kazi ulipelekea kuundwa kwa roboti mwanzoni kabisa kabisa.
Hapo tumeona kwa uchache mfumo ulivyo , sasa kuwa ile THEORY ya TIME TRAVELLIN ambayo mpaka sasa inadaiwa haiwezekani kutokana na mambo kadhaa kama TIME machine....(kuna maelezo yake tele hapo waliodiriki kuipitia nadhani wanailewa)
Binafsi ninaamini time travelin inaweza kuwezekana lakini pia siamini kwasababu hakuna uthibitisho za kisayansi niko 50/50...
Lakini angefanya vyovyote awezavyo mzungu kudokeza kuhusu kusafiri kwa wakati tumeona kwenye movie kama ya The flash, Avengers Endgame na siries nyingi kama HEROES,inawewezekanaje au ndio hoax ambazo wamezoea kutuchezea kila wapendavyo
Hilo tuliache lisije leta mzozo mpana hapa nikashindwa kuleta uthibitisho.....(maana bado wengi wetu hawaliamini kwa sababu halina ithibati ya kisayansi)
ALEXANDER SMITH THE TIME TRAVELLER
Alexander Smith analipata kusema kwamba alikuwa amesafiri kwa muda (time travellin) mwaka wa 1981 na alikuwa ameona yajayo hadi miaka ya 2118.
ALEXANDER SMITH
Alifanya mahojiano na Apex Tv kama ilivyoripotiwa , alisema kwamba ilikuwa kwenye mamlaka za siri za CIA na akaongeza kuwa CIA inamtafuta na yuko maficho
Alisema zaidi kuwa aliitembelea mwaka 2118 kama sehemu ya mission ya siri ya CIA. Na akasema anaamini ilikuwa moja ya safari ya kwanza ya muda iliyokuwa imekwenda vyema na kufanikiwa zaidi.
"Nilikwenda safari ya siku zijazo kisha nikarudi zamani zaidi. Hii yote ilitokea mnamo mwaka 1981" alisema bwana smith
Bwana Smith alidai katika siku zijazo ubinadamu utakwisha, miji itajazwa majengo marefu yaliyojaa teknolojia ya ajabu, watu watakuwa na mahusiano na, kutakuwa na roboti za ujasusi, na magari ya kuruka kama ndege.
Naam kama ilikuwa kweli au ni shere bayo tumechezewa kuhusu Smith hatuwezi kufahamu kifupi ni madokezeo ambayo tumepata kuhusu roboti ni dhahiri dunia yetu inakokwenda MAMLAKA nyingi zitashikiliwa na maroboti na KOMPYUTA
Nimekuwekea picha hii huenda ikaongeza tafakuri zaidi
WHO KNOWS ??
UPGRADE YOURSELF