KERO Baadhi ya Maafisa wa Manispaa ya Songea Mjini wanaonea Vijana wanaondesha Bajaji, wanawatoza faini Sh. Laki 5

KERO Baadhi ya Maafisa wa Manispaa ya Songea Mjini wanaonea Vijana wanaondesha Bajaji, wanawatoza faini Sh. Laki 5

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Vijana wanaoendesha Bajaji wamekuwa wakishikwa kwa nguvu na (WAGAMBO), kuna muda wanakimbizwa na gari na wengine wakisababishiwa ajali wakidai ni WRONG PARKING.

Baada ya kukamata Bajaji zinafungiwa ndani na ukifatilia ili uzitoe, unaambiwa ulipie Shilingi LAKI TANO (Tsh 500,000).

Tumeenda kulalamika sana baadhi ya Ofisi za Viongozi bila mafanikio; hatuna njia nyingine ya msaada zaidi ya hapa JamiiForums. Tunaomba waheshimiwa wakuu wenye Mamlaka husika kutusaidia kufatilia kwa ukaribu.

Adhabu (faini) ni kubwa sana.
 
Hao vijana acha kiwalambe tu maana hawaelimiki nakumbuka kipind cia kampen walivyotumika kama condom sasa wametupwa
 
Wanashikwa kwa nguvu na (WAGAMBO) wanakimbizwa na gari na wengine wakisababishiwa ajali wakidai ni WRONG PARKING.

Baada ya kukamata bajaji zinafungiwa ndani na ukifatilia ili uzitoe, unaambiwa ulipie LAKI TANO (Tsh 500,000).

Tumeenda kulalamika sana baadhi ya Ofisi za Viongozi bila mafanikio; hatuna njia nyingine ya msaada zaidi ya hapa JamiiForums.

Tunaomba waeshimiwa wakuu wenye Mamlaka husika kutusaidia kufatilia kwa ukaribu.

Adhabu (faini) ni kubwa sana.
Wacha mteseke mshatumika kipindi cha kampeni nyie ni kama condoms
 
Wanashikwa kwa nguvu na (WAGAMBO) wanakimbizwa na gari na wengine wakisababishiwa ajali wakidai ni WRONG PARKING.

Baada ya kukamata bajaji zinafungiwa ndani na ukifatilia ili uzitoe, unaambiwa ulipie LAKI TANO (Tsh 500,000).

Tumeenda kulalamika sana baadhi ya Ofisi za Viongozi bila mafanikio; hatuna njia nyingine ya msaada zaidi ya hapa JamiiForums.

Tunaomba waeshimiwa wakuu wenye Mamlaka husika kutusaidia kufatilia kwa ukaribu.

Adhabu (faini) ni kubwa sana.
Mnapark popote hafu mchekewe.
 
Wee kijana futa huu uzi, ulicho tarajia na ulichopata ni mbingu na ardhi. Watu bado wana hasira.
 
Wakati wa kampeni si mlitumika sana acha mnyooshwe

Ova
 
Hakuna watu wanaoipenda ccm huku kusini
FB_IMG_1771738135392.jpg
kama watu wa songea
 
Back
Top Bottom