Baadhi ya mahitaji ya mume

Binafsi nahitaji mwanamke msafi na mwaminifu, mwenye upendo wa kweli na mwenye kujali, mkarimu na mpole, mcha Mungu na mpenda familia. Hayo mengine ya kitandani ni mbwembwe tu maana hakuna chuo cha kujifunza.
 
Bora umefika mkuu, nitakuelezea historia yote mwanzo mwisho mpaka walivyoongea..kwa upande wangu ulinzi upo vizuri sema kuna jirani hapo wanataka kupeana rushwa ya laki2.
Yani nani na nani wanataka kupeana hiyo hela?
Alafu ni kwaajili ya nini?
Sorry, inabidi unambie kwakifupi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…