simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Baada ya Zanzibar kwanini Kenya ndio nchi maaarufu Afrika?
Historia inatukumbusha ngoma ikirindima Zanzibar hadi maziwa makuu wanalicheza rumba. Pamoja na ukweli huu - historical truth (history cannot be wiped away so easily) ,wenzetu, ndugu zetu, wanazidi kupaa anga za kimataifa, "iko" nini Kenya?
Mungu ibariki Afrika.
Historia inatukumbusha ngoma ikirindima Zanzibar hadi maziwa makuu wanalicheza rumba. Pamoja na ukweli huu - historical truth (history cannot be wiped away so easily) ,wenzetu, ndugu zetu, wanazidi kupaa anga za kimataifa, "iko" nini Kenya?
Mungu ibariki Afrika.