Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

Status
Not open for further replies.
Yote ni CCM, jana nilikuwa TEMEKE HOSPITALI NI HAIBU TUPU MGONJWA SUKARI IPO JUU DOKTA ANAANDIKA DRIPU YA SUKARI PIA SIJUI NDO MGOMO UPO NI KUUA WATU BORA MGOME TUJUE MOJA KUILIKO KUUA NDUGU ZETU. HOSPITALI AINA DAWA IZO POSHO ZENU WABUNGE NUNUENI DAWA
 
535011_444927458860939_1342626811_a.jpg
Kama wamechoka si waondoke vizuri?
 
Kwa upendo na uwezo wa Mungu naamini kuwa Kaka yetu mpendwa Mnyika atasalimika, na hata kama atajeruhiwa au kutokusalimika na imani kisasa kikuu lazima kilipizwe upande wa pili ili wajue watu hawajalala, na kama ni vita ndio wanaoitafuta ndio itaanzia hapo bila kukoma, eti Chadema sasa hivi, hawana wafuasi wa kutosha!, hao wanaosema hivyo wanajidanganya , wanafikiri kila mtu ni rahisi rahisi kuhongwa khanga na cash za CCM, wengine hawana mpango nazo na wengine wanawachuna tu, wanapokeapokea mwisho wa siku wanasepa, kama demu anayemchuna mwanaume asiyempenda kiukweli au jamaa anayemchuna Sugarmummy!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom