Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
1. Haitawezekana kuuza ama kununua kitu chochote kama hauna kadi ya CCM. Mfano Shamba, kwa sababu mauziano ya mali kama hizi zinahitaji kuandikishana kwa Mwenyekiti wa Mtaa, Kitongoji ama Kijiji.
2. Haitawezekana kupata frame ya biashara kwenye maeneo kama viwanja vya mpira, masoko makuu ya miji, ama stand za mabasi, kama inajulikana wewe si mwanaCCM.
3. Haitawezekana kupata barua ya Utambulisho, mfano kukusaidia kufungua Akaunti bank, ikiwa inajulikana wewe si mwanachama wa CCM.
4. Kama una mashauri mahakamani, na inajulikana Wewe si mwanaCCM, Haitawezekana kupata barua ya kukusaidia, mfano kupata dhamana.
5. Tutalazimishwa kwenda kufanya usafi mitaani, au kulima barabara za mitaa, chini ya usimamizi wa polisi, mgambo na jeshi, huku tukipigwa mijeledi mgongoni, makalioni na vichwani.
Absolute Dictatorship. Kifupi, ule wakati wa kulima kwa meno alioahidi ndo huu sasa umewadia, msifikiri hajui anachokifanya kwa kulikimbia Jiji la Dar es Salaam na kwenda kujificha kijijini porini Dodoma. Tujiandae!
NAILILIA NCHI YANGU, NAWALILIA WANANGU😭😭😭😭
2. Haitawezekana kupata frame ya biashara kwenye maeneo kama viwanja vya mpira, masoko makuu ya miji, ama stand za mabasi, kama inajulikana wewe si mwanaCCM.
3. Haitawezekana kupata barua ya Utambulisho, mfano kukusaidia kufungua Akaunti bank, ikiwa inajulikana wewe si mwanachama wa CCM.
4. Kama una mashauri mahakamani, na inajulikana Wewe si mwanaCCM, Haitawezekana kupata barua ya kukusaidia, mfano kupata dhamana.
5. Tutalazimishwa kwenda kufanya usafi mitaani, au kulima barabara za mitaa, chini ya usimamizi wa polisi, mgambo na jeshi, huku tukipigwa mijeledi mgongoni, makalioni na vichwani.
Absolute Dictatorship. Kifupi, ule wakati wa kulima kwa meno alioahidi ndo huu sasa umewadia, msifikiri hajui anachokifanya kwa kulikimbia Jiji la Dar es Salaam na kwenda kujificha kijijini porini Dodoma. Tujiandae!
NAILILIA NCHI YANGU, NAWALILIA WANANGU😭😭😭😭