Baadhi ya minara kuwaka taa nyekundu juu kileleni

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,796
Nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata jibu maana kwa asilimia kubwa ya minara inayotuzunguka lazma kule juu kileleni huwa kuna taa nyekundu nyingine zinawaka na kuzima nyingine zinawaka moja kwa moja na rangi ni hiyo hiyo nyekundu sijawahi ona taa za rangi nyingine.

Hivi hii hua ni sheria za minara au zinakuwa na maana gani?

Naomba kujuzwa.
 
Nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata jibu maana kwa asilimia kubwa ya minara inayotuzunguka lazma kule juu kileleni huwa kuna taa nyekundu nyingine zinawaka na kuzima nyingine zinawaka moja kwa moja na rangi ni hiyo hiyo nyekundu sijawahi ona taa za rangi nyingine.

Hivi hii hua ni sheria za minara au zinakuwa na maana gani?

Naomba kujuzwa.
Nafikiri hiyo huwa mahususi kwa ajili ya muonekano(visibility) haswa na vyombo vinavyotumia anga Kama ndege n.k.
 
zinaitwa AVIATION LIGHT ni kwa ajili ya kua alert ndege kwamba huu usawa kuna mnara vinginevyo ndege zingeweza kugonga nakusababisha ajali kubwa,na ni sheria za TCRA kwamba kila mnara hasa ileiliyokaribu na viwanja vya ndege kua AVIATION LIGHT.
Siyo tu iliyopo karibu na viwanja vya ndege, TCRA wanasisitiza minara yote iwekewe aviation light
 
Nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata jibu maana kwa asilimia kubwa ya minara inayotuzunguka lazma kule juu kileleni huwa kuna taa nyekundu nyingine zinawaka na kuzima nyingine zinawaka moja kwa moja na rangi ni hiyo hiyo nyekundu sijawahi ona taa za rangi nyingine.

Hivi hii hua ni sheria za minara au zinakuwa na maana gani?

Naomba kujuzwa.
Ni ishara kwa vyombo vya usafiri wa anga kuwa kina kitu cha hatari angani na tahadhari Ichukuliwe kukikwepa
 
Nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata jibu maana kwa asilimia kubwa ya minara inayotuzunguka lazma kule juu kileleni huwa kuna taa nyekundu nyingine zinawaka na kuzima nyingine zinawaka moja kwa moja na rangi ni hiyo hiyo nyekundu sijawahi ona taa za rangi nyingine.

Hivi hii hua ni sheria za minara au zinakuwa na maana gani?

Naomba kujuzwa.
Rangi nyekundu ina high wavelength kuliko rangi nyekundu.. means inasafiri umbali mrefu kwa hyo inawah kuonekana kuliko rangi nyngne... nimekujibu ki physics
 
zinaitwa AVIATION LIGHT ni kwa ajili ya kua alert ndege kwamba huu usawa kuna mnara vinginevyo ndege zingeweza kugonga nakusababisha ajali kubwa,na ni sheria za TCRA kwamba kila mnara hasa ileiliyokaribu na viwanja vya ndege kua AVIATION LIGHT.
Je na ule ambayo haina hiyo taa kabisa hua wanajuaje
 
Nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata jibu maana kwa asilimia kubwa ya minara inayotuzunguka lazma kule juu kileleni huwa kuna taa nyekundu nyingine zinawaka na kuzima nyingine zinawaka moja kwa moja na rangi ni hiyo hiyo nyekundu sijawahi ona taa za rangi nyingine.

Hivi hii hua ni sheria za minara au zinakuwa na maana gani?

Naomba kujuzwa.
Sio minara tu hata majengo marefu.
 
Mbona kuna majengo marefu pengine kuliko hata minara ya simu lakini haina hizo taa na minara inayo?
Naomba ufafanuzi zaidi juu ya taa hizo.
ila alichokisema,mkuu inawezekana kuwa kweli...maana mfano jengo la PSPF huwa linawashaga taa izo wanasema wakuu wengne.afu kingine basi tunaweza kukataa kuwa hiyo,aviation light siyo kazi yake kwamba ndege zifahamu kuna mnara...kwa sababu katika majengo marefu mengi ni kweli hizo taa hamna.embu watu watoe ufafanuzi zaidi ase...
 
Back
Top Bottom