mkuu viroba si vilishapigwa marufuku?? hio July ya wapi tena aiseeAjabu zaidi, ngoma ya Rapcha inaonekana imepostiwa July 7, na ile ya akina Mbosso ni July 9! Sasa hayo unayooita "hakiupita masaa mengi", ulitaka yapite masaa mangapi?
😂 😂 😂July 7 2020 au unamaanisha July 7 2021 ambayo haijafika bado
Me nashangaa Mbn young lunya hajasupportiwa na domo kihivy lakn now yupo matawi ya juu. Rapcha ni kisanga yaan anajua kwlkwl cha msingi akomae tuMi singejali sana. Ingenipa motivation ya kuzidi kupiga Kazi.
Wanisuse tu, mi ningekausha.
Ila nikifika juu sasa wabalance shobo vile vile, tusijuane sana.
Thanks. corrected!July 7 2020 au unamaanisha July 7 2021 ambayo haijafika bado
Unatia huruma! Umeacha kujikita kwenye hoja, unajikita kwenye typing error baada ya kuona ulichoandika ni ujinga! Pambaneni, acheni kulia lia!mkuu viroba si vilishapigwa marufuku?? hio july ya wapi tena aisee
Diamond sio kazi yake ku-post nyimbo za wasanii, mbona unafeli ndugu?!heri P-funk angekaa kiya tu, watu naona wamekomaa eti imepostiwa wasafi 😂 😂 ni kama vile mtu hajaja msibani yeye katuma mwakilishi.
Sio thinking error? 😂😂 sema kanywe maji mkuu upoze kichwa, hii mijadala sio ya kutilia akili nyingi sana kama kutatua equations, just relax ,Unatia huruma! Umeacha kujikita kwenye hoja, unajikita kwenye typing error baada ya kuona ulichoandika ni ujinga! Pambaneni, acheni kulia lia!
View attachment 1815677
View attachment 1815680
Ila bado una point mkuu, angewacheki na wasanii wengine.
Inaonekana Diamond ndo mwenye Music ,kuna hawa kila sku kumponda ili wapate airtime, huyu atasema hvi ,nachoshukru management yake wamekuwa smart Sana kijana anayakabili vyema ....Hiyo ngoma imekua posted kweny wasafi media...mnataka airtime gani? Kila msanii Akiomba kazi yake ipostiwe na Mond itakuaje? WCB wakae wamuogope Rapcha kwa kipi?
Binafsi hiyo ngoma nimeijulia kweny page ya wasafi Instagram..nikaenda youtube
Dogo akaze tu atafika mbali...lakin haya maswala ya kumtak Diamond apost ili dogo kazi yale ifike ni ujinga...
Inaonekana Diamond ndo mwenye Music ,kuna hawa kila sku kumponda ili wapate airtime, huyu atasema hvi ,nachoshukru management yake wamekuwa smart Sana kijana anayakabili vyema ....
ukijitwisha lazima uumie 😂😂ustaa ni mzigo wa miba
H-Baba kaanza mziki na akajulikana kabla ya Diamond , ni aibu Leo kuwa chawa wa mwanafunzi wa Diamond.... Yani unakuwa official third party....!!! Mwijaku ndo usiseme kabisa hata kama bifu ndo zinakuza mziki Ila ni kama wamechochoraNkimuangalia h baba hua nacheka sana
Yan mwamba kakazania kabisa waz waz
Mkuu diamond ni brand na ni icon , kuna mambo mengi ya msingi hata yeye anatamani apost, Kwa sasa accnt yake haiendeshwi na kile anachofikr yeye tuu, kuna vitu vingi vina nguvu kwenye accnt yake .....!! Kwa vile media ni talk of the town mengine yanapitia Tu huko inakuwa imetosha.....alieambiwa apost ni Diamond we unaleta ishu za wasafi, ni kama vile mtu hajaja msibani yeye katuma mwakilishi, ama umeombwa kwenda kumuombea mtu flani sapoti wewe unatuma watu wengine, angetaka wasafi wapost sidhani kama kungekuwa na haja ya kupost huo ujumbe uliomhusu Diamond moja kwa moja
sema tuachane na ivo, ila huenda majani angemcheki tu inbox Diamond,
Hiyo ngoma imekua posted kweny wasafi media...mnataka airtime gani? Kila msanii Akiomba kazi yake ipostiwe na Mond itakuaje? WCB wakae wamuogope Rapcha kwa kipi?
Binafsi hiyo ngoma nimeijulia kweny page ya wasafi Instagram..nikaenda youtube
Dogo akaze tu atafika mbali...lakin haya maswala ya kumtak Diamond apost ili dogo kazi yale ifike ni ujinga...
Dogo akaze tu atafika mbali
Ahahahahah ni nomaheri P-funk angekaa kiya tu, watu naona wamekomaa eti imepostiwa wasafi 😂 😂 ni kama vile mtu hajaja msibani yeye katuma mwakilishi.
amuombe Vanny boy mtu mbad ampostie ni mkwewe