COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
1. Kumtwanga nduli Idd Amin Dadaa wa Uganda aliyevamia Kagera
2. Kusaidia ukombozi wa nchi za kusini mwa bara la Afrika (SADC):
3. Ujenzi na uanzishwaji wa vyuo vikuu vya umma: UDSM, UDOM, MUHIMBILI UNIVERSITY, ARDHI UNIVERSITY, MUCCOBS, MZUMBE, SUA, IFM, CBE, TIA, MUST, MANDELA UNIVERSITY, DIT e.t.c
4. Upanuzi na uboreshaji wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).
5.Kuirudisha madarakani serikali ya Comoro iliyopinduliwa na waasi.
6. Kumsaidia marehemu Laurent Desire Kabila asipinduliwe na Banyamulenge waliokuwa wakisaidiwa na Rwnda and Uganda
7. Kuhifadhi maelfu ya wakimbizi toka Rwanda na Burundi kwa miaka mingi sana.
8. Barabara za lami: DSM-Sumbawanga, DSM-Mwanza, DSM-Tunduma, DSM-Arusha, DSM-Mtwara, DSM-Mbinga, DSM-Bukoba, DSM-Ngara, Iringa-Dodoma (via Mtera), Mbeya - Tabora (via Chunya) n.k n.k
9. Madaraja makuu: Mto malagarasi (kikwete bridge), Rufiji (mkapa bridge), Kilombero
10. Kusomeshwa bure watu wote waliosoma kuanzia mwaka 1977-1995 (darasa la kwanza hadi chuo kikuu)
11. Kuanzisha bodi ya mikopo ya elimu ya juu ili kusaidia kuongeza ulipiaji wa masomo ya elimu ya juu
12. Agatuaji wa madaraka toka serikali kuu kwenda serikali za mitaa
13. Ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi yetu.
14. Kuwakata wana CCM wote waliokengeuka na kukosa maadili ya chama na nchi yaani wezi, mafisadi e.t.c
15. Kujenga uwanja mpya wa kisasa wa Taifa
16. Makabila kuoleana...Mkurya kuoa Mzigua, Msukuma kuoa Mbena, Mkinga kuoa Mluguru n.k n.k (umoja wa kitaifa na undugu ulioasisia na CCM chini ya Hayati baba wa Taifa Mwl Nyerere)
MORE TO COME......................
2. Kusaidia ukombozi wa nchi za kusini mwa bara la Afrika (SADC):
3. Ujenzi na uanzishwaji wa vyuo vikuu vya umma: UDSM, UDOM, MUHIMBILI UNIVERSITY, ARDHI UNIVERSITY, MUCCOBS, MZUMBE, SUA, IFM, CBE, TIA, MUST, MANDELA UNIVERSITY, DIT e.t.c
4. Upanuzi na uboreshaji wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).
5.Kuirudisha madarakani serikali ya Comoro iliyopinduliwa na waasi.
6. Kumsaidia marehemu Laurent Desire Kabila asipinduliwe na Banyamulenge waliokuwa wakisaidiwa na Rwnda and Uganda
7. Kuhifadhi maelfu ya wakimbizi toka Rwanda na Burundi kwa miaka mingi sana.
8. Barabara za lami: DSM-Sumbawanga, DSM-Mwanza, DSM-Tunduma, DSM-Arusha, DSM-Mtwara, DSM-Mbinga, DSM-Bukoba, DSM-Ngara, Iringa-Dodoma (via Mtera), Mbeya - Tabora (via Chunya) n.k n.k
9. Madaraja makuu: Mto malagarasi (kikwete bridge), Rufiji (mkapa bridge), Kilombero
10. Kusomeshwa bure watu wote waliosoma kuanzia mwaka 1977-1995 (darasa la kwanza hadi chuo kikuu)
11. Kuanzisha bodi ya mikopo ya elimu ya juu ili kusaidia kuongeza ulipiaji wa masomo ya elimu ya juu
12. Agatuaji wa madaraka toka serikali kuu kwenda serikali za mitaa
13. Ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi yetu.
14. Kuwakata wana CCM wote waliokengeuka na kukosa maadili ya chama na nchi yaani wezi, mafisadi e.t.c
15. Kujenga uwanja mpya wa kisasa wa Taifa
16. Makabila kuoleana...Mkurya kuoa Mzigua, Msukuma kuoa Mbena, Mkinga kuoa Mluguru n.k n.k (umoja wa kitaifa na undugu ulioasisia na CCM chini ya Hayati baba wa Taifa Mwl Nyerere)
MORE TO COME......................
Last edited by a moderator: