TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Unataka nifurahishe Washenzi, please, grow up, asiye na heshima hata kwa Mfu anastahili heshima Gani? They can all Go to hell as far as Am concerned!Unachomeka maneno ya kuudhi watu wanapojadili hoja nzito, hasa kama hii ya msiba unaogusa watu wengi.
Jiepushe kuwatoa watu kwenye busara zao na kukasirika kukutukana. Uwe unaangalia mada inahusu nini kabla ya kuweka kejeli zako.
Tusameheane.