mleta mada inakua anaandikia mochwari mana inaonekana akili zake zimepulizwa n baridi y jokofu l kuhifadhia maiti......ccm kuanzia kesho lazma wavae bikini tu nepi,kinana,mwigulu,bulembo,lusinde wamekula hela za kampeni wanashikana uchawi sasa......majambazi na wanaondoka kuanzia kesho
Naamini baada tu ya kutangazwa matokeo ya Rais na wabunge, na CCM kuibuka na ushindi wa 62% kwa nafasi za ubunge na urais kwa 70% Ukawa hawatakuwa tena na nafasi ya hata kufanya tathmini ya kushindwa kwao ila wataanza kunyukana kumtafuta mchawi wa kushindwa kwao.
Naamini pia huo ndio utakuwa mwisho wao kisiasa, na kama nilivyowahi kusema huko nyuma huo ndio utakuwa mwisho wa kitu kinachoitwa Chadema.
Mbowe atanyukwa, Tundu Lissu atasakamwa, Prof Safari, Baregu na Salum Mwalimu wataandamwa mpaka watimke. Lowassa ndio kabisaaa, hakuna atakayetaka kulisikia hata jina lake.
Inatia huruma sana kwa Chadema iliyofikia hatua ya kuaminiwa na mamilioni ya watanzania kufa kifo cha kibudu na cha aibu kiasi hiki.
Watamkumbuka, watamlilia na watajutia matusi waliyomporomoshea Dk Wilbroad Slaa ambaye mpaka leo mimi namwamini, namkubali na ninamuunga mkono. Dk Slaa atabakia mshindi wa kudumu ktk Chadema.
Tukubali tusikubali kesho Chadema itapigwa mweleka ambao haikuwahi kuufikiria na viongozi wake wataparaganyika kuanzia hiyo kesho.
Leo CCM mnachapwa kweupeeeeee
ww badala uongelee ccm yako itajiongozaje baada ya kuwa chama pinzani.....unabwatuka ujinga tu.... ccm hamtok mwaka huu
Wewe unasubiri kura zihesabiwe ndiyo ujue umeshindwa? Wakati Lowassa amewaambia Ukawa muwapigie kura wabunge na madiwani wa CCM na wengi wamemwitikia unafikiri Ukawa mtashindaje?
Mikoa kumi?
Matokeo yakiishatangazwa ndiyo utajua kama mimi ni nabii na ni nani mpumbavu kati yangu na wewe. Just cool down brother Mwinula jnr.
Naamini baada tu ya kutangazwa matokeo ya Rais na wabunge, na CCM kuibuka na ushindi wa 62% kwa nafasi za ubunge na urais kwa 70% Ukawa hawatakuwa tena na nafasi ya hata kufanya tathmini ya kushindwa kwao ila wataanza kunyukana kumtafuta mchawi wa kushindwa kwao.
Naamini pia huo ndio utakuwa mwisho wao kisiasa, na kama nilivyowahi kusema huko nyuma huo ndio utakuwa mwisho wa kitu kinachoitwa Chadema.
Mbowe atanyukwa, Tundu Lissu atasakamwa, Prof Safari, Baregu na Salum Mwalimu wataandamwa mpaka watimke. Lowassa ndio kabisaaa, hakuna atakayetaka kulisikia hata jina lake.
Inatia huruma sana kwa Chadema iliyofikia hatua ya kuaminiwa na mamilioni ya watanzania kufa kifo cha kibudu na cha aibu kiasi hiki.
Watamkumbuka, watamlilia na watajutia matusi waliyomporomoshea Dk Wilbroad Slaa ambaye mpaka leo mimi namwamini, namkubali na ninamuunga mkono. Dk Slaa atabakia mshindi wa kudumu ktk Chadema.
Tukubali tusikubali kesho Chadema itapigwa mweleka ambao haikuwahi kuufikiria na viongozi wake wataparaganyika kuanzia hiyo kesho.