Sungusunguu
JF-Expert Member
- Aug 4, 2018
- 1,280
- 998
Wakuu nazani pesa zetu za vifurushi zinaenda tu especially cc wa azam maana tunalipia vifurushi lkn channel nyingi zimezuiliwa hadi sasa kwani tatzo ni nn na lini mwisho wake
Iv sababu kuu ni IPI kufanya hiviwe wa azam unalalamika, wa dstv tuseme nini, maana local channel iliyopo ni TBC tu, tumeisharidhika na hali, siku hizi taarifa ya habari tunasoma tu mtandaoni
mkuu mimi niliishaacha kufuatilia hayo mambo, maana waziri wa habari huwa anatoa majibu fulani utadhani anaugomvi na wamiliki wa ving'amuzi, wakati tuliishasema tupo tayari kuwa tunalipia hata local channels ila hasikii, analazimisha ziwe free, bila kujali sababu za kibiashara kuwa anaharibu biashara.Iv sababu kuu ni IPI kufanya hivi
Duh mbona wanatuumiza cc sasamkuu mimi niliishaacha kufuatilia hayo mambo, maana waziri wa habari huwa anatoa majibu fulani utadhani anaugomvi na wamiliki wa ving'amuzi, wakati tuliishasema tupo tayari kuwa tunalipia hata local channels ila hasikii, analazimisha ziwe free, bila kujali sababu za kibiashara kuwa anaharibu biashara.
Mpaka ln mkuuSubirini acheni viherehere ninalishughulikia swala lenu.