Baadhi ya mitaa ya jiji la Teheran Nchini Iran .

Baadhi ya mitaa ya jiji la Teheran Nchini Iran .

Kwani yule mkenya mweny kingereza cha ugoko kaacha kupost maandamano.

20221030_190236.jpg
 
Hata hao Iran hawakwepeki kwa sababu huwezi kuishi bila mafuta.
Ona huyu ustaadhi, kwamba mafuta yapo Iran tu? Hujui USA ana reserve kubwa sana ya mafuta? Zanzibar? Quwait etc tumia google ya beberu upate maarifa hayo
 
Kuna nchi kimejengwa kipande kifupi cha barabara ya njia 8 basi wafuasi wa kiongozi wa nchi hiyo maarufu kama "push gang" wamemsifia utafikiri kaumba dunia nyingine!
 
Ona huyu ustaadhi, kwamba mafuta yapo Iran tu? Hujui USA ana reserve kubwa sana ya mafuta? Zanzibar? Quwait etc tumia google ya beberu upate maarifa hayo
Kama hawauzi Marekani basi wanauza sehemu nyingine za dunia sio razima wauze Marekani.
 
Back
Top Bottom